< Romah 1 >

1 Jesuh Khritawa mpya ja ngsä vaia khü, Pamhnama thangkdaw sang khaia xüa Pawluh üngkhyüh ni.
Kutoka kwangu mimi Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, na mtume niliyeteuliwa na kuitwa kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema ya Mungu.
2 Cangcim üng ang’yuka kba thangkdaw cun ajana Pamhnam naw sahmae veia khyütam a jah peta kyaki.
Hapo kale, Mungu aliwaahidia watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii wake katika Maandiko Matakatifu.
3 Pumsa lama Davita mjü üngkhyüh hmi lawki, a capa,
Hii Habari Njema inamhusu Mwana wa Mungu, Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye mintarafu ubinadamu wake, alikuwa mzawa wa Daudi;
4 mi Bawipa Jesuh Khritawa mawng, thihnak üngkhyüh a thawhnak be cun naw a johit dämduhki Pamhnama Cakpa üngka ngcimcaihnak mdanki.
mintarafu utakatifu wake wa kimungu, alithibitishwa kwa uwezo mkuu kwamba ni Mwana wa Mungu kwa kufufuliwa kutoka wafu.
5 Ani üngka Pamhnam naw kei cun Jesuha phäha ngsäa kya lü khyangmjü avan naw jum lü kcangnak vaia lam jah msüm khaia kcün kdaw a na peta kyaki.
Kwa njia yake, mimi nimepewa neema ya kuwa mtume, ili kwa ajili yake niwaongoze watu wa mataifa yote wapate kuamini na kutii.
6 Ahin cun nangmi Romahe Pamhnam naw Jesuh Khritaw üng a ning jah ka vaia a ning jah khüa kyaki ni.
Ninyi ni miongoni mwa watu hao; mmeitwa muwe watu wake Yesu Kristo.
7 Romah mlüh üng Pa Pamhnama mhläkphyanak ja, ngcimcaih khaia jah khüe naküta veia:
Basi, ninawaandikia ninyi nyote mlioko Roma ambao Mungu anawapenda, akawateua muwe watu wake. Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
8 Nami jumnak khawmdek avan üng ngthang hükia kyase, nangmia phäha, Jesuh Khritawa ngming üng akcüka, Pamhnam ka jenaki.
Awali ya yote, namshukuru Mungu wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inasikika duniani kote.
9 Nami phäha angläta ka ktaiyüki, a Cakpaa thangkdaw sangkhap lü, a khut ka mlungkyawng avan am ka bi hin ka juma Pamhnam cun saksi ni.
Mungu, ambaye ninamtumikia kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Habari Njema ya Mwanae, ni shahidi wangu kwamba ninawakumbukeni
10 Pamhnam naw a hlükawei ta nami veia ka lawnak hlawt vaia ngläta ka ktaiyüki.
daima katika sala zangu. Namwomba Mungu akipenda, anipatie nafasi nzuri ya kuja kwenu sasa.
11 Aktäa ning jah hmu hlü veng. Isetiakyaküng nami khängceknak vaia ngmüimkhya dawkyanak ka ning jah teyet hlüa phäh ni.
Kwa maana ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi ya kiroho na kuwaimarisha.
12 Ka ti hlü ta, nami jumnak ja ka jumnak am ngjuktha mi ngpetei vai ka ti hlünaka kyaki ni.
Ndiyo kusema, tutaimarishana: imani yenu itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha ninyi.
13 Ka püie, nami veia ka law vaia ka ngtün üngpi am ka law vaia na khamki veki ni. Khyangmjükcee ami ngthunghlaia kba, nangmi pi nami ngthunghlai vaia ka hlüeia kyaki.
Ndugu zangu, nataka mjue kwamba mara nyingi nilikusudia kuwatembeleeni, lakini mpaka sasa nimezuiwa. Ningependa kupata mafanikio mema kati yenu kama nilivyopata kati ya watu wa mataifa mengine.
14 Kei hin Krike ja khyang kceea pi kyase, khyang ngmawnge ja akthemea pi kyase; khyangmjü naküta phäha ka mta veki.
Ninalo jukumu kwa watu wote, waliostaarabika na wasiostaarabika, wenye elimu na wasio na elimu.
15 Acunakyase, Romaha nami vekiea veia pi thangkdaw pyen khaia ka yüki ni.
Ndiyo maana ninatamani pia kuihubiri Habari Njema kwenu ninyi mlioko huko Roma.
16 Thangkdaw cun Pamhnama johita kyase jumeikie naküta phäh küikyannaka kyaki tia ka üpeiki. Akcüka Judahe phäha kya lü, acunkäna khyangmjükceea phäha kyaki tia ksing lü thangkdaw cun kei naw am hmaisetei na veng.
Sioni aibu kutangaza Habari Njema; yenyewe ni nguvu ya Mungu inayowaokoa wote wanaoamini: Wayahudi kwanza, na wasio Wayahudi pia.
17 Thangkdaw cun ngdang lü ihawkba Pamhnam naw amät am jah ngsungpyunsaki ti cun jumeinak üng ni tüneinak üngkhyüh akpäihnak vei cäpa a kyak ve. Cangcim naw a pyena akba, “A jumnaka phäh Pamhnam naw a angsungpyunsaka khyang cun xüng khai.”
Kwa maana Habari Njema inaonyesha wazi jinsi Mungu anavyowakubali watu kuwa waadilifu; jambo hili hufanyika kwa imani, tangu mwanzo mpaka mwisho. Kama ilivyoandikwa: “Mwadilifu kwa imani ataishi.”
