< Luhka 22 >

1 Nghngen am bawi khaia buhpawhnaka pawi; lätnakpawi ami ti ng'et lawki.
Basi Sikukuu ya Mkate Usiyotiwa Chachu ilikuwa imekaribia, ambayo inaitwa Pasaka.
2 Ktaiyü ngvai he la thum ksing he naw ami mkhyühnak vaia lam sui tekie khyang he jah kyüh u lü anghmüa hnim khai hea ami bü.
Makuhani wakuu na waandishi wakajadiliana namna ya kumuua Yesu, kwa sababu waliwaogopa watu.
3 Acunüng, xaleinghngih üngka Judah Iskarot ami tia k'uma khawyam lut se,
Shetani akaingia ndani ya Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi Kumi na mbili.
4 ktaiyü ngvai he la Temple ngängki hea veia cit lü, Jesuh ikba man vai tia a jah va cengpüi.
Yuda akaenda kujadiliana na wakuu wa makuhani na wakuu namna ambavyo atamkabidhi Yesu kwao.
5 Amimi naw jekyai u lü ngui ami pet vaia ami mkhyäp.
Walifurahi, na kukubaliana kumpa fedha.
6 Acunüng Judah Iskarot naw ngaisim lü khyang he am ami ve üng a jah mansak vaia lam suiki.
Yeye aliridhia, na alitafuta fursa ya kumkabidhi Yesu kwao mbali na kundi la watu.
7 Acunüng nghngen am bawikia buhpawh mhmüp, lätnakpawi vaia toca hnimnaka mhmüp pha law se,
Siku ya mikate isiyotiwa chachu ikafika, ambapo kondoo wa Pasaka lazima atolewe.
8 Jesuh naw, Pita la Johana veia, Lätnakpawi buh mi einak vai va pawh ni,” ti lü a jah tüih.
Yesu akawatuma Petro na Yohana, akasema, “Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuje tukile.”
9 Anini naw, “Hawia pawh vai ni na ngjak hlü?” ani ti.
Wakamuuliza, “Wapi unataka tuyafanyie hayo maandalizi?”
10 Jesuh naw, Mlüh the nani va luh üng, kpami k'am üng tui kawtki naw ning jah na khyum khai ni, a luhnaka ima nani läk vai.
Akawajibu, “Sikilizeni, mtakapokuwa mmeingia mjini, mwanamume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi. Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia.
11 “Imaha veia, ‘Saja naw, ka xüisaw he am lätnakpawi buh kami einak vaia khinim hawia ni? ti ve,’ nani ti vai.
Kisha mwambieni bwana wa nyumba, “Mwalimu anakwambia, “Kiko wapi chumba cha wageni, mahali ambapo nitakula Pasaka na wanafunzi wangu?”
12 “Ani naw khin im angsawng kcang, ahmäi am kümki im khan ning jah mhmuh khai; acunüng va ngtüna ni,” a ti.
Atawaonyesha chumba cha ghorofani ambacho kiko tayari. Fanyeni maandalizi humo.”
13 A jah mtheha kba cit ni lü ani va hmuh, acuia lätnakpawi buh ani va ngtünak.
Hivyo wakaenda, na wakakuta kila kitu kama alivyowaambia. Kisha wakaandaa chakula cha Pasaka.
14 Acunüng Jesuh la a ngsä he eikbe üng atänga ei hmaihki he.
Muda ulipofika alikaa na wale mitume.
15 Jesuh naw, “Am ka thih hlan üng hina lätnakpawi buh atänga ka ning jah eipüi vai ka ngja hlü leng lengki,
Kisha akawaambia, “Nina shauku kubwa ya kula sikukuu hii ya Pasaka na ninyi kabla ya kuteswa kwangu.
16 “Ka ning jah mthehki, Pamhnama khawa hin akcanga am a kya hlana küt üng am ei hlü be ti veng,” a ti.
Kwa maana nawaambieni, sitakula tena mpaka itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.”
