< 1 Manghai 9 >
1 Solomon loh BOEIPA im neh manghai im a sak ham khaw, saii ham a ngaih Solomon kah huengaihnah boeih te khaw cup coeng.
Sulemani alipomaliza kulijenga hekalu la BWANA, na ikulu ya mfalme, na baada ya kukamilisha vyote alivyokusudia kufanya,
2 BOEIPA he Gibeon ah a taengla aphoe bangla Solomon taengah a pabae la a phoe pah.
BWANA alionekana kwa Sulemani kwa mara ya pili, kama alivyoonekana kwake kule Gibeoni.
3 BOEIPA loh anih te, “Ka mikhmuh ah rhennah nan bih bangla na thangthuinah neh na lungmacil khaw ka yaak coeng. Kumhal due ka ming khueh ham na sak im he ka ciim coeng. Te dongah ka mik neh ka lungbuei tah teah hnin takuem om pawn ni.
Na BWANA akamwambia, “Nimeyasikia maombi yako na dua zako ambazo umeniomba. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umeijenga, kwa ajili yangu, ili niweke jina langu humo milele. Macho yangu na moyo wangu yatakuwa humo kwa nyakati zote.
4 Nang khaw na pa David a pongpa bangla thinko kah thincaknah, duengnah neh ka mikhmuh ah na pongpa atah, a cungkuem dongah nang kang uen bangla ka oltlueh neh ka laitloeknah he vai ham ngaithuen.
Lakini pia na wewe, kama utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea kwa haki na unyofu katika moyo wako, ukitii yote niliyokuamuru na kuyashika maagizo na sheria zangu,
5 Na pa David taengah ka thui tih, 'Israel ngolkhoel dong lamloh nang kah hlang he pat mahpawh,’ ka ti nah bangla na ram kah ngolkhoel te Israel soah kumhal duela ka thoh ni.
ndipo nitakapoimarisha kiti cha enzi kwa Israeli milele, kama nilivyomwahidi baba yako Daudi, nikiseama, 'uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli.
6 Nangmih khaw, na ca rhoek khaw kai hnuk lamloh na mael rhoe na mael tih, na mikhmuh ah kam paek ka olpaek neh ka khosing te na ngaithuen uh pawh, na cet uh tih pathen tloe rhoek te tho na thueng uh, amih te na bawk uh khaming.
Lakini kama utageuka, wewe au watoto wako, na kutozishika amri zangu na maagizo yangu ambayo nimeyaweka mbele zako, na kama utaenda kuabudu miungu mingine na kuisujidia,
7 Te vaengah Israel te amamih taengah ka paek khohmuen hman lamloh ka saii vetih ka ming hamla ka ciim im he khaw ka maelhmai lamloh ka hnoo ni. Israel te pilnam cungkuem lakli ah thuidoeknah neh thuinuetnah la om ni.
basi nitaikatilia mbali Israeli kutoka katika ardhi niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli itakuwa mfano wa kukejeliwa na kitu cha kutusiwa katika mataifa yote.
8 He im he a sangkoek la om cakhaw he long aka pah boeih tah hal ni. Te vaengah kutving neh, “Balae tih BOEIPA loh he khohmuen taeng neh he im soah he tla a saii,” a ti uh ni.
Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa, kila mtu atakayepita pembeni yake atasituka na kuzoomea. Watajiuliza, 'Kwa nini BWANA amefanya hili katika chi hii na kwa nyumba hii?'
9 Tedae, 'A napa rhoek Egypt khohmuen lamkah aka khuen amih kah Pathen BOEIPA te a moeng uh, pathen tloe dongla kap uh tih a bawk uh, te rhoek te a bawk uh phoeiah tho a thueng uh. Te dongah BOEIPA loh amih soah he kah yoethae cungkuem he a thoeng sak,’ a ti uh ni,” a ti nah.
Na wengine watajibu, 'Ni kwa sababu walimwacha BWANA, Mungu wao, ambaye aliwaleta mababu zao toka Misri, na sasa wamegeukia miungu mingine ambayo wameiinamia na kuisujudu. Hiyo ndiyo sababu BWANA amewaletea majanga haya yote.”
10 Kum kul a bawtnah a pha vaengah Solomon loh im panit, BOEIPA im neh manghai im te bawt a sak.
Ilitokea mwishoni mwa miaka ishirini, Sulemani alikuwa amemaliza kuyajenga majengo yote mawili, hekalu la BWANA na ikulu ya mfalme.
11 Tyre manghai Khiram loh Solomon te lamphai thing nen khaw, hmaical thing nen khaw, sui nen khaw a cungkuem dongah a kongaih bangla a talong vaengah tah manghai Solomon loh Khiram te Galilee khohmuen ah khopuei pakul a paek.
Basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa amemletea Sulemani mbao za mierezi na miboreshi, pamoa na dhahabu; vitu vyote ambavyo Sulemani alitamani. Kwa hiyo mfalme Sulemani akampatia Hiramu miji ishirini huko Galilaya.
12 Tedae Khiram te Solomon loh anih taengah a paek khopuei sawt ham la Tyre lamloh a caeh vaengah tah a mik ah cop pawh.
Hiramu akaja kutoka Tiro kuiona ile miji ambayo Sulemani alikuwa amempatia, lakini hakupendezwa nayo.
