< Mahte 2 >
1 Sangpuxang Herod a Bawi kcün üng Jesuh cun Judah khaw Bethlehem mlüha hmi lawki. Acunüng nghngilawa ka khyang kthem he Jerusalem da lawki he.
Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethelehem ya Uyahudi katika siku za mfalme Herode, watu wasomi kutoka mashariki ya mbali walifika Yerusalemu wakisema,
2 “Hawia ni Judahea Sangpuxang vai hmi lawki hnasen cun. Ania aisi nghngilaw da lut lawki hmu u lü sawkhah khaia kami lawki he ni” ami ti.
“Yuko wapi yeye ambaye aliyezaliwa Mfalme wa Wayahudi? Tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kumwabudu.”
3 Sangpuxang Herod naw acun ngja üng cäicing pyangmaki. Jerusalem mlüha awmkia khyang he naküt pi cäicing hngaki he.
Pindi Mfalme herode aliposikia haya alifadhaika, na Yerusalemu yote pamoja naye.
4 Sangpuxang Herod naw, ktaiyü ngvai he ja thum mthei he jah mkhäm lü, “Khritaw hawia hmi khai ni?” ti lü a jah kthäh.
Herode akawakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, naye akawauliza, “Kristo atazaliwa wapi?”
5 Amimi naw, “Judah khaw, Bethlehema hmi khaia Sahma naw a yuk ni” ti lü ami pyen.
Wakamwabia, “Katika Bethelehemu ya Uyahudi, kwa kuwa hivi ndivyo ilivyoandikwa na nabii,
6 “Judah hne Bethlehem mlüh, Nang hin Judah mlühe üng na ngming ngthang khai ni. Nang üngka naw Bawi ngtüi law khai, ani naw ka khyang Isarel he lam jah msüm khai.”
Nawe Bethelehemu, katika nchi ya Yuda, si mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda, kwa kuwa kutoka kwako atakuja mtawala atakayewachunga watu wangu Israeli.”
7 Acunüng, Herod naw khyang kthem he cun angmpyua jah khü lü, aisi angdang lawa kcün cun angsinga a jah kthäh.
Hivyo Herode aliwaita wale wasomi kwa siri na kuwauliza ni wakati gani hasa nyota ilikuwa imeonekana.
8 Acunüng, Herod naw Bethlehema jah tüih lü, “Cit u lü hnasen cun akdawa va sui ua. Nami hmuh üng na mtheh law be uki se, kei pi cit lü ka va sawkhah hnga khai” a ti.
Akawatuma Bethelehem, akisema, “Nendeni kwa uangalifu mkamtafute mtoto aliyezaliwa. Wakati mtakapomwona, nileteeni habari ili kwamba mimi pia niweze kuja na kumwabudu.”
9 Acunüng cit u lü, nghngilaw da ami hmuh kunga aisi cun hmu betüki he. Ami hmuh üng jekyai tawngki he. Aisi cun ami maa cit lü hnasena awmnaka ngdang a pha üng ngdüiki.
Baada ya kuwa wamemsikia mfalme, waliendelea na safari yao, na nyota ile waliyokuwa wameiona mashariki iliwatangulia hadi iliposimama juu ya mahali mtoto aliyezaliwa alipokuwa.
Wakati walipoiona nyota, walifurahi kwa furaha kuu mno.
11 Im k'uma va lut u lü hnasen ja a nu Marih ami jah hmuh üng ngdäng u lü, hnasen kpamica cun sawkhahki he. Acunkäna ami lawpüia khawhthem he jah nghmawng u lü xüi, Frankisen ja Mura ng'ui he jah peki he.
Waliingia nyumbani na kumuona mtoto aliyezaliwa na Mariamu mama yake. Walimsujudia na kumwabudu. Walifungua hazina zao na kumtolea zawadi za dhahabu, uvumba, na manemane.
12 Acunkäna Sangpuxang Heroda awmnak lam da käh ami ceh be vaia, Pamhnam naw ami ngmang üng jah mtheh se, lam kce üng ami khyawngpe da cu cit beki he.
Mungu aliwaonya katika ndoto wasirudi kwa Herode, hivyo, waliondoka kurudi katika nchi yao kwa njia nyingine.