17 Acunüng khawt lo lü Pamhnama veia jekyainak ngthu pyen lü, “Hin hin lo u lü, ng’yet ua;
Kisha Yesu akachukua kikombe, na alipokwisha kushukuru, akasema, “Chukueni hiki, na mgawane ninyi kwa ninyi.
18 ka ning jah mthehki, atuh üng tün lü Pamhnama khaw am a pha law cäpa capyitui am ka aw be ti khai,” a ti.
Kwa maana nawaambia, sitakunywa tena mzao wa mzabibu, mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja.”
19 Acunüng muk lo lü Pamhnama veia jekyainaka ngthu a pyen law päng üng, boki naw jah pe lü, “Hin hin nami hama peta ka mtisa ni, nami na sümnak vaia pawh ua” a ti.
Kisha akachukua mkate, na alipokwisha kushukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, “Huu ni mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi.”
20 Müei a ei law päng üng, acunkba bäa khawt lo lü, “Hina khawt hin ka thisen, nami hama ngsawikia Pamhnama ngthumkhän kthaia kyaki.
Akachukua kikombe vivyo hivyo baada ya chakula cha usiku akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, ambayo imemwagika kwa ajili yenu.
21 “Acunakyasepi, na mansak khaia khyang cun hina eikbea khana kani awm hmaihki ni!
Lakini angalieni. Yule anisalitie yuko pamoja nami mezani.
22 Khyanga Capa hin Mhnama mkhyaha kba cit khai, cunsepi jah mansak khaia cengkia khyang ta a jo se ve,” a ti.
Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake kama ilivyokwisha amuliwa. Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa!”
23 Acunüng axüisaw he amimät, “Acukba kya khai ta u ni?” tia, ngthäh kyuki he.
Wakaanza kuulizana wao kwa wao, nani miongoni mwao ambaye angefanya jambo hili.
24 Axüisaw he amimät, u ni akyäp säih tia ngcuh u se,
Kisha yakatokea mabishano katikati yao kwamba ni nani anaye dhaniwa kuwa mkuu kuliko wote.
25 Jesuh naw, “Am jumeiki hea sangpuxang he cun khyang hea khana aktäa bawi khawiki he, khaw uki he naw ‘Khyang hea püi he’ tia ami jah khü jawngnaki he.
Akawaambia, “Wafalme wa watu wa mataifa wana ubwana juu yao, na wale mwenye mamlaka juu yao wanaitwa waheshimiwa watawala.
26 “Cunsepi, nangmi ta acunkba ä awm u, nangmi üng kyäp säihki cen jaw säihkia kba, mkhawng säiki cen m'yaa kba ve se.
Lakini haitakiwi kabisa kuwa hivi kwenu ninyi. Badala yake, acha yule ambaye ni mkubwa kati yenu awe kama mdogo. Na yule ambaye ni wa muhimu sana awe kama atumikaye.
27 “U ni a kyäp säih? Ngaw lü buh eiki japaw a kyäp säih? Buh khünki aw a kyäp säih? Ngaw lü buh eikia am kya aih se? Cunsepi, kei ta nami veia ning jah khüihkia kba ka awmki.
Kwa sababu yupi mkubwa, yule akaaye mezani au yule anayetumika? Je si yule aketie mezani? Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye.
28 “Khuikha lü ka awm üng nami na awmpüiki.
Lakini ninyi ndio ambao mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu.
29 “Ka Pa naw uknak thei a na peta kba kei naw pi ka ning jah pe khai.
Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme,
30 Nangmi cun ka eikbe üng ngaw u lü ka khawa nami ei aw hnga khai. Bawingawhnak he üng ngaw u lü Isarel pakhui xaleinghngih he ngthu nami jah mkhyah khai.
kwamba mpate kula na kunywa mezani kwangu kwenye ufalme wangu. Na mtakaa kwenye viti vya enzi mkizihukumu kabila kumi na mbili za Israel.
