< Johan 6 >

1 Acunkäna, Jesuh Kalile Tuili, Tiberi Tuili pi ngmingnaki, a caye kama citki.
Baada ya mambo haya, Yesu alienda pande za Bahari ya Galilaya, pia huitwa Bahari ya Tiberia.
2 Am phetkie a jah mdaw bea müncanksee hmukie khyangpänu naw läk hükie.
Mkutano mkubwa ulikuwa ukimfuata kwa sababu waliona ishara alizozifanya kwa waliokuwa wagonjwa.
3 Jesuh mcunga kai lü acuia axüisaw he am ngaw yümkie.
Yesu alipanda juu hadi upande wa juu wa mlima na akakaa huko na wanafunzi wake
4 Judahea Lätnak Pawi cun cäh law betüki.
(Na Pasaka, Sikukuu ya Wayahudi ilikuwa imekaribia).
5 Jesuh naw mang hü lü khyang aktäkpai a veia lawkie a jah hmuh. Philip üng, “Hinea ei khyawh vai, hawia mi khei khai ni?” ti lü a kthäh.
Yesu alipoinua macho yake juu na kuona umati mkubwa unakuja kwake, akamwambia Filipo, “Tutakwenda wapi kununua mikate ili hawa waweze kula”?
6 (I pawh vai cun a ksing päng kyaw, Philip a mhnütnaka a pyena kyaki.)
(Lakini Yesu aliyasema haya kwa Filipo kwa kumjaribu kwa kuwa yeye mwenyewe alijua atakachofanya).
7 Philip naw, “Nguikcang phyanghngih am kheih muk ta, hine naw apica cim ei u sepi am khäk khai ni,” a ti.
Filipo akamjibu, “Hata mikate ya thamani ya dinari mia mbili isingelitosha hata kila mmoja kupata hata kipande kidogo.”
8 Axüisaw üngka mat, Sihmon Pitaa na Andru naw,
Andrea, mmoja wa wanafunzi wake ndugu yake Simoni Petro akamwambia
9 “Hia kpamica hnasen mat naw kyung muk mhma ja ngaca nghngih taki ve ve. Acunüng pi khyang hikäna phäh am khäk hlü ve?” ti lü a pyen.
Yesu, “Kuna mvulana hapa ana mikate mitano na samaki wawili, lakini hii yafaa nini kwa watu wengi namna hii?”
10 Jesuh naw, “Jah ngawhsak ua,” a ti. (Acuna hnün cun msai aktäa sahki.) Khyang avan ngawkie, kpami däk thawngmhma lawkie.
Yesu akawambia, “Waketisheni watu chini” (kulikuwa na nyasi nyingi mahali pale). Hivyo wanaume wapata elfu tano wakakaa chini.
11 Jesuh naw muk lo lü, Pamhnama veia jenak mthehki. Acun käna axüisaw he üng jah pe se, amimi naw ngawhkie üng ami jah pet. Acukba bäa nga pi ami ngaih kän käna ami jah pet u.
Kisha Yesu akachukua ile mikate mitano akashukuru akawawagawia wale waliokuwa wamekaa. Vivyo hivyo akawagawia samaki kwa kadiri ya vile wavyohitaji.
12 Ami phü käna Jesuh naw, axüisaw he üng, “Apica pi käh bawkya khaia akhläi jah mkhäm be ua,” a ti.
Watu waliposhiba, aliwambia wanafunzi wake, “Vikusanyeni vipande vya mabaki, vilivyobaki ili kwamba kisipotee chochote.”
13 Muk nglung mhma cim ami eia khläi mkhäm be u se, cä xaleinghngih üng beki.
Basi wakakusanya na kujaza vikapu kumi na viwili, vipande vya mikate mitano ya shayiri- vipande vilivyosazwa na wale waliokula.
14 Acun üng Jesuha pawh müncankse hmukia khyange naw, “Akcanga hin hin, khawmdek khana law khaia Sahma kcang ni,” ami ti.
Kisha watu walipoona ishara hii aliyoifanya walisema, “Kweli huyu ndiye yule nabii ajaye ulimwenguni.”
