< Mahte 21 >

1 Jesuh ja axüisaw he Jerusalema law u lü Olip mcung, Betphake ngnam ami pha law üng Jesuh naw, “Axüisaw xawi nghngih maa jah na tüih lü,
Yesu na wanafunzi wake wakafika karibu na Jerusalemu na wakaenda mpaka Bethfage, katika mlima mizeituni, kisha Yesu akawatuma wanafunzi wawili,
2 nani maa vekia ngnama cit ni lü, sanghngaksaü mat ja, a ca ami jah kphung nani hmuh khai. Jah sut ni lü ka veia nani jah lawpüi vai.”
akiwaambia, “Nendeni katika kijiji kinachofuata, na mara moja mtamkuta punda amefungwa pale, na mwanapunda pamoja naye. wafungueni na kuwaleta kwangu.
3 Khyang naw a ning jah kthäh üng, “Bawipanaw jah hlüei ve,” nani ti vai. Acunüng angxita ning jah tüih law khai ni,” a ti.
Ikiwa mtu yeyote akiwaambia chochote kuhusu hilo, mtasema, `Bwana anawahitaji, ` na mtu huyo mara moja atawaruhusu mje pamoja nao”
4 Ahin avan cun sahma naw a na pyen law,
Jambo hili lilitokea ni lile lililosemwa kupitia kwa nabii lazima litimizwe. Akawaambia,
5 “Zion mlüh üng mtheh ua, Tenga, na Sangpuxang na veia law ve! Ani cun a mlung nem lü sanghngaksaü, ja sanghngaksaüca xawia khana ngcumki,” ti akümkawinak vaia kyaki.
Waambie binti Sayuni, tazama, mfalme wako anakuja kwenu, mnyenyekevu na akiwa amempanda punda, na mwana punda mme, mwana punda mchanga.
6 Acunüng, axüisaw xawi naw cit ni lü, Jesuh naw a jah mtheha mäiha ani va pawh.
Kisha wanafunzi waliondoka na kufanya kama Yesu alivyowaagiza.
7 Sanghngaksaü ja a ca cun jah lawpüi u lü, ami suisake a khana jah mtaikie naw, Jesuh cun a khana ami ngawhsak.
Wakamleta punda na mwanapunda, na kuweka nguo zao juu yao, naye Yesu akakaa pale.
8 Khyangpänu naw ami suisak lama ami jah phah üng, avang naw nghleng hnahe jah ksawm u lü jah phahkie.
Wengi katika mkusanyiko walitandaza nguo zao njiani, na wengine walikata matawi kutoka kwenye miti na kutandaza barabarani.
9 Khyangpä a ma a na citkie ja amät läki he naw, “Hosana Davita Capa, Bawipa ngming am lawki josennak be se! A hlüngnak säih khankhawa Hosana,” ti lü, ngpyangkie.
Umati uliomtangulia Yesu na wale waliomfuata walipaza sauti, wakisema,”Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana. Hosana juu zaidi!”
10 Jerusalem a pha law üng, mlüh üngka ami van üicai u lü, “Ani u ni?” ti lü pyenkie.
Yesu alipofika Yerusalemu, mji mzima ulishtuka na kusema, “Huyu ni nani?
11 Khyangpänu naw, “Hin cun sahma Jesuh, Kalile hne, Nazaret mlüh üngka ni,” ami ti.
“Umati ulijibu, “Huyu ni Yesu Nabii, kutoka Nazareti ya Galilaya.”
12 Jesuh Temple k'uma lut lü Temple k’uma jawitukie ja kheikie jah sät lü tangka mhlaikie ja müm jawikiea ngawhnake, avan a jah hukxänin.
Kisha Yesu akaingia katika hekalu la Mungu. akawafukuza nje wote waliokuwa wakinunua na kuuza hekaluni. Pia alipindua meza za wabadilishaji wa fedha na viti vya wauza njiwa.