31 “Sihmon, Sihmon, Ngaia! lomah naw angsi kphya am a mkhyaha kba, khawyam naw a ning hlawhlepnak vaia akhawn yah päng ve,
Simoni, Simoni, fahamu kwamba, Shetani ameomba awapate ili awapepete kama ngano.
32 “Cunsepi, na jumnak am a khyühnak vaia, ka ning ktaiyü peki ni; ka veia na nghlat law be üng, na bena he jah khängsak kaw pi,” a ti.
Lakini nimekuombea, kwamba imani yako isishindwe. Baada ya kuwa umerudi tena, waimarishe ndugu zako.”
33 Pita naw, “Bawipa aw, na veia ta thawngim la thihnak üng pi ka ceh vai ling veng,” a ti.
Petro akamwambia, “Bwana, niko tayari kwenda na wewe gerezani na hata katika mauti.”
34 Jesuh naw, “Pita aw, ka ning mthehki, tuhngawi ai am khawng pha se, ‘Ani am ksing nawng’ ti lü kthum vei na ngcim khai,” a ti.
Yesu akajibu, “Nakwambia, Petro, Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana mara tatu kwamba unanijua.”
35 Jesuh naw, “Ajana, nguiip, ngja, khawdawk, am nami cehei khaia ka ning jah tüih üng, nami hlü ei i awmki aw?” ti se amimi naw, “I am hlü naw,” ami ti.
Kisha Yesu akawaambia, “Nilipowapeleka ninyi bila mfuko, kikapu cha vyakula, ua viatu, je mlipungukiwa na kitu?” Wakajibu “Hakuna.”
36 Acunüng Jesuh naw, “Atuh ta aupi nguiip la ngja taki naw cehei se; kcim am taki naw a suisak jawi lü kheihei se.
Kisha akawaambia, “Lakini sasa, kila mwenye mfuko, na auchukue pamoja na kikapu cha vyakula. Yule ambaye hana upanga imempasa auze joho lake anunue mmoja.
37 “Ka ning jah mthehki, ‘Ani cun khyangka he mah maha ami täh si’ tia, ng’yuki ka khana kümkawi law khaia kyaki; keia mawngma ngthu he kümkawi law bäih ve u,” a ti.
Kwa sababu nawaambia, yote ambayo yameandikwa kwa ajili yangu lazima yatimilike, 'Na alichukuliwa kama mtu ambaye anavunja torati.' Kwa sababu kile kilichotabiriwa kwa ajili yangu kinatimizwa.”
38 Amimi naw, “Bawipa aw, tenga! kcim nghngih awmki,” ti u se, Jesuh naw, “Khäk ve” a ti.
Kisha wakasema, “Bwana, tazama! Hizi hapa panga mbili.” Na akawaambia”yatosha.”
39 Jesuh cun a thum khawia kba, Olip mcunga ktawih se, axüisaw he naw ami läk hnga.
Baada ya chakula cha usiku, Yesu aliondoka, kama ambavyo amekuwa akifanya mara kwa mara, akaenda mlima wa Mzeituni, na wanafunzi wakamfuata.
40 Ahmün a va pha üng, “Hlawhlepnaknak üngka naw nami lätnak vaia, ktaiyü ua,” a ti.
Walipofika, aliwaambia, “Ombeni kwamba msiingie majaribuni.”
41 Lung vawi lü aphanak cäpa va cit lü; a mkhuk ngdäng lü,
Akaenda mbali na wao kama mrusho wa jiwe, akapiga magoti akaomba,
42 “Ka pa aw, na hlüei üng ta hina khuikhanak khawt ka vei üngka naw loin kawpi, cunsepi keia ngjak hlüa am kya lü, namäta ngjak hlüa kya se,” ti lü ktaiyüki.
akisema, “Baba, kama unataka, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike.”
43 Khankhaw üngka khankhawngsä mat Jesuh kthayüi pe khaia ngdang lawki.
Kisha malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.