15 Khyang he naw man lü asihlinga ami sangpuxanga mcawn hlükie ti Jesuh naw ksingki. Acunakyase, mcunga amät kaiki.
Yesu alipotambua kuwa walikuwa wanataka kumkamata ili wamfanye kuwa mfalme wao, alijitenga, tena na akaenda mlimani yeye peke yake.
16 Khaw mü law se axüisaw he tuili da ju citkie.
Ilipokuwa jioni, wanafunzi wake walishuka kwenda ziwani.
17 Mlawng üng kai lü, tuilia a caye Kapenawm mlüha citkie. Khaw nghmüp law sepi, Jesuh ami veia am pha law ham.
Wakapanda kwenye mtumbwi na walikuwa wakivuka kuelekea Kapernaumu. (Giza lilikuwa limeingia na Yesu alikuwa bado hajaja kwao).
18 Khaw aknuia khi law se, tui ngnawk law lü kyan law dämdämki.
Wakati huo upepo mkali ulikuwa ukivuma, na bahari ilikuwa ikendelea kuchafuka.
19 Mäng kthum kphyü bang tui vak u lü ami pha käna, Jesuh tuia khana law lü mlawng da cäh law se ami hmu üng kyüeikie.
Tena wanafunzi wake walipokuwa wamepiga makasia kama ishirini na matano au thelathini, wakamwona Yesu akitembea juu ya bahari kuukaribia mtumbwi, na wakaogopa.
20 Jesuh naw, “Kei ni; käh na kyüei ua,” a ti.
Lakini akawambia, “Ni mimi! Msiogope.”
21 Mlawng üng Jesuh a na do law u se, angxita ami cehnak vaia kawng mlawng am va phakie.
Tena walikuwa tayari kumbeba kwenye mtumbwi, na mara mtumbwi ulifika kwenye nchi mahali walipokuwa wakienda.
22 Angawi üng, tuili caye kawnga vekia khyange naw mlawng mat däk va veki ti ksing lawkie. Jesuh pi mlawng üng axüisaw hea hlawnga am ve se, axüisaw he amimät mlawng üng citei u se, ami jah hmu.
Siku iliyofuata, mkutano uliokuwa umesimama upande wa bahari waliona kuwa hakuna mtumbwi mwingine isipokuwa ule ambayo Yesu na wanafunzi wake walikuwa hawajaupanda lakini wanafunzi wake walikuwa wameenda zao wenyewe.
23 Tiberi mlüh üngkhyüh Mlawng akce he cun, Bawipa naw Pamhnam üng jenak a mtheh käna muk ami einaka peia lawkie.
(Ingawa, kulikuwa na baadhi ya mitumbwi iliyotoka Tiberia karibu na mahali walipokula mikate baada ya Bwana kutoa shukrani).
24 Khyang he naw Jesuh ja axüisaw he acuia am ve u se ami jah hmu üng, amimät mlawnge üng kai u lü, Kapenawm mlüha Jesuh sui khaia citkie.
Wakati makutano walipotambua kuwa sio Yesu wala wanafunzi wake walikuwa kule, wao wenyewe walipanda ndani ya mitumbwi wakaenda Kapernaumu wakimtafuta Yesu.
25 Khyang he naw tuili cayea Jesuh a ve hmu u lü, “Rabbi, iti üng ahia na lawki ni?” ti lü, ami kthäh u.
Baada ya kumpata upande mwingine wa ziwa wakamuuliza, “Rabbi ulikuja lini huku?”
26 Jesuh naw jah msang lü, “Akcanga ka ning jah mthehki: müncanksee nami hmuha phäha nami na suikia am kya, muk ei lü nami phüa phäh nami na suikie ni.
Yesu akawajibu, akawambia, Amini, amini, mnanitafuta mimi, sio kwa sababu mliziona ishara, bali kwa sababu mlikula mikate na kushiba.