13 Te vaengah, “Ka manuca aw, kai taengah nan paek khopuei rhoek he mebang nim?” a ti nah. Te dongah te rhoek te tahae khohnin duela Kabuul khohmuen la a khue.
Kwa hiyo Hiramu akasema, “Ndugu yangu, ni miji gani hii uliynipatia? Hiramu akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo.
14 Te vaengah Khiram loh manghai taengah sui talent ya pakul a pat.
Hiramu alikuwa amemtumia mfalme tani nne za dhahabu.
15 Saldong olka dongah he manghai Solomon loh BOEIPA im neh amah im, vaikhap neh Jerusalem vongtung, Hazor, Megiddo neh Gezer thoh ham ni a. doek.
Vifuatavyo ndivyo vigezo ambavyo mfalme Sulemani aliweka: ili kulijenga hekalu la BWANA na ikulu yake, kuijenga Milo na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari.
16 Egypt manghai Pharaoh loh cet tih Gezer te a tuuk. Te te hmai neh a hoeh phoeiah khopuei kah khosa Kanaan rhoek te a ngawn. Te phoeiah khopuei te a canu, Solomon yuu taengah maan la a paek.
Farao mfalme wa Misri alikuwa ameenda kuitwaa Gezeri, akaichoma moto, na kuwaua Wakanaani katika mji. Kisha Farao akampatia binti yake ule mji, mke wa Sulemani kuwa zawadi ya arusi.
17 Solomon loh Gezer neh a dang Bethhoron te a thoh.
Kwa hiyo Sulemani akaijenga Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri,
18 Tedae Baalath, Tamar neh Tadmor tah khohmuen kah khosoek ah om.
Baalathi na Tamari jangwani katika nchi ya Yuda,
19 Rhuengim khopuei boeih, leng khopuei rhoek, marhang caem khopuei he Solomon taengah a om pah. Solomon kah huengaihnah te tah Jerusalem ah, Lebanon ah, a khohung khohmuen tom ah sak hamla a kocuk.
na miji yote ya hazina yote iliyokuwa yake, na miji ya magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na hata kama alipenda kuijenga kwa ajili ya fahari yake kule Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote kwenye utawala wake.
20 Amori, Khitti, Perizzi, Khivee, Jebusi lamkah aka sueng pilnam boeih, amih Israel ca rhoek lamkah pawt te tah,
Na kwa watu wote waliokuwa wamesalia wa Waamori, Wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao hawakuwa Waisraeli,
21 khohmuen ah amih hnukah aka sueng a ca rhoek, amih thup ham te Israel ca rhoek loh noeng uh pawh. Te dongah Solomon loh amih te saldong la a doek tih tahae khohnin duela thotat uh.
na uzao wao waliokuwa wamesalia baada yao katika nchi, ambao Waisraeli hawakuweza kuwaangamiza kabisa - Sulemani akawafanya kuwa vibarua, ambao wako hata leo.
22 Tedae Israel ca te tah Solomon loh sal la khueh pawh. Amih te caemtloek hlang neh a sal rhoek, a mangpa, a rhalboei, leng mangpa neh marhang caem la om uh.
Hata hivyo, Sulemani hakuwafanya kuwa shokoa watu wa Israeli. Badala yake, walifanyika kuwa wanajeshi wake na watumishi wake, maakida wake, na wakuu wake, na majemedari wake na wapanda farasi wake.
23 Solomon kah bitat soah aka pai mangpa rhoek he ya nga sawmnga lo tih bitat dongah aka thotat pilnam te a taemrhai uh.
Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
24 Tedae Pharaoh canu tah anih ham a sak pah a im te David khopuei lamloh a paan daengah vaikhap te a sak pah.
Binti wa Farao alihama kutoka mji wa Daudi kwenda kwenye ile nyumba ambayo Sulemani alimjengea. Baadaye, Sulemani akaijenga Milo.
25 Solomon loh kum khat ah voei thum tah hmueihhlutnah neh rhoepnah te BOEIPA ham a sak pah hmueihtuk dongah a nawn. Te te BOEIPA mikhmuh ah a phum tih im te a cung sak.
Mara tatu kwa kila mwaka Sulemani alitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani katika madhabahu ambayo alimjengea BWANA, akifukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu ilyokuwa mbele ya BWANA. Kwa hiyo akalimalizia hekalu na sasa alikuwa akilitumia.
26 Solomon manghai loh Eziongeber ah sangpho a saii. Te te Edom khohmuen kah carhaek tuili kaeng kah Elath taengah om.
Tena Sulemani alitengeneza merikebu kule Ezioni Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika ufukwe wa bahari ya shamu, katika nchi ya Edomu.
27 Te vaengah Khiram loh a sal rhoek khaw, tuitunli aka ming sangpho hlang khaw, sangpho dongah Solomon kah sal rhoek taengla a tueih pah.
Hiramu alituma watumishi kwenye merikebu ya Sulemani, wanamaji wanaoijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.
28 Te dongah Ophir la a pawk uh vaengah te lamloh sui talent ya li pakul a khuen uh tih manghai Solomon taengla a pawk puei uh.
Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.