44 Aktä leng lenga khuikha lü, kthana kcang lü, ktaiyü se a ngkhyantui thisena mäiha mdek üng ngsawi lawki.
Akiwa katika kuugua, akaomba kwa dhati zaidi, na jasho lake likawa kama matone makubwa ya damu yakidondoka chini.
45 A ktaiyü law päng üng tho law lü axüisaw hea veia cit teki ami mlunga nata phäha a na ip u se a jah hmuh.
Wakati alipoamka kutoka katika maombi yake, alikuja kwa wanafunzi, na akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni yao,
46 Jesuh naw, “Ise nami ipki ni? Hlawhlepnak üngka naw nami lätnak vaia tho law u lü ktaiyü ua,” a ti.
na akawauliza, “Kwanini mnalala? Amkeni muombe, kwamba msiingie majaribuni.”
47 Acukba a na ngthuhei k’um üng, xaleinghngih he üngka Judah ami ti naw jah xüi lü, khyang he jah lawpüiki naw, Jesuh mhnam khai bü lü a pan law.
Wakati alipokuwa bado akiongea, tazama, kundi kubwa la watu likatokea, na Yuda, mmoja wa mitume kumi na wawili akiwaongoza. Akaja karibu na Yesu ili ambusu,
48 Jesuh naw, “Judah aw khyanga Capa hin mhnam khaia bü lü na jah man sak khai aw?” a ti.
lakini Yesu akamwambia, “Yuda, je unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
49 Acunüng axüisaw he a peia awmki he naw, ia akya law vai sim u lü, “Bawipa aw, kcim am kami jah pawh khai aw?” ami ti.
Wakati wale waliokuwa karibu na Yesu walipoona hayo yanayotokea, wakasema, “Bwana, je tuwapige kwa upanga?”
50 Acunüng mat naw ktaiyü ngvai säiha m'yaa nghngakawi kpat lam a ksawm pat.
Kisha mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.
51 Jesuh naw, “Khäk ve,” ti lü a nghngakawi hnet se daw beki.
Yesu akasema, “hii inatosha. Na akagusa sikio lake, akamponya.
52 Jesuh naw a veia lawki hea ktaiyü ngvai he, Temple üng ngvai he la, axüngvai he üng, “Mthikcim la kpaihmäng jah kawtei u lü m'yukei man khai hea kba nami na lawsiki aw?
Yesu akasema kwa kuhani mkuu, na kwa wakuu wa hekalu, na kwa wazee waliokuja kinyume chake, “Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga?
53 Temple üng amhmüp tä nami veia ve ni se am nami na manki. Cunsepi atuh hin nami kcüna kya lü nghmüpa khyaihnaka kya ve,” a ti.
Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote kwenye hekalu, hamkuweka mikono yenu juu yangu. Lakini hii ni saa yako, na mamlaka ya giza.”
54 Jesuh kpang u lü cehpüiki he naw ktaiyü ngvaia ima ami luhpüi. Acunüng, Pita naw athuknak üngka naw a läk hnga.
Wakamkamata, wakamuongoza, wakamleta nyumbani mwa kuhani mkuu. Lakini Petro akamfuatilia kwa mbali.
55 Imngvawng mkawt nglung üng mei awm u lü ngaw u se Pita ami ksunga va ngaw hngaki.
Baada ya kuwa wamewasha moto katika ule uwanda wa ndani na walipokwisha kukaa chini pamoja, Petro akakaa katikati yao.
56 Meikdäi peia ngaw se nglaca mat naw hmu lü a hmai üng teng kyetki naw, “Hina khyang pi Jesuh am awm khawiki xawi ni,” a ti.
Mtumishi mmoja wa kike akamuona Petro alipokuwa amekaa katika mwanga utokanao na moto, akamtazama akamwambia, “Huyu mtu pia alikuwa pamoja naye.”