13 Acunüng Jesuh naw, “Cangcim üng, ‘Ka im cun ktaiyünak ima sui khaie’ ti lü ng’yuki, nangmi naw mpyukeiea ngthupnak ima pyang ve uki” a ti.
Akawaambia, “Imeandikwa, `'Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi, `lakini ninyi mmeifanya pango la wanyang`anyi.”
14 Amikmü ja akxoe, temple k'uma law u se Jesuh naw a jah mdaw be.
kisha vipofu na vilema wakamjia hekaluni, naye akawaponya.
15 Ktaiyü ngvaie ja Thum mtheie naw müncanksee a pawhmsah ja, hnasene naw, “Hosana Davita Capa,” ti lü, ami ngpyang hmuh u lü aktäa ami mlung soki.
Lakini wakati wakuu wa makuhani na waandishi walipoona maajabu aliyoyatenda, na waliposikia watoto wakipiga kelele hekaluni na kusema, “Hosana kwa Mwana wa Daudi,” walishikwa na hasira.
16 Jesuh üng, “Amimi naw i pyenkie ti na jah ngjaki aw?” ami ti. Jesuh naw, “Ä, hnasene ja cihtui k’aw naca hea mpyawng üng mhlünmtainak na yahki ni,” ti lü ng’yuki am nami khe khawiki aw?” a ti.
Wakamwambia, “Umesikia kile kinachosemwa na hawa watu?” Yesu akawaambia, “Ndiyo! Lakini hamjawahi kusoma, 'Kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga wanyonyao mna sifa kamili?''
17 Jesuh naw jah hawih hüt lü Bethanih mlüha cit lü acuna mthan cun acuia ipki.
Kisha Yesu akawaacha na kwenda nje ya mji katika Bethania na kulala huko.
18 Ngawilama mlüh da a nghlat law be üng, a ei ngaih lawki.
Asubuhi alipokuwa anarudi mjini, alikuwa na njaa.
19 Kthei thing lam peia hmu lü kthei thing da cit kyawki, am ngthei lü a hnah däk ve se a hmuh. “Käh ngthei ti sümsüm kawpi,” ti se, acunüng kthei thing cun ngjai lü thiei lawki. (aiōn g165)
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn g165)
20 Axüisawe naw acun ami hmuh üng, “Ihawkba Fik dung akjangnua khyawngei lawki ni?” ti lü müncankie.
Wanafunzi walipoona, wakastaajabu na kusema, “Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?”
21 Jesuh naw jah msang lü, “Akcanga ka ning jah mthehki, jumei kcang lü mlung hlawthlatnak am nami tak üng hina Fikdung däk am ni lü, hina mcung üng, ‘Hin üngka naw ngnawn lü mliktuia kya se’ nami ti üng nami tia mäiha kya khai.”
Yesu akajibu na kuwaambia, “Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani na bila wasiwasi, hamtafanya kile kilichofanyika kwa huo mtini tu, lakini mtauambia hata huo mlima, ` uchukuliwe na ukatupwe baharini, `na itafanyika.
22 Nami jumei üng nami täsam naküt nami yah khai,” a ti.
Chochote mtakachoomba kwa sala, huku mkiamini, mtapokea.”
23 Templea law be lü a jah mthei k'um üng, ktaiyü ngvaie ja a xüe a veia law u lü, “Ahin he jah pawh vaia ia ana ja na tak? U naw ahin he na jah pawhak vai ana a ning pet ja?” ti lü ami kthäh.
Yesu alipofika hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamjia wakati alipokuwa akifundisha na kumwuliza, “Ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Na ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
24 Jesuh naw jah msang lü, “Kei pi mat däk ka ning jah kthäh khai. Nami na msang üng, kei naw pi ahin he ka jah pawhnak vaia ia ana ka tak cun ka ning jah mtheh khai.”
