< 1 Manghai 15 >

1 Nebat capa Jeroboam manghai kah kum hlai rhet vaengah Judah ah Abijam manghai.
Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,
2 Jerusalem ah kum thum manghai tih a manu ming tah Absalom canu Maakah ni.
naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
3 A mikhmuh ah a saii pah a napa kah tholhnah cungkuem dongah pongpa tih a napa David kah thinko bangla a Pathen BOEIPA taengah a thinko rhuemtuet la a om moenih.
Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa.
4 Tedae David kongah ni a Pathen BOEIPA loh anih te Jerusalem ah hmaithoi a paek. Anih hnukah a capa te a phoe sak tih Jerusalem te a pai sak.
Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, Bwana Mungu wake akampa taa katika Yerusalemu kwa kumwinua mwana atawale badala yake na kwa kuifanya Yerusalemu kuwa imara.
5 David tah BOEIPA mikhmuh ah a thuem he a saii tih anih a uen boeih te a phaelh moenih. A hing tue khuiah Khitti Uriah kah lai bueng ni lai dawk a om.
Kwa kuwa Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa Bwana na hakushindwa kushika maagizo yote ya Bwana siku zote za uhai wake, isipokuwa katika habari ya Uria, Mhiti.
6 Rehoboam laklo neh Jeroboam laklo ah he a hing tue khuiah caemtloek om.
Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.
7 Abijam kah ol noi neh a saii boeih te Judah manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek moenih a? Abijam laklo neh Jeroboam laklo ah caemtloek ni aka om.
Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
8 Abijam te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah anih te David khopuei ah a up uh. Te phoeiah a capa Asa he anih yueng la manghai.
Naye Abiya akalala na baba zake akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake.
9 Israel manghai Jeroboam kah a kum kul dongah Judah manghai Asa he manghai.
Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,
10 Anih te Jerusalem ah sawmli kum khat manghai. A manu ming tah Absalom canu Maakah ni.
naye akatawala katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja. Bibi yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.
11 Asa tah a napa David bangla BOEIPA mikhmuh ah a thuem ni a saii.
Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa Bwana, kama alivyokuwa ametenda Daudi baba yake.
12 Te dongah hlanghalh rhoek te khohmuen lamloh a haek tih a napa rhoek loh a saii mueirhol te boeih a khoe.
Akawafukuza mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu kutoka nchi na kuondoa sanamu zote ambazo baba zake walikuwa wametengeneza.
13 A manu Maakah pataeng Asherah ham rhobuk a saii dongah manghainu lamloh a khoe. A rhobuk te Asa loh a phae pah tih Kidron soklong ah a hoeh.
Hata akamwondoa bibi yake Maaka kwenye wadhifa wake kama mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.
14 Hmuensang te khoe uh sitoe pawt cakhaw amah tue khuiah tah Asa kah thinko he BOEIPA taengah rhuemtuet la om.
Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.
15 A napa kah hnocim neh amah kah hnocim khaw, cak neh, sui neh hnopai khaw BOEIPA im kah hnocim la a khuen.
Akaleta ndani ya Hekalu la Bwana fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.
16 Amah tue khuiah tah Asa laklo neh Israel manghai Baasha laklo ah caemtloek om.
Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.
17 Israel manghai Baasha loh Judah te a paan tih Ramah te a tuung. Judah manghai Asa taengah aka kun ham neh aka vuenva ham khaw pae pawh.
Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.
18 Asa loh BOEIPA im thakvoh khuiah aka sueng cak neh sui boeih, manghai im kah manghai thakvoh khaw a loh tih a sal rhoek kut ah a tloeng. Te phoeiah manghai Asa loh Damasku ah kho aka sa Aram manghai, Hezion koca Tabrimmon capa Benhadad taengla a thak.
Kisha Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za Hekalu la Bwana na za jumba lake mwenyewe la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa Aramu, aliyekuwa akitawala Dameski.
19 Te vaengah, “Kamah laklo neh namah lako ah, a pa laklo neh na pa laklo kah paipi om tih nang taengah kapbaih la cak neh sui he kam pat ne. Cet lamtah Israel manghai Baasha taengkah na paipi te phae mai. Te vaengah kai taeng lamloh nong bitni,” a ti nah.
“Akasema na pawepo mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi ya fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”
20 Benhadad loh manghai Asa ol te a ngai pah. Te dongah amah taengkah mangpa tatthai rhoek te Israel khopuei rhoek ah a tueih tih Ijon, Dan, Abelbethmaakah neh Kinnereth boeih, Naphtali khohmuen boeih te a ngawn.
Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-Beth-Maaka na Kinerethi yote, pamoja na Naftali.
21 Baasha loh a yaak van neh Ramah a sak te a toeng tih Tirzah la kho a sak.
Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.
22 Asa manghai loh Judah pum te a yaak sak vaengah ommongsitoe om voel pawh. Te dongah Baasha loh Ramah a sak nah lungto neh thing te a puen uh. Te nen te manghai Asa loh Benjamin Geba neh Mizpah te a sak.
Kisha Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba iliyoko Benyamini na Mispa pia.
23 Asa kah ol noi boeih neh a thayung thamal boeih, a saii boeih neh a sak khopuei rhoek te Judah manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a? Tedae a patong tue ah a kho a tloh pah.
Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Katika uzee wake, hata hivyo, alipata ugonjwa wa miguu.
24 Asa te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah a napa David khopuei kah a napa rhoek taengah a up. Te phoeiah a capa Jehoshaphat te anih yueng la manghai.
Kisha Asa akalala pamoja na baba zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake.
25 Judah manghai Asa kah a kum bae dongah Jeroboam capa Nadab he Israel soah manghai tih Israel soah kum nit manghai.
Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye akatawala Israeli kwa miaka miwili.
26 BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii tih a napa kah longpuei ah pongpa. Anih kah tholhnah khuiah Israel te a tholh sak.
Akafanya maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya.
27 Anih te Issakhar imkhui kah Ahijah capa Baasha loh a ven. Te dongah Baasha loh Nadab neh Gibbethon aka dum Israel boeih te Philisti kah Gibbethon ah a ngawn.
Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.
28 Judah manghai Asa kah a kum thum dongah Baasha loh Nadab te a duek sak tih Nadab yueng la manghai.
Baasha akamuua Nadabu katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali pake kuwa mfalme.
29 A manghai van neh Jeroboam imkhui te boeih a ngawn tih Jeroboam hiil la aka hiil boeih te hlun pawh. A sal Shiloh Ahijah kut ah a thui BOEIPA ol bangla Nadab te a mit sak.
Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu yeyote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kulingana na neno la Bwana lililotolewa kupitia kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni,
30 Jeroboam kah tholhnah tah tholh coeng tih Israel te khaw a tholh sak. A konoinah lamloh Israel Pathen BOEIPA te a veet.
kwa sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, tena kwa sababu alimkasirisha Bwana, Mungu wa Israeli.
31 Nadab kah ol noi neh a saii boeih te khaw Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a?
Kwa matukio mengine ya utawala wa Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
32 Amah tue khuiah tah Asa laklo neh Israel manghai Baasha laklo ah caemtloek puet om.
Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.
33 Judah manghai Asa kah a kum thum dongah Ahijah capa Baasha he Israel boeih soah manghai van tih Tirzah ah kum kul kum li om.
Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.
34 BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii tih Jeroboam kah longpuei ah pongpa. Anih kah tholhnah khuiah Israel te a tholh sak.
Akatenda maovu machoni pa Bwana, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.

< 1 Manghai 15 >