13 Acun he ami ceh be käna, Bawipaa khankhawngsä mat law lü, Josepa ngmang üng, “Tho law lü, hnasen ja a nu Egypt pea jah cenpüia, ka ning jah mtheh law be vei cäpa acuia awm u, isetiüng ta Herod naw hnasen hnim khaia sui hüki ni” ti lü a jah mtheh.
Baada ya kuwa wameondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto na kusema, “Inuka, mchukue mtoto na mama yake na mkimbilie Misri. Bakini huko mpaka nitakapowaambia, kwa kuwa Herode atamtafuta mtoto ili amwangamize.
14 Acuna mthan üng Josep cun tho law lü, naca ja a nu jah cehpüi lü Egypt pea dawngki.
Usiku huo Yusufu aliamka na kumchukua mtoto na mama yake na kukimbilia Misri.
15 Sangpuxang Herod a thih vei cäpa acuia awmki he. Ahlana Bawipa naw sahma üng a pyen “Egypt pea ka ca ka khü be ni” ti lü awmki cen kümcei lawnak vaia phäh ni.
Aliishi huko hadi Herode alipo kufa. Hii ilitimiza kile Bwana alichokuwa amenena kupitia nabii, “Kutoka Misri nimemwita mwanangu.”
16 Nghngilaw khyang kthem he naw mhleiki he ti Sangpuxang Herod naw a ksing law üng thüi law lü Bethlehem ja apeia awmki hnasen kpamica kum nghngiha kke üngka naküt a jah hnimsak. Acun cun khyang kthema veia a ksing aisi akcük a ngdang law üngkhyüh kum nghngih lawkia kya se, kum nghngih lawki Judah hnasen naküt a jah hnimsak.
Kisha Herode, alipoona kuwa amedhihakiwa na watu wasomi, alikasirika sana. Aliagiza kuuawa kwa watoto wote wa kiume waliokuwa Bethelehemu na wote katika eneo lile ambao walikuwa na umri wa miaka miwili na chini yake kulingana na wakati aliokuwa amekwisha thibitisha kabisa kutoka kwa wale watu wasomi.
17 Acukba sahma Jeramih naw ahlana a na pyen law küm lawki ni.
Ndipo lilipotimizwa lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yeremia,
18 “Ramah mlüha sünnak, mbawikyahnak ngja ve u. Rachel naw a ca kyahei ve; mhlawhmcah vai pi mah ve, a ca he thih päiha phäh ni” ti lü awmki.
“Sauti ilisikika Ramah, kilio na maombolezo makubwa, Raheli akiwalilia watoto wake, na alikataa kufarijiwa, kwa sababu hawapo tena.”
19 Herod a thih käna Bawipa khankhawngsä mat Josepa ngmang üng ngdang vai lü,
Herode alipo kufa, tazama malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto huko Misri na kusema,
20 “Tho law lü, hnasen ja a nu Isarel pea jah cehpüi bea, hnasen hnim hlüki he thih päng ve u” ti lü a jah mtheh.
“Inuka mchukue mtoto na mama yake, na mwende katika nchi ya Israeli kwa maana waliokuwa wakitafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
21 Acunüng, Josep cun tho law lü hnasen ja a nu jah cehpüi lü Isarel khyawngpe da cit beki.
Yusufu aliinuka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, na wakaja katika nchi ya Israeli.
22 Acunüng, Sangpuxang Heroda capa Akhejah, a paa hnün üng Judah Bawia thawnki ni ti ngjak lü, Josep kyühei lü cit be damki. Pamhnam naw a ngmang üng a mtheha mäiha Kalile hneha cit lü acuia awmki.
Lakini aliposikia kuwa Arikelau alikuwa anatawala Yuda mahali pa baba yake Herode, aliogopa kwenda huko. Baada ya Mungu kumuonya katika ndoto, aliondoka kwenda mkoa wa Galilaya
23 Acunüng, Nazaret mlüha im sa lü awmki. Sahma he naw ami na pyen, “Ani cun Nazaret khyanga sui khai he” ti a kümcei lawnak ni.
na alienda kuishi katika mji uitwao Nazareti. Hili lilitimiza kile kilichokuwa kimekwisha kunenwa kwa njia ya manabii, kwamba ataitwa Mnazareti.