< Tihtuh 1 >

1 Pamhnama mpya ja Jesuh Khritawa ngsä kei Pawluh üngkhyüh ni. Kei cun Pamhnama xüa khyangea jumeinak jah kpüi lü mi ningsaw üng mi ngtheia ngthungtak üng jah cehpüi khaia na xü lü a na tüih ni.
Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo, kwa imani ya wateule wa Mungu na maarifa ya kweli iletayo utauwa.
2 Acun hin anglät xünnak, äpeinak am tüneiki ni. Akcün am a tünei ham üng käh hleikia Pamhnam naw ahina xünnak khyütam jah pe lü, (aiōnios g166)
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios g166)
3 akcün apha law üng ania mawng cun jah mdanki. Ahin cun kei üng na ap lü jah küikyanki Pamhnam naw na sangsaki.
Kwa wakati muafaka, alilifunua neno lake katika ujumbe alionipa mimi kuhubiri. Ilinipasa kufanya hivi kwa amri ya Mungu mwokozi wetu.
4 Atänga mi tak jumnak am ka ca kcang Tihtuha vei ca ka yuki ni. Pa Pamhnam ja mi küikyan Bawi Khritaw Jesuh naw bäkhäknak ja dim’yenak ning pe se.
Kwa Tito, mwana wa kweli katika imani yetu. Neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Yesu Kristo mwokozi wetu.
5 Mlüh naküta sangcim ngvaie jah mcawnki lü hlükaw hamkie na jah bilo khaia Kareta ka ning tak hüt ni. Ka ning mcuhmthehe jah süm bä:
Kwa sababu hii nalikuacha Krete, kwamba uyatengeneze mambo yote yaliyokuwa hayajakamilika na kuweka wazee wa kanisa kwa kila mji kama nilivyokuagiza.
6 ngvai vai cun mkhye am ve yah, a khyu mat däk la yah khai. A cae pi jumei u lü pyen kpet lü am längang yah u.
Mzee wa kanisa lazima asiwe na lawama, mme wa mke mmoja, aliye na watoto waaminifu wasioshuhudiwa mabaya au wasio na nidhamu.
7 Sangcim ngvai cun Pamhnama khut bikia kya lü mkhye kpuk vai am ve yah. Ani cun khyang hnepeiki, a mlung cähki, mpyüihmahki, sosatki ja ngui jawngnakia am thawn yah.
Ni muhimu kwa mwangalizi, kama msimamizi wa nyumba ya Mungu, asiwe na lawama. Asiwe mtu wa kelele au asiye jizuia. Lazima asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi, asiwe mtu wa kusababisha ugomvi, na asiwe mwenye tamaa.
8 Ani cun khinnglei khina lü akdaw cun kphya na yah khai. Ani cun amät nängeiki, ngsungki, ngcimki ja sitihkia pi kya yah khai.
Badala yake: awe mtu mkaribishaji, apendaye wema. Lazima awe mtu mwenye akili timamu, mwenye haki, mcha Mungu, anayejitawala mwenyewe.
9 Ningsaw naw a ä a jum phyakia mawng cän akceta kcüng yah khai. Acun ngtek püikie khyeki ti cun mdan lü mtheimthangnak akcang am khyang kcee pi ngjuktha jah pe thei yah khai.
Awezaye kusimamia mafundisho ya kweli yaliyofundishwa, ili aweze kuwatia moyo kwa mafundisho mazuri na awezaye kuwarekebisha wote wanaompinga.
10 Aktunga Judah ning üngkhyüh ngthunghlai law lü ia am ngtähngkhehki ami ksingnak am khyang jah mhlei u lü jah thühlawksaki khawhah vekie.
Kwa kuwa kuna waasi wengi, hasa wale wa tohara. Maneno yao ni ya upuuzi. Wanadanganya na kuwaongoza watu katika upotovu.
11 Ami pyensak jah him vai hlü ve, isetiakyaküng, ngkeeikse ngui yahnak vai mkhüh na u lü am ami jah mthei vai jah mthei lü imkyawnge jah uplatsakie ni.
Ni lazima kuwazuia watu kama hao. Wanafundisha yale wasiyopaswa kwa faida za aibu na kuharibu familia zote.
12 Karete üngka khyang mat amimäta sahmae naw, “Karet khyange cun hleihlakie, khyükseia kba se u lü dudam u lü eiawk kthanakie,” tia a pyen hin kcangki ni. Ahina phäh akdawa jumnak ami tak law vaia, angkhat kunga jah mcing lü
Mmoja wao, mtu mwenye busara, alisema, “Wakrete wana uongo usio na mwisho, wabaya na wanyama wa hatari, wavivu na walafi.”
Haya maelezo ni ya kweli, kwa hiyo uwazuie kwa nguvu ili kwamba waweze kusema kweli katika imani.
14 ngthungtak mahki khyange üngkhyüh lawkia nghngicima ngthupete ja Judahea khuikame käh jah ngai ti khaie.
Wewe usijihusishe na hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi au amri za watu, ambao hurudisha nyuma ukweli.
15 Amimät ngcimki hea phäh anaküt hin ngcim lü ami mlungkyawng ja amimät ksingeinak am ngcim lü am ami jumeia phäh avan hin am ngcim.
Kwa wote walio safi, vitu vyote ni visafi. Lakini kwa wote walio wachafu na wasioamini, hakuna kilicho kisafi. Kwa kuwa mawazo yao na dhamira zao zimechafuliwa.
16 Pamhnam ksingkiea pyen u lüpi ami vecawh naw kpetki. Amimi cun pyen am ngai lü jah cawkei phyakia kya lü akdaw pawh khaia am nglawi u.
Wanakiri kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Wao ni waovu na wasiotii. Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema.

< Tihtuh 1 >