18 Ngthu kcang ksingnak vai jah sungkhamkie khyang ksee jah mkhyenakea phäh Pamhnama mlungsonak cun khankhaw üngkhyüh ngdang lawki.
Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi na uovu wote wa binadamu ambao kwa njia zao mbaya wanaupinga ukweli usijulikane.
19 Isetiakyaküng, Pamhnam naw mkhyekatnak thungki, isetiakyaküng, amimi naw Pamhnam ami ksing vai jäki ni. Pamhnam amät kung naw a jäsak ni.
Kwa maana, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhirisha.
20 Pamhnam naw khawmdek a tüipyan üng am hmuh theia a khyaihnak, angsäia johit ja Pamhnama a kyaknak cun a tüipyange üng ngsingteeiki ni. Acunakyase, acuna khyange naw ami lätnak vai am pyen thei u. (aïdios g126)
Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, uwezo wake wa milele na uungu wake, ingawa havionekani kwa macho, vinafahamika wazi. Watu wanaweza kuyajua mambo hayo kutokana na vitu hivyo alivyoumba Mungu. Kwa hiyo hawana njia yoyote ya kujitetea! (aïdios g126)
21 Pamhnam ksing u lü pi am mhlünmtai u; jenak pi am pyen u; am ngtähkia cungai u se, ami mlungkyawng axawn cun nghmüp am beki.
Ingawa wanajua kuna Mungu, lakini hawampi heshima anayostahili, wala hawamshukuru. Badala yake, fikira zao zimekuwa batili na akili zao tupu zimejaa giza.
22 Akthemea ngaieikie cunsepi angkie,
Wanajidai kuwa wenye hekima, kumbe ni wapumbavu.
23 Am thi theikia Pamhnam cun am hjawhkhah u lü, Pamhnama nghnün üng thi theikia nghngicime, khae, khisae ja mcea ngvak hükiea mäih juktuh pyang u lü sawhkhahkie.
Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao.
24 Acunakyase, Pamhnam naw ami mlung hlüa aksekhyue ja ngkekhyakeinak cun mat ja mata khana bilawh vaia a jah pet.
Kwa sababu hiyo, Mungu amewaacha wafuate tamaa mbaya za mioyo yao na kufanyiana mambo ya aibu kwa miili yao.
25 Pamhnama ngthu kcang cun hleihlaka nglatsak u lü, mhnünmcengki jum vaia hnün üng a mhnünmcenga ksai hjawkhah u lü mküimtokie. Mhnünmcengki cun angläta mküimto vai ni. Amen. (aiōn g165)
Wanaubadili ukweli juu ya Mungu kwa uongo; wanaheshimu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye sifa milele! Amina. (aiōn g165)
26 Isetiakyaküng ahin ami bi cun Pamhnam naw ngkekhyakei phyakia hüipawmnak a jah peta phäha ni. Nghnumie naw pi nglawi khaia venak vaia ami ngtüipüi cun am nglawi khaia nglat lü vecawhnakie.
Kwa hiyo, Mungu amewaacha wafuate tamaa mbaya. Hata wanawake wanabadili matumizi yanayopatana na maumbile.
27 Kpami he naw pi nghnumi nglawikia ami ihawm püi vai cun hawih u lü, am dawkia hüipawmnaka mlungmthin am kpami ja kpami am nglawi khaia ipawm u lü, acuna phäh mkhuimkhanak amimät naw amimäta khana pha law khaia bilokie.
Nao wanaume hali kadhalika, wanaacha kufuata matumizi ya maumbile ya mume na mke wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wanafanyiana mambo ya aibu, na hivyo wanajiletea wenyewe adhabu wanayostahili kwa vitendo vyao viovu.
28 Acunüng, Pamhnam ami ksing vai am ngaikiea kyase, am nglawiki pawh khaiea, am dawkia mlungmthin ta khaiea, Pamhnam naw jah hawihin se,
Kwa vile watu walikataa kumtambua Mungu, Mungu amewaacha katika fikira zao potovu, wakafanya yale ambayo hawangestahili kufanya.
29 am ngsungpyunnak, mkhyekatnak, kamvanak, ngneingnawng am dawnak naküt am be lawki he; khyang hnimnak, ngvawknak, hleihlaknak, am dawkia vecawhnak am be u lü; am dawkia khyang pyeneikie,
Wamejaa kila aina ya uovu, dhuluma, ulafi na ufisadi. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu na nia mbaya; husengenya,
30 khyang am mpyeneikia khyange, Pamhnam hnengkia khyange, khyang mlungso, kyäp säihkia ngaikia khyange, awcahkia khyange, mkhyekatnak akthai mtüikia khyange, nupaa pyen am cungaikia khyange,
na kusingiziana; ni watu wa kuchukiza kwa Mungu, wafidhuli, wenye kiburi na majivuno; hodari sana katika kutenda mabaya, na hawawatii wazazi wao;
31 mät naw mät ksingnak am takia khyange, ami pyena kba am vekie, mhläkphyanak am ngtüipüikia khyange, mpyeneinak am takia khyanga kya lawki he;
hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.
32 acuna ngkhaw jah pawhmsahkie naküt cun, thi khai kunga kyaki ni tia Pamhnama thuma pyen cun ksingkie. Amimät däka am kyase, khyang kce acukba pawhmsah khawikiea khana pi aktäa jekie.
Wanajua kwamba Sheria ya Mungu yasema kwamba watu wanaoishi mithili hiyo, wanastahili kifo. Zaidi ya hayo, siyo tu kwamba wanafanya mambo hayo wao wenyewe, bali hata huwapongeza wale wanaofanya mambo hayohayo.

< Romah 1 >