Yesu akajibu na kuwaambia, “Nami tena nitawauliza swali moja. kama mkiniambia, nami vilevile nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
25 Johana a baptican hin hawia khyüh lawki ni? Pamhnam üngkhyüh mä. Khyang üngkhyüh mä” a ti. Amimäte naw ngcuh u lü, “I mi ti khai ni. Pamhnam üngka naw ni” mi ti üng mä, “Ise Johan am nami kcangnaki ni,” ti hlü kbak.
Ubatizo wa Yohana- ulitoka wapi, mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wenyewe, wakisema, tukisema, ulitoka mbinguni, `atatuambia, kwa nini hamkumwamini? `
26 “Khyang üngka naw” mi ti üng pi khyang he naw i ami pawh vai ti kyühei phyaki. Isetiüng, khyang avan naw Johan cun sahma mat ti ksingki he,” ami ti.
Lakini tukisema, `ulitoka kwa wanadamu, `tunawaogopa makutano, kwa sababu wote wanamwona Yohana kama nabii.”
27 Jesuh üng, “Am ksing ve u nawng,” ami ti. Jesuh naw, “Kei pi ia ana am ka pawh ti am ning jah mtheh hlü veng,” a ti.
Kisha wakamjibu Yesu na kusema, “Hatujui” Akawaambia pia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani nafanya mambo haya.
28 “Ihawkba nami ngaiki ni? Ahlana nghngih canaki khyang mat veki. Akdäma veia cit lü, “Ka ca aw, tuhngawi ngvawnga cit lü va khüia,” a ti.
Lakini mnafikiri nini? Mtu mwenye wana wawili. Akaenda kwa moja na kumwambia, `Mwanangu, nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu
29 A ca naw, “Kaa! am cit hlü veng,” a ti kyaw, akäna a mlung nglat law be lü citki.
leo. `Mwana akajibu na kusema, `sitakwenda, ' Lakini baadaye akabadilisha mawazo yake na akaenda.
30 Acunüng anghngihnaka veia cit lü acukba bäa a mtheh. Ani naw, “Ä ja, cit kawng,” ti lü am cit.
Na Mtu yule akaenda kwa mwana wa pili na kusema kitu kilekile. Mwana huyu akajibu na kusema, `nitakwenda, bwana', lakini hakwenda.
31 Ahin xawi üng u naw ni a paa ngjakhlü a pawh?” a ti. Amimi naw, “Akdäm ni,” ami ti. Acunüng Jesuh naw, “Akcanga ka ning jah mthehki, akhawnkawke ja nghnumi ksee nami maa Pamhnama Khawa lut ve u.”
Yupi kati ya wana wawili aliyefanya matakwa ya baba yake? Wakasema, “Mwana wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla yenu kuingia.
32 Isetiüng ta Baptican Johan lam kdaw ning jah mhnuh khaia law se am jumei uki; cunsepi, akhawnkawke ja nghnumi ksee naw ani jumkie. Acun nami hmuh käna pi ngjut lü am jum uki,” a ti.
Kwa maana Yohana alikuja kwenu kwa njia iliyo nyoofu, lakini hamkumwamini, wakati wakusanya ushuru na makahaba walimwamini. Na ninyi, mlipoona hilo likitendeka, hamkuweza kutubu ili baadaye mumwamini.
33 Jesuh naw, “Msuimcäpnak akce ngai betü ua: khyang mat ngvawngmah veki, acun naw capyit ngvawng pyang lü ngvawng lü capyittui suinak vai khui co lü, ngängnak vai kyäng a sak. Khüikie üng jah khah lü athuknaka khaw kcea kdungki.
Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu, mtu mwenye eneo kubwa la ardh. Alipanda mizabibu, akaiwekea uzio, akatengeneza na chombo cha kukamlia divai, akajenga na mnara wa walinzi, na akalikodisha kwa watunza zabibu. Kisha akaenda katika nchi nyingine.
