< Johan 18 >
1 Jesuh ktaiyü law päng se axüisaw he am Kidron Lawngca caye da va citkie. Acuna hnüna ngvawng veki, acun üng axüisaw he am atänga lutkie.
Baada ya Yesu kusema maneno haya, aliondoka na wanafunzi wake kuelekea bonde la Kidron, ambako kulikuwa na bustani, ambako yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.
2 Jesuh cun axüisaw he am acuna hnüna khawvei cit khawikiea kyase, cengkia Judah Iskarot naw acuna hnün cun ksingki.
Sasa yule Yuda, aliyetaka kumsaliti, naye alilijua eneo hilo, kwani Yesu alikuwa akienda hili eneo mara kadhaa akiwa na wanafunzi wake.
3 Judah ngvawng da citki. Romah yekape, ktaiyü ngvaie ja Pharisee naw ami jah tüi law Temple ngängkia khyange avang jah lawpüi se, mthikcime, meiim ja ngtukmei jah kawteikie cun acuia a jah lawpüi.
Naye Yuda, baada ya kuwa amepata kundi la maaskari na maofisa toka kwa wakuu wa makuhani, wakaja wakiwa na taa, kurunzi na silaha.
4 Jesuh naw a khana pha law khai naküt jah ksingei lü, va cit lü, “U nami suiki ni?” a ti.
Naye Yesu, hali akijua kila kitu kilichokuwa kikifanyika dhidi yake, alijitokeza mbele na akawauliza, “Ni nani mnayemtafuta?”
5 Amimi naw, “Nazaret Jesuh,” ni ami ti. Jesuh naw, “Acun cun kei ni” a ti. Cengkia Judah pi ami ksunga ngdüi hngaki.
Nao wakamjibu, “Yesu Mnazareth.” Yesu akawaambia, “Mimi ndiye” Naye Yuda aliyemsaliti, alikuwa amesimama pamoja na wale askari.
6 Jesuh naw, “Acun cun kei ni” a ti ja, ami hnua ngnawn u lü mdeka kyukie.
Kwa hiyo alipowaambia, “Mimi ndiye” walirudi kinyume na kuanguka chini.
7 Jesuh naw, “U nami suiki ni?” ti lü a jah kthäh betü. Amimi naw, “Nazaret Jesuh” ami ti.
Halafu akawauliza tena, “Ni nani mnayemtafuta? Nao wakamjibu tena “Yesu mnazareth.”
8 Jesuh naw, “Acun cun kei ni, ti lü ka ning jah mtheh päng; kei nami na suikia a kyak üng akce he cit u se” a ti.
Yesu akawajibu, “Nimekwisha kuwaambia kuwa Mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa wengine waende.”
9 (Acun cun, “Nang naw na na jah pet mat pi käh ka mkhyüh khai ni” ti lü a ngthu pyen akümnak vaia kyaki.)
Haya yalikuwa hivyo ili lile neno litimilike; pale aliposema; “Katika wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja.”
10 Sihmon Pita naw kcim a kbahei kset lü Ktaiyü Ngvai säiha mpyaa nghnga khet da a ksawm pat. Acuna mpyaa ngming cun Malakhuha kyaki.
Ndipo Simon Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani mkuu. Na jina lake mtumishi yule lilikuwa Malko.
11 Jesuh naw Pita üng, “Kcim a im üng xawn bea; ka Pa naw a na peta khuikhatnak khawt hin am ka aw khai aw?” a ti.
Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Kwa nini nisikinywee kikombe kile alichonipa Baba?”
12 Acunüng, Romah yekape ja Temple ngängkia Judah khyange naw Jesuh man u lü, khitkie naw,
Basi lile kundi la askari na jemedari, na watumishi wa Wayahudi, walimkamata Yesu na kumfunga.
13 Annaa veia ami cehpüi ma u. Anna cun acuna kum üng Ktaiyü Ngvaisäih Kaiphaha pupua kyaki.
Nao wakamwongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani yeye alikuwa mkwe wa Kayafa, ambaye ndiye aliyekuwa Kuhani mkuu kwa mwaka huo.
14 Kaiphah cun, “Khyang khawhaha phäh khyang mat a thih daw bawki” ti lü, Judah ngvaie jah mthehkia khyanga kyaki.
Sasa Kayafa ndiye aliyekuwa amewapa ushauri Wayahudi ya kwamba ilimpasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.
15 Sihmon Pita ja axüisaw he üngka mat naw Jesuh läki xawi. Acuna axüisaw üngka mat cun Ktaiyü Ngvaisäih naw ksingki; Ktaiyü Ngvai säiha im ngvawng mkawt k’uma Jesuh am lutki xawi.
Simon Petro alimfuata Yesu, na vivyo hivyo mwanafunzi mwingine. Na yule mwanafunzi alikuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, naye akaingia pamoja na Yesu katika behewa ya Kuhani mkuu;
16 Acunsepi Pita cun khawkpung mkawt peia ngdüiki. Acunüng axüisaw kce mat va nghlat be lü mkawt ksawh ngängki nghnumica kthäh lü Pita a luh lawpüi.
lakini Petro alikuwa amesimama nje ya mlango. Basi yule mwanafunzi aliyekuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, alitoka nje akaenda kuongea na yule mwanamke mtumishi aliyekuwa akilinda mlango na kumwingiza Petro ndani.
17 Mkawt ksawh ngängkia nghnumica naw Pita üng, “Nang pi ania xüisawa am na kyaki aw?” a ti. “Am ni nawng” Pita naw a ti.
Basi yule kijakazi aliyekuwa akilinda mlango, alimwambia Petro, “Je wewe si mmoja wa wafuasi wa huyu mtu?” Naye akasema, “Mimi siye.”
18 Khawsikia kyase, mpyae ja Romah yekape naw mei tik lü ngdüi lü mei omkie. Pita pi ami hlawnga va ngdüi lü mei awmei hngaki.
Na wale watumishi na wakuu walikuwa wakisimama mahali pale; wamekoka moto wa kwa maana, kulikuwa na baridi, na hivyo walikuwa wakiota moto ili kupata joto. Naye Petro alikuwa nao, akiota moto akiwa amesimama.
19 Ktaiyü Ngvaisäih naw axüisaw hea mawng ja a jah mtheia mawng Jesuh üng a kthäh.
Kuhani mkuu alimhoji Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
20 Jesuh naw msang lü, “Ngthu ka pyen üng khyanga hmuh ngjaka va ka pyenki. Sinakok ja Judahea ami ngbumnak Templea ka jah mthei khawiki, khyange pi ngcun lawkie, ampyua i am pyen khawi nawng.
Yesu akamjbu, “Nimeuambia waziwazi ulimwengu; Mimi nilifundisha mara kwa mara kwenye masinagogi na hekaluni mahali ambapo wayahudi hukusanyika. Nami sikusema lolote katika siri.
21 “Ise na na kthäh ni? Ami veia ka ngthu pyena mawng cun ka ngthu ngjakie jah kthäha; acune naw i ka pyen ksingki he” a ti.
Kwa nini mliniuliza? Waulizeni walionisikiliza juu ya kile nilichosema. Hawa watu wanajua mambo yale niliyosema.
22 Acun a pyen üng a peia ngdüiki, yekap mat naw Jesuh kbei lü, “Ktaiyü Ngvaisäih ahikba na msangki aw?” a ti.
Yesu alipokwisha sema hivyo, mmoja wa wakuu aliyekuwa amesimama akampiga Yesu kwa mkono wake na kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo inavyokupasa kumjibu kuhani mkuu?”
23 Jesuh naw, “Ka pyen mkhye a ve üng ahin üng veki naküt üng jah mtheha. Ka pyen cangki ani üng, ise na na kbeiki ni?” a ti.
Naye Yesu akamjibu, “Kama nimesema jambo lolote baya basi uwe shahidi kwa ajili ya uovu, na kama nimemjibu vyema kwa nini kunipiga?
24 Acunüng Anna naw Jesuh a ngkhihnak mahmaha Ktaiyü Ngvaisäih Kaiphah a veia a tüih.
Ndipo Anasi alipompeleka Yesu kwa Kayafa kuhani mkuu akiwa amefungwa.
25 Sihmon Pita ngdüi lü mei om ham se, khyang kce he naw, “Nang pi ania xüisawa am na kyaki aw?” ami ti üng, “Am ni nawng,” ti lü, ngcim betüki.
Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akijipasha joto mwenyewe. Halafu wale watu wakamwambia. “Je, wewe pia si mmoja wa wanaafunzi wake?” Akakana akisema “Mimi siye.”
26 Ktaiyü Ngvai säiha a mpya Pita naw a nghnga a ksawm pata a mjükphyüi mat naw, “Ani am ngvawnga ve niki se ka ning jah hmuh am ni mä?” a ti.
Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ambaye alikuwa ndugu wa yule mwanaume ambaye Petro alimkata sikio, alisema, “Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini?”
27 Pita a ngcim betü ja; ainghlüi khawngki.
Petro akakana tena, na mara Jogoo akawika.
28 Khawa ngawi law üng, Jesuh Kaiphaha im üngkhyüh sangpuxanga Bawingawhnaka ami cehpüi u. Judah ngvaie cun sangpuxanga Bawingawhnaka am lut u. Lätnak Pawi buh ami einak thei vaia, ngcingcaihnak am amimät ami ve vaia phäh kyaki.
Kisha wakamchukua Yesu toka kwa Kayafa mpaka kwenye Praitorio. Ilikwa asubuhi na mapema. Wao wenyewe hawakuiingia ile Praitorio ili wasije wakanajisika na kuila pasaka.
29 Acunüng, Pilat akpunga lut law lü, “Hina khana i nami mkatnak ve se aw?” a ti.
Kwa hiyo Pilato akawaendea akisema. “Ni shitaka gani linalomhusu huyu mtu?”
30 Amimi naw, “Hin hin khyangkaa am a ni üng na veia am lawpüi sawxat u nawng” ti lü ami msang.
Wakamjibu na kumwambia, “Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.”
31 Pilat naw, “Namimät naw cehpüi u lü, nami thuma kba cijang ua,” a ti. Judah mkhawnge naw, “Kami ngaiha u hnim vaia thum am ve” ami ti.
Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kulingana na sheria yenu.” Nao Wayahudi wakamwambia, “Sheria haituruhusu sisi kumwua mtu yeyote.”
32 (Acun cun a thih vaia mawng Jesuh naw a pyena mäiha akümnak law vaia kyaki.)
Walisema haya ili neno la Yesu litimilike, neno ambalo alikuwa amekwisha sema juu ya aina ya kifo chake.
33 Pilat naw Bawingawhnaka lut be lü Jesuh khüki naw, “Nang Judahea sangpuxanga na kyaki aw?” ti lü a kthäh.
Basi Pilato akaingia tena Praitorio akumwita Yesu; akamwambia, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?”
34 Jesuh naw, “Hina ngthu hin namäta mlung üngka naw lut lawki aw. Am ani üng ka mawngma khyange naw ning mtheh u se na pyen aw?” ti lü a kthäh be.
Yesu akamjibu, “Je, wewe waniuliza swali hili kwa Sababu wataka kujua au kwa sababu wengine wamekutuma ili uniulize mimi?”
35 Pilat naw, “Kei Judah khyanga na ngaih aw? Namäta khyang mjüe ja ktaiyü ngvaie naw ka kut üng ami na msum lawa na kyaki. Ia mkhyenak na pawh ni?” ti lü a msang.
Naye Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, au sivyo?” Taifa lako na kuhani mkuu ndio waliokuleta kwangu; wewe umefanya nini?
36 Jesuh naw, “Ka khaw ta hina khawmdek üng am sängei; ka khaw hin hina khawmdek üng a sängei vai sü ta ka hnukläke naw Judah ngvaiea kut üngkhyüh na yung khaie sü; ka khaw hin hina khawmdeka am ni” ti lü a pyen.
Yesu akajibu; “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa na sehemu katika ulimwengu huu watumwa wangu wangenipigania ili nisitolewe kwa wayahudi. Kwa kweli ufalme wangu hautoki hapa” Basi
37 Pilat naw, “Acunüng, nang sangpuxang aw?” ti se, Jesuh naw, “Ä, na pyena mäiha kei sangpuxang ni. Ka hmi lawnak ja khawmdek khana ka lawnak hin ngthungtak saksinak vaia phäha kyaki. Au pi ngthungtak üng sängeiki naküt naw ka ngthu ngaiki” a ti.
Pilato akamwambia, “Je, wewe basi u mfalme?” Yesu akajibu, “wewe ndivyo unanvyosema kuwa mimi ni mfalme, Kwa sababu hii mimi nilizaliwa na kwa sababu hii mimi nimekuja ulimwenguni ili niwe shahidi wa ile kweli. Yeyote aliye wa hiyo kweli huisikiliza sauti yangu.
38 Pilat naw Jesuh üng, “Ngthungtak cun i ni?” a ti. Acuna ngthu a pyen päng ja Judahea veia cit lü, “Thihnak awng vaia mkhyenak ani üng am hmu veng,
Pilato akamwambia, “Kweli ni nini?” Naye alipokwisha sema haya akaenda kwa Wayahudi na kuwaambia “Siona katika lolote mtu huyu.
39 acunsepi Lätnak Pawi k’um üng thawng kyum mat ka ning jah mhlät pet vaia thum nami taki. Acunakyase, Judahea sangpuxang hin ka ning jah mhlät pet vaia nami ngaiki aw?” a ti.
Ninyi mna utamaduni unaonifanya nimfunfungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Je mnataka nimfungulie mfalme wa Wayahudi.”
40 Amimi naw ngpyang u lü, “Ani käh mhläta. Barabah jah mhlät peta” ami ti. (Barabah cun mawa ve lü kcim kcei bikia mpyukeia kyaki.)
Kisha walipiga kelele wakisema, siyo huyu, tufungulie Baraba.” Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.