< Luhka 20 >
1 Acunüng, khaw mhmüp mat cun Temple k'uma khyang he jah mthei lü thangkdaw a pyen k'um üng, ktaiyü ngvai he la thum ksing he cun axüngvai he am law u lü,
Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee.
2 Jesuh üng, “Jah mtheha, ia ana am na pawh ni? U naw hina ana aning pet ni?” tia ami kthäh.
Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? “
3 Acunüng, Jesuh naw jah msang lü, “Kei pi mat ka ning jah kthäh khai na msang u;
Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni
4 “Johan naw baptican a jah petnak thei hin Mhnam üngka aw? Khyang üngka aw?” a ti.
ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? '
5 Acunüng, amimät he ami mlung k’uma, “Mhnam üngka mi ti üng pi, ‘ivai Johan am nami kcangnak ni?’ ti hlü ve.
Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?'
6 “Khyang üngka mi ti üng pi khyang avan naw Johan cun sahmaa ami ksinga kyase, lung am jah vawi hlü ve u,” tia ngai kyuki he.
Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. '
7 Acunüng, msang u lü, “Hawia ka ni ti am ksing ve üng,” ami ti.
Basi, wakamjibu ya kwamba hawakujua ilikotoka.
8 Acunüng Jesuh naw, “Kei pi ua ana am ka pawh ni ti am ning jah mtheh hlü veng,” a ti.
Yesu akawaambia, '“Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
9 Acunüng, khyang he üng hina msuimcäpnak a jah mtheh, “Khyang mat naw capyit ngvawng pyanki, k’äih khai he üng jah khah hüt lü athuknaka khawa di law khaia citki.
Aliwaambia watu mfano huu, “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu.
10 “Acunüng, capyit kbih vai a kha law üng amäta hama capyit ktheih kbit khaia a m'ya mat ngvawng ngängki hea veia a jah tüih. Cunsepi avang he ngängki he naw acuna m’ya cun kpai u lü a jünga ami tüih be.
Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu.
11 “Acunüng, a m'ya akce mat ami veia a tüih be kce, ngvawng ngängki he naw, kpai u lü, ngkekhyakei khaia pawhki he naw, a jünga ami tüih be.
Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu.
12 “Acunüng, akce m'ya mat ami veia tüi be se acun pi aktäa ngkhe khaia kpai u lü kpunga ami tawn.
Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje.
13 “Acunüng, ngvawng mah naw, ‘Ikba ka pawh khai? Ka capa ka jawngnak bawi tüi süm vang, ani ta leisawng hman khai he ni,’ a ti.
Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. '
14 “Cunsepi, ngvawng ngängki he naw ami na hmuh la, ‘Hin hin khawh mkhawm khaia khyang ni, mi hnim vai, acunüng a khawh mi ka na khai,’ tia, ami ceng.
Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. '
15 “Acunüng, capyit ngvawng üngka naw kpunga nawt u lü ami hnim. Acunüng capyit ngvawng mah naw ikba jah pawh law khai aw?
Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini?
16 “Ngvawng mah law lü, ngvawng ngängki he jah hnim lü ngvawng pi khyang kce he üng jah pe khai,” a ti. Acunüng, acun ami ngjak la, “Acukba ta am kya khai,” ami ti.
Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine”. 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa'
17 Cunsepi, Jesuh naw jah teng lü, “Hina ngthu ng’yuki hin i ni? ‘Sawngsaki he naw ami yawka lung cun, avana kthaka kyäp law säihki ni’ ti hin.
Lakini Yesu akawatazama, akasema, “Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'?
18 “Upi, acuna lunga khana kyaki cun yawp khai, Upi acuna lung naw a kyaksih cun mvuta mhmüi khai,” a ti.
Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. '
19 Acunüng, thum ksing he la ktaiyü ngvai he naw man u lü, ami kutnak vaia ami bü te, khyang he ami jah kyühei; msuimcäpnak a pyen cun, amimi jah mkat lü, a pyen ti ami ksinga phäha kyaki.
Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
20 Acunüng, Jesuh naw, ngthu a pyen law msawk man u lü, Romah Empero veia ami khyak vaia phäha, k’äih tele u lü mcih khai hea khyang kdawa kba awmkia khyang he ami jah tüih.
Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
21 Amimi naw Jesuh üng, “Saja aw, cang yekia ngthu pyen lü na jah mtheiki, u am hngalang na lü akcanga Pamhnama lama ngthu na jah mthei khawiki ti kami ksingki;
Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
22 “Romah bawi üng ngcawn kami ngcawn hin ngkawiki aw,” Am ngkawiki aw?” tia ami kthäh.
Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
23 Cunsepi, Jesuh naw ami hleihlak jah ksing lü,
Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24 “Tangka mat na mhmuh law ua, ua müihmai la ua ngming ni a ng’yuk?” a ti. Acunüng, amimi naw, “Romah Bawi” ami ti.
“Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”
25 Jesuh naw, “Acunüng Romah Bawia ka cun Romah Bawi üng pe u lü, Pamhnama ka cun Pamhnam üng pe ua,” a ti.
Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.'
26 Acunüng, khyang hea ma ngthu a pyen msawk, ami man vai i am hmu u; a jah msangnak cun aktäa kyüh u lü ä msimsawt u lü awmki he.
Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote.
27 Acunüng, thawhnak be am ve, tikiea Saduke avang he, Jesuha veia law u lü,
Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo,
28 “Saja aw, Mosi naw a yuknak üng, khyang naw am ca lü a khyu a thih tak üng angsawn am a dütnak vaia, a bena naw a khäm be vai tia awmki.
wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake.
29 “Ajana ngbengna khyüh awmki he. Akcük säih khyu mahki am ca lü thiki.
Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto,
30 “Acunüng, anghnginak naw a khäm be,
na wa pili pia.
31 Acunüng akthumnak naw a khäm be, acunkba bäa akhyühnak cäpa ami khäm be te am ca u lü avan naw ami thih tak.
Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa.
32 “Akdüta nghnumi pi thiki.
Baadaye yule mwanamke pia akafa.
33 “Ami van khyüh naw ami khyunak. Acunakyase, thawhnak bea mhmüp üng, ua khyua kya hlüki ni?” ami ti.
Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. '
34 Acunüng Jesuh naw, jah msang lü, “Hina khawmdek khyang he ngkhyungla u lü awmki he; (aiōn )
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn )
35 cunsepi, tuha thinak üngka naw tho be ngkawikia ngaikyuki he cun ä ngkhyungla be u lü, khyu ca vaia pi am ngpeei kyu be u lü; (aiōn )
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
36 “Athiha pi am thi be thei ti u, khankhawngsä hea mäih law u lü, thihnak üngka naw ami thawh bea phäha Pamhnama ca hea kyaki he.
Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo.
37 “Mosi naw, akthi he tho be khai he ti lü saksiki. Cangcim üng kpyapa däinak pyen lü, ‘Pamhnam cun Abrahama Pamhnam, Isaka Pamhnam, Jakopa Pamhnam’ tia pyenki.
Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
38 “Pamhnam cun akthi hea Mhnama am kya, akxüng hea Mhnama kyaki. Ania phäha avan xüngki he ni,” a ti.
Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. “
39 Thum ksing avang naw msang u lü, “Saja aw, cang veki,” ami ti.
Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. '
40 Acunkäna ipi am ami kthäh be theia phäha kyaki.
Hawakuthubutu kumwuliza maswali mengine zaidi.
41 Acunüng, Jesuh naw, “Ikba Mesijah cun Davita capa, ami ti thei ni?
Yesu akawaambia, “Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
42 “Davit amät naw Mküinaka ng’äi üng pyen lü, ‘Bawipa naw ka Bawipa veia pyen lü: ‘Ka kpat da ngawa,
Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia,
43 Na ye he na khawkunga ka jah tak law vei däa, ka kpat da ngawa’ a ti.
mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. '
44 “Acukba Davit naw Mesijah üng, ‘Bawipa aw’ a ti üng ikba a mjükphyüia kya thei khai ni?” a ti.
Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?”
45 Acunüng, khyang he avana ngjaka, axüisaw hea veia,
Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake,
46 “Thum ksing he jah cäiei na u; amimi cun suisak aksaü suisa u lü ngtaw hü vai jawngnaki he, jawihtuknaka leisawngnak am nghnukset kyu, Sinakoka ngawhnak kdaw ami yah vai la pawia akdaw säiha hmün ami yah vai ngjahlüki he,
'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni.
47 hmeinu hea khawhthem eiaw u lü, ami im jah yutei u lü, khyanga jah hmuha khawvei ktaiyüki he. Ami khamei vai akse säh ni,” a ti.
Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '