< Makuh 7 >

1 Pharise avang he la thum jah mtheiki he Jerusalem üngka naw law u lü Jesuha veia ngcun lawki he.
Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
2 Acunüng axüisaw he naw ami kut mtüihkheh am ei u se jah hmu u lü ami jah msing, acun cun Pharise hea kba ami kut am ami mthiheia kyaki. (
Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
3 Isetiakyaüng, Pharise he la Judah he naw pupa thum läk u lü ami kut aküa am ami mthi üng ei am ami ei khawia phäha kyaki.
(kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
4 Jawituknak üngka naw ami lawpüi ipi am mthi lü am ei u. Pupa thum khawjah läk piling vaia ami ngai he cun khawt he, k’am he, mlikbe he la ihnak he jah mthia ngkhaw hea kyaki.)
Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
5 Acuna Pharise he la thum jah mtheiki he naw, “Ise na xüisaw he naw pupa he naw jah mthei u lü ami jah tak hüta thum am läk u lü, ami kut mtüihkheh am ei aw sawxatki he ni?” tia, ami kthäh.
Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
6 Jesuh naw jah msang lü, “Hesajah naw nangmia hleihlaknak hinkba a pyen hin cang ve: ‘Hina khyang he naw ami m'yawng am na ngak u lü, ami mlungmthin am na thuk ta ve u.
Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
7 Amdanga na sawkhah u lü, khyanga thum he Mhnama thum hea kba jah mtheiki he!’ a ti cen,
Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
8 Pamhnama ngthupet yawk u lü khyanga thumcam nami läki,” a ti.
Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
9 Jesuh naw pyen be lü, “Pamhnama ngthupet nami yawknak vaia phäha namimäta thumcam nami ktung naki.
Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
10 Mosi naw, ‘Na nu la na pa na jah mhlünmtai vai, u pi a nu la a pa jah ksenaki cun mkhyüh vai’ a ti
Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
11 Cunsepi khyang naw a nu la a pa üng a pet vaia khawhthem ta mah mah lü, ‘hin hin Koban ni’ (Koban ti cun mhnama ka ni tinaka kyaki) ti lü,
Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
12 a nu pa am a jah kpüikpaknak vaia lam suiki.
hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
13 Ahinkba namimäta nami jah mtheimthangnak am Mhnama ngthu nami yawkki. Acukba am dawki nami pawh khawjah awmki,” a ti.
Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
14 Acunüng Jesuh naw khyang khawjah a veia jah khü be lü, “Nami van naw na ngai u lü, ksing ua.
Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
15 Nami m'yawng üng ju lutkia nami ei naw pamhnam hjawhkhahnak vaia am ning jah mtüihkhehsak ve, cunsepi nami m'yawng üng lut lawkia ngthu naw ni a ning jah mtüihkhehsak ve” a ti.
Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
(Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
17 Jesuh cun khyang he jah yawk lü ima lut se, axüisaw he naw acuna suilam a jah mtheh khai vaia ami kthäh.
Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
18 Jesuh naw, “Nangmi pi ahikba sena am nami ngsümki aw? Am nami ksingki he aw? M'yawng üng lutkia ei naw khyang am mtüihkhehsaki tia angsinga nami ksingki.
Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
19 M'yawng üng lutki cun khyanga mlungmthin k’uma am lut lü a khawnua k’uma ni a luh ve. Acunüng a pumsa üngka naw kpunga lut law bekia kyaki,” a ti. (Acun a pyenak am Jesuh naw ei avan ei vaia nglawiki a tinaka kyaki.)
kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
20 Jesuh naw pyen be lü, “Khyanga k’um üngka naw lut lawki naw va khyang mtüihkhehsak theiki.
Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
21 Isetiakyaüng khyanga mlungmthin k’uma am dawkia ngaihkyunak, m'yuknak, khyang hnimnak,
Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
22 khyanga khyuca katnak, khyanga ka mnaiheinak, am dawkyaki avan jah pawhmsahnak; hleihlaknak, hüipawmnak, ng’eihkyünak, pyenksenak, awhcahnak ja yunak,
uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
23 ahina am dawki he avan cun khyanga k’um üngka naw lut law lü khyang mtüihkhehsakia kyaki,” a ti.
Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
24 Acunüng Jesuh tho law lü Turah mlüh hne peia citeiki. Im mata lut lü u naw pi am a ksing vai ngaih teki, am ngthup thei.
Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
25 Nghnumi mata a canu ngmüimkhya ksea awmnak Jesuha mawng a ngjak üng law lü a khaw kunga ngdäng lawki.
Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
26 Acuna nghnumi cun Krik nghnumi, Siria khaw Phoinikia hnea hmikia khyanga kyaki. Ani naw a canu üngka khawyai Jesuh naw a ksät vaia a nghuinak.
Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
27 Cunsepi Jesuh naw, “Ca he jah mbei ma vai. Ca hea ei lo u lü ui he jah tawn pet vai hin am nglawiki ni,” a ti.
Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
28 Nghnumi naw, “Bawipa aw, cang veki, cunsepi ui he naw pi hnasena buhkbaw mthüpei khawiki he ni,” a ti.
Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
29 Acunüng Jesuh naw, “Na ngthua phäha, ima cita, canu üngka naw khawyai dawng päng se na hmu khai,” a ti.
Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
30 Nghnumi naw ima cit be lü a canu üngka khawyai dawng se, a canu a ihnak üng ngkaw se a hmuh.
Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
31 Jesuh Turah üngka naw Sidon mlüh da cit lü Kalilea phaki. Mlüh Xa khe pah lü citki.
Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
32 Khyang he naw khyang mat am ngthuhei thei lü a nghnga pi pangki Jesuha veia lawpüi u lü a khana a kut a taih vaia ami nghuinak.
Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
33 Acunüng Jesuh naw khyang hea ngbumnak üngka naw akcea khü lü a kutpyün a nghnga khuia ktun lü, a mci am msawh lü a mlei a hneh.
Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
34 Acunüng Jesuh khankhaw da jeng mang lü, “Ephata,” a ti. Acun cun “Nghmawng lawa!” tinaka kyaki.
Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
35 Acunja angxita ngja law be thei lü a mleiyüi pi daw law se angsinga ngthuhei law theiki.
Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
36 Acunüng Jesuh naw u üng pi ä ami mtheh vaia a jah ksük; Cunsepi jah mtheh däm däm se ami sang däm däm u.
Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
37 Acunüng aktäa cäi law u lü, “Hin naw avan jah mdaw be ve! A nghnga kpange pi jah ngjaksak be lü angki he pi jah ngthuheisak be ve!” ami ti.
Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”

< Makuh 7 >