< 1 Khokhuen 24 >
1 Aaron koca rhoek kah a boelnah rhoek la, Aaron koca ah Nadab, Abihu, Eleazar neh Ithamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Tedae Nadab neh Abihu tah a napa rhoek hmai ah duek rhoi. Amih rhoi te ca tongpa a om pawt dongah Eleazar neh Ithamar te khosoih rhoi.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Amih khaw David loh ana tael coeng tih Eleazar koca lamkah Zadok neh Ithamar koca lamkah Ahimelek tah amih kah thothuengnah dongah amih aka cawhkung la a khueh.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Eleazar koca kah hlang rhoek he Ithamar koca lakah khaw boeilu la muep thoeng. Amih Eleazar koca lamloh a napa imkhui kah boeilu la aka phaeng uh he hlai rhuk lo. Ithamar koca lamkah khaw a napa rhoek imkhui kah te parhet louh.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Te tlam he hmulung neh amih te a tael uh. Te dongah Eleazar koca lamkah kah neh Ithamar koca lamkah he hmuencim mangpa neh Pathen mangpa la om uh.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Amih te Levi lamkah cadaek Nethanel capa Shemaiah loh manghai neh mangpa rhoek, khosoih Zadok neh Abiathar capa Ahimelek, khosoih napa boeilu neh Levi kah mikhmuh ah a daek pah. A napa rhoek imkhui kah te Eleazar lamkah pakhat a loh tih Ithamar lamkah a loh.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 hmulung te lamhma ah Jehoiarib taengla, a pabae ah Jedaiah taengla pawk.
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 A pathum ah Harim taengla, a pali te Seorim taengla.
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 A panga te Malkhiah taengla, a parhuk Mijamin taengla,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 A parhih te Koz taengla, a parhet te Abijah taengla.
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 A pako te Jeshua taengla, a hlai te Shekaniah taengla.
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 Hlai at te Eliashib taengla, hlai nit te Jakim taengla.
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 Hlai thum te Huppah taengla, a hlai li te Jeshebeab taengla.
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 A hlai nga te Bilgah taengla, a hlai rhuk te Immer taengla.
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 Hlai rhih te Hezir taengla, hlai rhet te Happozzez taengla.
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 Hlai ko te Pethahiah taengla, pakul te Ezekiel taengla.
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 Pakul pakhat te Jakhin taengla, pakul panit te Gamul taengla.
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 Pakul pathum te Delaiah taengla, pakul pali te Maaziah taengla.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Te rhoek long te Israel Pathen BOEIPA loh amih napa Aaron kut dongah a uen a khosing vanbangla BOEIPA im la a kun vaengah amamih kah thothuengnah dongah amih aka cawhkung la om.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Levi koca kah a coih te Amram koca lamloh Shubael, Shubael koca lamloh Jedeiah.
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Rehabiah ham te Rehabiah koca lamloh a cacuek Isshiah.
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 Izhari lamloh Shelmoth, Shelmoth koca lamloh Jahath.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Jeriah koca ah, Amariah te a pabae, Jahaziel te a pathum, Jekameam te a pali.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Uzziel koca Maikah, Maikah koca lamloh Shamir.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Maikah mana Isshiah, Isshiah koca lamloh Zekhariah.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Merari koca ah Mahli neh a capa Jaaziah koca Mushi.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Merari koca ah a capa Jaaziah lamkah neh Shoham, Zakkuur neh Ibri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Mahli lamkah he Eleazar dae anih te ca tongpa om pawh.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 Kish lamkah khaw Kish koca he Jerahmeel.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Mushi koca rhoek la Mahli, Eder, Jerimoth. He rhoek tah Levi koca rhoek kah a napa rhoek imkhui cako ni.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Amih khaw a manuca rhoek bangla manghai David, Zadok, Ahimelek neh khosoih napa boeilu rhoek, a napa Levi boeilu rhoek, voeivang kah a manuca tanoe rhoek mikhmuh ah Aaron koca bangla hmulung neh a naan uh.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.