27 “Pyüpye theikia ei käh ktha na u. Khyanga Capa naw a ning jah pet vaia ei, angsäi xünnak ktha na u. Isetiakyaküng, Pa Pamhnam naw amäta msingnak cun Jesuha khana a tak ni,” a ti. (aiōnios g166)
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios g166)
28 Amimi naw, “Pamhnama mlung hlü kami pawhnak vaia, i kami pawh üng daw khai ni,” ami ti.
Kisha wakamwambia, “Ni nini tunapaswa kufanya ili kuzifanya kazi za Mungu?”
29 Jesuh naw, “A tüih lawa khyang nami jumei cun Pamhnama mlung hlü nami pawhkia kyaki,” a ti.
Yesu akajibu, “Hii ndiyo kazi ya Mungu: kwamba mmwamini yeye aliyemtuma.”
30 Amimi naw, “Hmu lü kami ning jumnak law vaia, ia müncankse ja na bi kawm? I ja na pawh kawm?
Basi wakamwambia, “Ni ishara zipi utakazofanya, kwamba tunaweza kuziona na kukuamini? Utafanya nini?
31 ‘Amimi naw muk ami ei vai khana khyüh jah peki’ ti lü, ami yuka mäiha, kami pupae naw manah khawmkyanga eikie,” ami ti.
Baba zetu walikula manna jangwani, kama ilivyo andikwa, “Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.”
32 Jesuh naw, “Akcanga ka ning jah mthehki: khana ka muk cen Mosia ning jah pet am ni. Khankhawa ka muk kcang ning jah peki ta keia Pa ni.
Kisha Yesu akawajibu, “Amini, amini, sio Musa aliyewapa mkate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye awapaye mkate wa kweli kutoka mbinguni.
33 “Pamhnama ning jah pet muk cun naw khankhaw üngkhyüh kyum law lü, khawmdek üng xünnak peki,” a ti.
Kwa kuwa mkate wa Mungu ni ule ushukao kutoka mbinguni na kuupatia uzima ulimwengu.
34 Amimi naw, “Bawipa aw, acuna muk aläa jah pea,” ami ti.
Basi wakamwambia, “Bwana tupatie huu mkate wakati wote.”
35 Jesuh naw, “Kei cun xünnak muka ka kyaki. Ka veia lawki naküt naw ei am cawi be ti; kei na jumki naküt naw tui am xai be ti,” ti lü a jah mtheh.
Yesu akawambia, “Mimi ndiye mkate wa uzima, yeye ajaye kwangu hatapata njaa na yeye aniaminiye hatahisi kiu kamwe.”
36 Nangmi naw nami na hmuha kpheia am na jumei uki, ti ka ning jah mthehki.
Ingawa niliwaambia kwamba, mmeniona, na bado hamuamini.
37 “Ka Pa naw a na pet naküt ka veia law khaie. Ka veia lawki naküt kei naw am jah nghei ta ngü.
Wote ambao Baba anaonipa watakuja kwangu, na yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kabisa.
38 “Isetiakyaküng, kamäta ngjak hlü ka pawh khaia khana khyüh ka kyum lawki am ni. Na tüih lawkia a ngjak hlü ka pawh khaia ka lawki ni.
Kwa kuwa nimeshuka kutoka mbinguni, sio kwa ajili ya kufanya mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenituma.
39 “Na tüih lawkia a ngjak hlü cun a na pete u pi käh jah mkhyüh lü, akpäihnaka khawmhnüp üng avan ka jah xünsak be khai.
Na haya ndiyo mapenzi yake aliyenituma, kwamba nisimpoteze hata mmoja wa wale alionipa, bali nitawafufua siku ya mwisho.
40 “Ka paa ngjak hlü cun Capa hmu lü jumki naküt naw angsäi xünnak a yahnak vai ja, kei naw akpäihnaka khawmhnüp üng ka jah xünsak be khaia kyaki,” a ti. (aiōnios g166)
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
41 Jesuh naw, “Kei khana khyüh ka kyum lawkia muk ni,” a tia phäha Judahe naw aktäa am ngja hlü u.
Kisha wayahudi wakamnung`unikia kumhusu yeye kwa sababu alisema, “Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.”
42 “Hin hin Jesuh, Josepa capa; a pa ja a nu pi mi jah ksing am niki aw? Ihawkba, ‘Kei khana khyüh ka kyum lawki’ a ti ni?” ami ti.
Wakasema, “Huyu siyo Yesu mwana wa Yusuph, ambaye baba yake na mama yake tunamfahamu? Imekuwaje sasa anasema, 'Nimeshuka kutoka mbinguni`?”
43 Jesuh naw, “Namimät naw käh ngcuh ti ua.
Yesu akajibu, akawambia, “Msinung'unikiane miongoni mwenu wenyewe.
44 “Na tüih lawkia Pa naw lam am a msüm üng, u ka veia am law thei khai ni. Akpäihnaka khawmhnüp üng ka jah xünsak be khai.
Hakuna mtu ajaye kwangu asipovutwa na Baba yangu aliyenituma, nami nitamfufua siku ya mwisho.
45 ‘‘Ami van Pamhnam naw jah mthei khai’ ti lü, sahma he naw ami yuka mäiha, Ka Paa mtheh ngja lü ngtheingthangki naküt ka veia lawki.
Kwa kuwa imeandikwa katika manabii, 'Watafundishwa na Mungu.' Kila aliyesikia na amejifunza kutoka kwa Baba, huja kwangu.
46 “Pamhnama veia ka däka thea, u naw Pa am hmu khawi; Ani däk naw ni a hmuh.
Sio kwamba kuna mtu aliyemwona Baba, isipokuwa yeye atokaye kwa Mungu- amemwona Baba.
47 “Akcanga ka ning jah mthehki: kei na jumki naw angsäi xünnak yahki. (aiōnios g166)
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
48 “Kei cun xünnak muka ka kyaki.
Mimi ni mkate wa uzima.
49 “Nami pupae naw khawkhyawng khawa manah ei kyaw u lü pi, amimi cun thikie.
mababa zenu walikula manna jangwani, na wakafa.
50 “Cunüngpi khankhaw üngkhyüh kyum lawki hina muk ei nakütki naw thihnak am hmu ti.
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, ili kwamba mtu aule sehemu yake ili asife.
51 “Kei cun khana khyüh kyum lawkia xünnaka muk ni. Acuna muk eiki cun angsäia xüng khai. Khawmdeka xünnak vaia ka ning jah pet vaia muk ta ka mtisa hin ni,” a ti. (aiōn g165)
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
52 Judahe amimät thüi lü ngcuh u lü, “Hina khyang naw ihawkba a mtisa ei vaia jah pe hlü theiki ni?” ami ti.
Wayahudi wakakasirika wenyewe kwa wenyewe na wakaanza kubishana wakisema, “Mtu huyu anawezaje kutupa mwili wake tuule?”
53 Jesuh naw, “Akcanga ka ning jah mthehki: Khyanga Capa a mtisa am ei lü, a thisen am awkia khyang naw xünnak am yah.
Kisha Yesu akawambia, “Amini, amini, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamta kuwa na uzima ndani yenu.
54 “Ka mtisa ei lü, ka thi awki naküt naw angsäi xünnak yah khai. Akpäihnaka khawmhnüp üng ka jah mtho be khai. (aiōnios g166)
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
55 “Isetiakyaküng, ka mtisa cun ei vai kcanga kya lü, ka thisen pi awk vai kcanga kyaki.
Kwa kuwa mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
56 “Ka mtisa ei lü, ka thisen awki cun kei üng xüng se, kei pi ani üng ka xüng khai.
Yeye aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami ndani yake.
57 “Xüngseikia Pa naw na tüih law lü ania phäh kei ka xüngseia kba, ka mtisa eiki naküt cun keia phäh üng xüng khai.
Kama Baba mwenye uzima alivyonituma, na kama niishivyo kwa sababu ya Baba, na yeye pia ataishi kwa sababu yangu.
