< Job 19 >
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 kai poek nang patang o sak, nasetto maw lok hoiah nang pacaekthlaek o han vop?
lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
3 Vai hato nang zoeh o boeh; azathaih tawn ai ah panoek vai ai ih kami baktiah nang zoeh o.
Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
4 Sakpazaehaih ka tawnh cadoeh, ka sakpazaehaih loe kaimah nuiah ni krak.
Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
5 Nangcae loe kai ni nam oek o thuih, a sak ih zaehaih pongah ni azathaih hoiah oh, tiah nang naa o:
Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
6 toe kai loe Sithaw mah ni amtimsak moe, anih ih thaang pongah ka manh, tito panoek oh.
kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
7 Khenah, ka sakpazaehaih thung hoiah ka hang; mi mah doeh tahngai ai; tha hoi ka hangh, toe toenghaih hoiah lokcaek kami om ai.
Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
8 Anih mah ka poeng thaih han ai ah ka caehhaih loklam to pakaa khoep, anih mah ka caehhaih loklam ah vinghaih to suek.
Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
9 Ka lensawkhaih to anih mah ang khringh pae moe, ka lu nui ih lumuek to ang lak pae ving.
Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
10 Anih mah ahmuen kruek hoi ang boh pongah, kam ro boeh; anih mah ka oephaih to thing baktiah ang phongh pae ving.
Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
11 Anih ih palung kabae to kai khaeah ang palai moe, kai hae a misa ah ang poek.
Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
12 Anih ih misatuh kaminawk loe, kai tuk hanah nawnto angzoh o moe, kai ih kahni im taeng boih ah atai o.
Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
13 Kam nawkamyanawk to kai khae hoi kangthla ah a ohsak moe, kam puinawk doeh panoek vai ai ih kami baktiah ni oh o.
Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
14 Ka canawknawk mah ang pahnawt o moe, kam puinawk mah ang pahnet o boeh.
Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
15 Ka tamna nongpatanawk hoi ka imthung takohnawk mah angvin baktih, prae kalah kami baktiah ang khet o.
Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
16 Ka tamna to ka kawk naah, na pathim ai; tahmenhaih ka hnik cadoeh, na pathim ai boeh.
Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
17 Kang hahhaih takhi loe ka zu koeh koiah om ai, ka caanawk hanah panuet thok hmuen ah oh boeh.
Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
18 Ue, nawktanawk mah ang patoek o, kang thawk tahang naah, ang pahnui o thuih.
Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
19 Kam puinawk mah ang panuet o moe, ka palung ih kaminawk doeh ka misa ah angcoeng o ving boeh.
Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
20 Ka huh loe nganhin hoi angbet rap boeh moe, ka haa doeh angkhringh boeh.
Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
21 Aw kam puinawk, na tahmen oh, na tahmen oh; Sithaw mah ni ang boh.
Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
22 Tipongah Sithaw pacaekthlaek baktiah kai nang pacaekthlaek o loe? Kai ih angan hoiah zok nam hah o ai vop maw?
Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
23 Aw, ka loknawk hae pakuem o nasoe loe, nihcae mah cabu ah pathok o nasoe.
Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
24 Sum cacung hoiah tarik o nasoe loe, thlung nuiah dungzan ah tarik o poe nasoe!
Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
25 Kai akrangkung loe hing, tiah ka panoek; anih loe hnukkhuem atue boeng naah long ah angdoe tih;
Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
26 ka nganhin amro moe, hae takpum hae amro ving cadoeh, ka taksa hoiah Sithaw to ka hnu vop tih;
baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
27 anih to ka hnu tih; minawk mah hnuk ih na ai, kaimah roe mik hoiah ka hnu tih; ka palungthin mah zing kong boeh.
Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
28 Nangcae mah, anih hae kawbangmaw pacaekthlaek han, anih zae nethaih kawbangmaw hnuk thai han? tiah na thuih o,
Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
29 sumsen to na zit o han oh, Sithaw palungphuihaih mah sumsen hoi danpaekhaih to tacawtsak, lokcaekhaih atue oh, tiah panoek oh, tiah a naa.
ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”