34 Capyit angtheih lawa kcün üng, amäta hama capyit ngthei kbit khai hea a mpyae ngvawng ngängkiea veia a jah tüih.
Wakati wa mavuno ya mizabibu ulipokaribia, aliwatuma baadhi ya watumishi kwa wakulima wa mizabibu kuchukua mizabibu yake.
35 Ngvawng ngängkie naw ngvawngmaha a mpyae jah man u lü mat ami kpaih, mat ami hnim, mat lung am ami vawih.
Lakini wakulima wa zabibu wakawachukua watumishi wake, wakampiga mmoja, wakamwua mwingine, na wakampiga mmoja kwa mawe.
36 Acunüng ngvawngmah naw akcüka kaa kthak nungkia, a mpya kce he a jah tüih betü. Acunsepi acukba kunga ami jah na pawh betü.
Kwa mara nyingine, Mmiliki aliwatuma watumishi wengine, wengi zaidi ya wale wa kwanza, lakini wakulima wa mizabibu waliwatendea vilevile.
37 Akpäihnaka amäta ca, “Ahin ta leisawng khaie ni, am pawh hngaläk u” ti lü a tüih betü.
Baada ya hapo bwana yule akamtuma kwao mwana wake, akisema, `'Watamheshimu mwanangu.'`
38 Cunsepi ngvawng ngänge naw ami hmuh üng, “Hin hin ngvawngmaha ca va ni kbak. Law ua mi hnim lü a khawh mi bi vai u,” ti u lü,
Lakini wakulima wa mizabibu walipomwona kijana yule, wakaambizana, `'Huyu ni mrithi, Njooni, tumuue na tumiliki urithi.'
39 man lü ngvawng kpunga xawt lü ami hnimin u.
`Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu na kumwua.
40 “Tuh ta ngvawngmah a law üng, ngvawng ngängkie cun ihawkba jah pawh khai ni?” a ti.
Je mmliki wa shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanya nini wakulima wa mizabibu?”
41 Msang u lü, “Acuna khyang ksee cun jah hnim khaia ngsing ve. Ngvawng pi capyit angthei law kcün üng, tha law khai hea khyang kce he üng jah khah khai,” ami ti.
Wakamwambia, “Atawaharibu hao watu waovu katika njia ya ukali zaidi, na kisha atalikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine wa mizabibu, watu ambao watalipa kwa ajili ya mizabibu itakapoiva.”
42 Jesuh naw “Cangcim naw a pyen am nami khe khawikie aw? “Imksae naw am daw se ami hawiha lung cen, akdaw säih lunga thawn law khawiki. Ahin cun Bawipa naw a pawha kyaki, ahin cun müncan vaia kyaki, ihlawka müncan phyaki ni!”
Yesu akawaambia, “Hamkusoma katika maandiko, 'Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi. Hili lilitoka kwa Bwana, na inashangaza machoni petu?'
43 Acunakyase, ka ning jah mthehki, “Pamhnama Khaw ning jah hut lü ngtheisak pungpyahsak khaia khyang he üng jah pet vai.
Hivyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake.
44 “Aupi, hina lung üng kyaki cun khuikhaiei khaia bo vai. Ahina lung naw a kyaknak cun mput khuia thawn khai,” a ti.
Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande. Lakini kwa yeyote litakayemwangukia, litamsaga.”
45 Ktaiyü ngvaie ja Pharise he naw acuna msuimcäpnak cun ami ngjak üng, amimi a jah tinak ti ksingki he.
Wakuu wa makuhani na mafarisayo waliposikia mifano yake, wakaona kuwa anawazungumzia wao.
46 Acunüng, man khai hea ami bü. Cunsepi Jesuh cun sahma tia jumeikia khyangpänu ami jah kyüh.
Lakini kila walipotaka kunyosha mikono juu yake, waliogopa makutano, kwa sababu watu walimtazama kama nabii.

< Mahte 21 >