57 Pita naw, “Nghnumi aw, ani am ksing nawng,” ti lü, ngcimki.
Lakini Petro akakana, akasema, “mwanamke, mimi simjui.”
58 Acunkäna, khyang kce mat naw hmu lü, “Nang pi acun he üngka mat ni,” ti se, Pita naw, “Khyang aw, am kya nawng,” a ti.
Baada ya muda kidogo, mtu mwingine akamuona akasema “Wewe pia ni mmoja wao”. Lakini Petro akajibu, “Mwanaume, mimi siyo.”
59 Acunüng naji mat ngsawk se khyang mat naw, “Hina khyang pi Jesuha hlawnga awm khawiki ni; Kalile khaw khyanga kya ye se,” a ti.
Baada ya kama saa moja hivi, mwanaume mmoja akasisitiza akasema, “Kweli kabisa huyu mtu pia alikuwa pamoja naye, maana ni Mgalilaya.”
60 Acunüng, Pita naw, “Khyang aw na pyen am ksing nawng,” a ti. A na ngcim k’um üng angxita ai khawng law ktäihki.
Lakini Petro akasema, “Mwanaume, sijui usemalo.” Na mara, wakati akiongea, jogoo akawika.
61 Jesuh naw nghlat lü Pita a teng. Pita naw Jesuha pyen, “Tuhngawi, ai am khawng pha se kthum vei, ‘Am ksing nawng’ ti lü na ngcim khai,” a ti cun süm law beki.
Akageuka, Bwana akamtazama Petro. Na Petro akalikumbuka neno la Bwana, pale alipomwambia, “Kabla ya jogoo kuwika leo, utanikana mimi mara tatu.”
62 Acunüng, Pita kpunga cit lü aktäa kyapki.
Akienda nje, Petro akalia kwa uchungu mwingi.
63 Jesuh ngängki he naw yaiha pawh u lü ami kpaih.
Kisha wale wanaume waliokuwa wakimlinda Yesu, wakamdhihaki na kumpiga.
64 A mik bu u lü, “U naw ning kpaiki, pyena?” tia ami kthäh.
Baada ya kumfunika macho, wakamuuliza, wakisema, “Tabiri! Ni nani aliyekupiga?”
65 Ngthu khawjah am kse na u lü ami jüih.
Wakaongea mambo mengine mengi kinyume cha Yesu na kumkufuru yeye.
66 Khaw a thaih law la khyang ngvai he, ktaiyü ngvai he la, thum ksing he avang ngcun lawki he naw ami Kawngcia cehpüi u lü,
Mara ilipokuwa asubuhi, wazee wa watu walikusanyika pamoja, wakuu wa makuhani na waandishi. Wakampeleka kwenye Baraza,
67 “Mesijaha na kya kcang üng jah mtheh law,” ami ti. Acunüng, Jesuh naw, “Ning jah mtheh ni se pi am nami na kcang na khai;
wakisema, “Kama wewe ni Kristo, tuambie.” Lakini yeye akawaambia, “Kama nikiwaambia, hamtaniamini,
68 ning jah kthäh ni se pi am nami na msang khai.
na kama nikiwauliza hamtanijibu.”
69 Cunsepi, atuh üng tün lü khyanga Capa cun hlüngtai kyäpsawkia Pamhnama kpat da ngaw khai,” a ti.
Lakini kuanzia sasa na kuendelea, Mwana wa Adamu atakuwa amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu.”
70 Acunüng ami van naw, “Nang hin Pamhnama Capa kya aih lü?” ami ti. Acunüng Jesuh naw, “Ä, nami pyena kba kya veng,” a ti.
Wote wakasema, “Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?” Na Yesu akawaambia, “Ninyi mmesema mimi ndiye.”
71 Amimi naw, “Ia saksi akce hlü be se ni? Amäta mka ye üng mi ngja ve,” ami ti.
Wakasema, “Kwa nini bado tunahitaji tena ushahidi? Kwa sababu sisi wenyewe tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe.”

< Luhka 22 >