58 “Hin ni khana khyüh kyum lawki xünnaka muk ta. Nami pupae naw ei u lü akäna ami thihnaka mäih am ni. Ahin eikia khyang naküt cun angsäia xüng khai,” a ti. (aiōn g165)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn g165)
59 Ahin Jesuh naw, Kapenawm mlüh, sinakoka k'uma a jah mthei üng a pyena kyaki.
Yesu aliyasema mambo haya ndani ya sinagogi alipokuwa akifundisha huko Kapernaumu.
60 Axüisawe khawhah naw ahin ami ngjak üng, “Hina mtheinak akhak hin u naw ksing khawh khai ni?” ami ti.
Ndipo wengi wa wanafunzi wake waliposikia haya, wakasema, “Hili nifundisho gumu ni nani awezaye kulipokea?”
61 U naw am mtheh xa se, axüisaw he naw a pyen küisakie ti Jesuh naw a ksing üng, “Hina phäha nami mlung seki aw?
Yesu kwa sababu alijua ya kuwa wanafunzi wake walikuwa wakilinung'unikia jambo hili, akawambia je jambo hili linawakwaza?
62 “Khyanga Capa asüa a venaka kai be se nami hmu vai sü ta, ikba nami ti khai sü aw?
Basi itakuaje mtakapomwona mwana wa Adamu akishuka kutoka alikokuwa kabla?
63 “Xünnak peki cun Pamhnama Ngmüimkhya ni. Khyanga khyaihnak naw i am khyaih khawh. Ka ning jah mtheha ngthue naküt hin naw Mhnam üngkhyüh sak xünnak ning jah peki Ngmüimkhya law püiki.
Ni Roho ndiye atoaye uzima. Mwili haufaidii kitu chochote. Maneno niliyoyasema kwenu ni roho na ni uzima.
64 “Acunsepi, nangmi üng akhäk naw am na jum hlü uki,” a ti. (Akcük üngkhyüh Jesuh naw am jumkie, ja phyaheikia khyang a ksing pänga kyaki)
Bado kuna watu kati yenu wasioamini.” kwa sababu Yesu alijua tangu mwanzo yule ambaye asiyeweza kuamini na yeye ambaye angemsaliti.
65 Jesuh bä naw, “Pa naw am a lawpüia khyang cun ka veia am law thei. Acunakyase, ahin he ka ning jah mthehki ni’ ka ti,” a ti.
Akawambia, ni kwa sababu hii niliwambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amepewa na Baba.”
66 Acunüng axüisaw he khawhah naw ceh ta u lü, am läk ti u.
Baada ya haya wanafunzi wake wengi walirudi nyuma na hawakuambatana naye tena.
67 Jesuh naw, axüisaw he xaleinghngiha veia, “Nangmi naw pi nami na ceh ta hlüki aw?” ti se,
Yesu akawambia wale kumi na wawili, “Je na ninyi mnataka kuondoka?”
68 Sihmon Pita naw, “Bawipa aw, ua veia kami cit khai ni? Nang üng angsäi xünnaka ngthu veki. (aiōnios g166)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios g166)
69 “Atuh ta nang cun Pamhnam üngkhyüh law lü, Ngcingcaihkia Khyang tia jum lü kami ksingki ni,” ti lü, a msang.
na tumeamini na kujua kuwa wewe ni Mtakatifu wa Mungu.”
70 Jesuh naw, “Nangmi xaleinghngih cun keia ning jah xüa am nami kyaki aw? Acunsepi, nangmi üng mat cun khawyai ni,” a ti.
Yesu akawambia, “Je mimi sikuwachagua ninyi, na mmoja wenu ni ibilisi?
71 Jesuh naw Sihmon Iskarota capa Judah a pyena kyaki. Judah cun axüisaw xaleinghngih üngkaa kya kyaw lüpi, Jesuh jawiei khaia kyaki.
Sasa alikuwa akiongea kuhusu Yuda, mwana wa Simoni Iskariote, kwa kuwa alikuwa ni yeye akiwa mmoja wa wale kumi na wawili, ambaye ndiye angemsaliti Yesu.

< Johan 6 >