< 1 Manghai 14 >

1 Te vaeng tue ah Jeroboam capa Abijah te tlo.
Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,
2 Te dongah Jeroboam loh a yuu te, “Thoo lamtah thovael uh laeh. Te daengah ni nang te Jeroboam yuu la m'hmat pawt eh. Shiloh kah tonghma Ahijah taengah cet ne. Anih long ni he pilnam soah manghai la om ham kai taengah a thui.
naye Yeroboamu akamwambia mke wake, “Nenda ukajibadilishe, ili watu wasijue kwamba wewe ni mke wa Yeroboamu. Kisha uende Shilo. Nabii Ahiya yuko huko, yule aliyeniambia kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
3 Na kut dongah buhham neh buhrhaeng cun rha, khoitui tuitang um at khuen. A taengla paan lamtah camoe taengah metla a om ham khaw amah loh nang taengah han thui bitni,” a ti nah.
Chukua mikate kumi, maandazi kadhaa na gudulia la asali na umwendee. Atakuambia kitakachotokea kwa kijana.”
4 Jeroboam yuu loh a saii van tangloeng. Thoo tih Shiloh la cet tih Ahijah im a pha. Ahijah khaw a patong neh a mik hmang tih hmu thai voel pawh.
Basi mke wa Yeroboamu akafanya kama alivyosema mumewe, akaenda kwenye nyumba ya Ahiya huko Shilo. Wakati huu Ahiya alikuwa kipofu naye alishindwa kuona kwa sababu ya umri wake.
5 Tedae BOEIPA Ahijah taengah, “Jeroboam yuu ke a capa kah a tloh dongah nang taengah ol dawt ham ha pawk coeng. Anih te, 'He tlam ni, ke tlam ni, 'ti nah. Anih ha pawk khaw amah loha lah ko,” a ti nah.
Lakini Bwana alikuwa amemwambia Ahiya, “Mke wa Yeroboamu anakuja kukuuliza kuhusu mwanawe, kwa kuwa ni mgonjwa, nawe utamjibu hivi na hivi. Atakapowasili, atajifanya kuwa ni mtu mwingine.”
6 Thohka a pha vaengah a kho ol te Ahijah loh a yaak tih, “Jeroboam yuu ha kun saw, balae tih na muet uh? Kai he nang ham mangkhak la n'tueih coeng.
Hivyo Ahiya aliposikia kishindo cha hatua zake mlangoni, akasema, “Karibu ndani, mke wa Yeroboamu. Kwa nini kujibadilisha? Nimetumwa kwako nikiwa na habari mbaya.
7 Cet lamtah Jeroboam taengah thui pah. Israel Pathen BOEIPA loh he ni a. thui. Nang he pilnam khui lamloh kan pomsang tih nang he ka pilnam Israel soah rhaengsang la kang khueh.
Nenda, ukamwambie Yeroboamu kwamba hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Nilikuinua miongoni mwa watu na kukufanya kiongozi juu ya watu wangu Israeli.
8 Ram he David imkhui lamloh ka phen tih nang taengah kam paek coeng. Tedae ka olpaek aka ngaithuen tih ka mik ah a thuem bueng saii ham a thinko boeih neh kai hnukah aka pongpa ka sal David bangla na om moenih.
Nikararua ufalme kutoka kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini hukuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa machoni pangu.
9 Namah hmai kah aka om boeih lakah na saii khaw na thae aih. Na cet tih namah ham pathen tloe na saii. Mueihlawn neh kai nan veet tih kai he na nam la nan voeih.
Umefanya maovu mengi kuliko wote waliokutangulia. Umejitengenezea miungu mingine, sanamu za chuma, umenighadhibisha na kunitupa nyuma yako.
10 Te dongah Jeroboam im ah boethae ka khuen coeng he. Jeroboam lamloh pangbueng aka yun thil tih a khoh khaw, Israel khuikah aka loeih khaw ka thup ni. Aekkhuel a cing hil a toih bangla Jeroboam imkhui hnukah ka toih ni.
“‘Kwa sababu ya hili, nitaleta maafa juu ya nyumba ya Yeroboamu. Nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, mtumwa au mtu huru. Nitachoma nyumba ya Yeroboamu mpaka iteketee yote kama mtu achomaye kinyesi.
11 BOEIPA loh a thui coeng dongah Jeroboam kah a duek rhok te khopuei ah ui loh a caak vetih lohma ah aka duek te vaan kah vaa rhoek loh a caak ni.
Mbwa watawala wale walio wa nyumba ya Yeroboamu watakaofia ndani ya mji na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani. Bwana amesema!’
12 Namah thoo lamtah na im la mael laeh. Na kho loh khopuei khuila a kun neh camoe te duek ni.
“Kukuhusu wewe, rudi nyumbani. Wakati utakapotia mguu katika mji wako, kijana atakufa.
13 Anih te Israel pum loh a rhaengsae vetih a up ni. Jeroboam im ah Israel Pathen BOEIPA kah hno then he a khuiah a hmuh dongah Jeroboam khui lamloh anih bueng he ni phuel khuila a pha eh.
Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Kwa sababu ni yeye pekee wa nyumba ya Yeroboamu atakayezikwa, kwa sababu ni yeye peke yake ndani ya nyumba ya Yeroboamu ambaye Bwana, Mungu wa Israeli, ameona kitu chema kwake.
14 BOEIPA loh Israel soah manghai a pai sak ni. Anih loh tahae khohnin ah Jeroboam imkhui te a thup pawn ni.
“Bwana atajiinulia mwenyewe mfalme juu ya Israeli ambaye ataikatilia mbali jamaa ya Yeroboamu. Siku ndiyo hii! Nini? Naam, hata sasa hivi.
15 BOEIPA loh Israel te tui dongkah capu a vikvawk bangla a ngawn vetih a napa rhoek taengah a paek he khohmuen then dong lamloh Israel te a phuk ni. Amamih kah Asherah a saii uh neh BOEIPA te a veet uh dongah amih te tuiva rhalvangan duela a haeh uh ni.
Naye Bwana ataipiga Israeli, hata iwe kama unyasi unaosukwasukwa juu ya maji. Ataingʼoa Israeli kutoka nchi hii nzuri aliyowapa baba zao na kuwatawanya ngʼambo ya Mto Frati, kwa sababu wamemghadhibisha Bwana kwa kutengeneza nguzo za Ashera
16 Jeroboam kah tholhnah kong ah tholh tih Israel a tholh vanbangla Israel te a tloeng ni,” a ti nah.
Naye atawaacha Israeli kwa ajili ya makosa ya Yeroboamu aliyoyatenda na kusababisha Israeli kuyatenda.”
17 Te phoeiah Jeroboam yuu te thoo tih mael. Tirzah la cet tih im kah cingkhaa te a cawt vaengah camoe te duek.
Kisha mke wa Yeroboamu akainuka, akaondoka kwenda Tirsa. Mara alipokanyaga kizingiti cha mlango, kijana akafa.
18 BOEIPA ol loh a sal tonghma Ahijah kut ah a thui bangla camoe a up uh vaengah Israel pum loh anih te a rhaengsae uh.
Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama Bwana alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake, nabii Ahiya.
19 Ol noi la Jeroboam kah a vathoh neh a manghai te, Israel manghai rhoek kah khokhuen tue olka cabu dongah a daek uh ne.
Matukio mengine ya utawala wa Yeroboamu, vita vyake na jinsi alivyotawala, vimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
20 A khohnin la Jeroboam he kum kul kum nit a manghai phoeiah tah a napa rhoek taengla khoem uh. Te phoeiah tah anih yueng la a capa Nadab tloep manghai.
Yeroboamu akawatawala kwa miaka ishirini na miwili, kisha akalala na baba zake. Naye Nadabu mwanawe akawa mfalme baada yake.
21 Solomon capa Rehoboam tah Judah ah manghai. Rehoboam a manghai vaengah kum sawmli kum khat lo ca coeng. Israel koca boeih khui lamloh amah ming te pahoi khueh ham BOEIPA loh a coelh Jerusalem khopuei ah kum hlai rhih manghai. A manu ming tah Ammoni nu Naamah ni.
Rehoboamu mwana wa Solomoni alikuwa mfalme wa Yuda. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipoanza kutawala, naye akatawala miaka kumi na saba huko Yerusalemu, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua kutoka makabila yote ya Israeli ili apate kuliweka humo Jina lake. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni.
22 Judah khaw BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii. A tholhnah neh a tholh uh te a napa rhoek kah a saii boeih lakah BOEIPA a thatlai sakuh.
Yuda wakatenda maovu machoni pa Bwana. Kwa dhambi walizotenda wakachochea hasira yake yenye wivu zaidi kuliko baba zao walivyofanya.
23 Amih loh hmuensang neh kaam te amamih ham a thoh uh. Som a sang boeih neh thing hing hmui boeih ah Asherah a linguh.
Pia wakajijengea mahali pa juu pa kuabudia miungu, mawe ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila kilima kilichoinuka na kila mti uliotanda.
24 BOEIPA loh Israel ca rhoek mikhmuh ah a haek namtom rhoek kah tueilaehkoi cungkuem bangla a saii uh tih khohmuen ah hlanghalh khaw om.
Walikuwepo hata wanaume mahanithi wa mahali pa ibada za sanamu katika nchi; watu wakajiingiza katika kutenda machukizo ya mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.
25 Rehoboam manghai te a kum nga dongla a pha vaengah Egypt manghai Shishak loh Jerusalem te a paan.
Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.
26 Te vaengah BOEIPA im kah thakvoh neh manghai im kah thakvoh khaw vik a phueih. Solomon loh a saii sui photling boeih te khaw a pum la a loh tih a khuen.
Akachukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao zote za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
27 Te dongah manghai Rehoboam loh a yueng la rhohum photling a saii tih manghai im thohka aka tawt imtawt mangpa kut ah a soep sak.
Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
28 BOEIPA im la manghai a kun dingdoeng vaengah imtawt rhoek loh te te a muk uh. Te phoeiah tah imtawt kah tanhnaem la koep a khoem uh.
Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana, walinzi walizichukua hizo ngao, na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
29 Rehoboam kah ol noi neh a saii boeih te Judah manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a?
Kwa matukio mengine ya utawala wa Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
30 Rehoboam laklo neh Jeroboam laklo ah hnin takuem caemtloek om.
Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
31 Rehoboam te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah tah David khopuei kah a napa rhoek taengah a up. A manu ming he Ammoni Naamah ni. Te phoeiah anih yueng la a capa Abijam te manghai.
Naye Rehoboamu akalala na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.

< 1 Manghai 14 >