< Ephet 2 >

1 Ahlana nangmi cun Ngmüimkhya lama nami thiki, isetiakyaküng, pyen käh ngja lü nami mkhyekata phäh ni.
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 Acuna kcün üng am dawkia khawmdeka lam kse läk lü khawlivaa veki ngmüimkhya johitea uknak nami jah kcangnaki. Acuna Ngmüimkhya naw Pamhnam käh kcangnak vaia khyange cun atuha jah pinmanki. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 Mimi pi amimi akba ve khawi lü ni mtisa hlüeia mimäta pumsae ja mlungkawea titänga mi xüng khawikie. Mi mtisa lama avana kba Pamhnama mlungsonak mi khamei khaiea mi ngkawihkie ni.
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Lüpi Pamhnama a jah mpyeneinak nungmja lü a jah kphyanak pi dämduhki,
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 pyen käh ngja lü Ngmüimkhya lama mkhyea phäh mi thih k'um üng ani naw Khritaw am xünnaka a jah lawpüi ni. Pamhnama bäkhäknak am küikyannak nami yahki.
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 Khritaw Jesuh üng mi yümmatnak am ani naw jah mtho be lü ani am khankhaw pea atänga mi uk khai.
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 Ahin a pawh cun law khai akcün tä üng mdan lü aktäa dämduhkia a bäkhäknak cun Khritaw Jesuh üng a kphyanak jah mdanki. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Pamhnama bäkhäknak üng jumnak üngkhyüh küikyannak nami yahki. Ahin cun namimäta mtunkthaeinak am kya, lüpi Pamhnam naw ajüa aning jah yet ni, acuna kyase u pi käh camcah kawm.
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 Mimi cun Pamhnama sepbeia mi kya lü Pamhnam naw Khritaw Jesuh üng yümmat lü akdaw mi pawh khaia a jah mhnünmceng päng ni, mi bilawh vai kunga a jah pitpyang pet päng ni.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Nami ngtüi law üng khyangmjükcee, Judahe naw “vun am mawiki” aning jah tinak, amimäte naw ta vun mawikia ngsuikiea (Ahin cun khyang naw pumsa üng bilawhnak) ajana ihawkba nami ve khawiki ti cun süm ua.
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 Acuna kcün üng Khritaw üngkhyüh nami thuki. Nangmi cun khyangmjükcea kya lü Pamhnama a jah xü khyanga pi am kya uki. Pamhnam naw Isarele üng khyütam a jah pet ngthupet üng pi am sängei lü Pamhnam jah äpeinak käh ta lü khawmdeka nami xüng khawiki.
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 Tuh ta, ajana thuk khawi uki lüpi Khritawa thisen naw ning jah law püi lü Khritaw Jesuh üng nami yümmat law beki.
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
14 Khritaw amät naw dim’yenak law püi lü Judahe ja khyangmjükcee cun khyangmjü mata a jah pyan. Yea jah thawnsaki ja jah mkhyakia kpang cun amäta pumsa üng a kcimpyak ni.
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Ani naw Judahea Thum, ngthupet ja ningsawe jah kpyakki, isetiakyaküng, khyangmjü nghngih cun khyang kthai mata kya lü a nih üng a jah yümmatsak. Ahikba va dimdeihnak a bi law.
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 Ani kutlamtunga a thiha phäh üng am ami ngkhawtnak mkhyüh lü kutlamtunga phäh üng khyangmjü nghngih cun pumsa mat üng jah ngkhawsak lü Pamhnama vei a jah law püi be.
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
17 Acuna kyase Khritaw cun law lü dimdeihnaka Thangkdaw cun ami vana vei — Pamhnam am thuki khyangmjükce ja Pamhnam am cähki Judahe vei sangki.
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
18 Khritaw üngkhyüh khyangmjükce jah Judah mi van cun Ngmüimkhya mat am Pa Pamhnama maa mi law khawhki.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Acuna kyase, nangmi khyangmjükcee cun pe kce khyanga ja khina am kya ti u ki, nangmi cun Pamhnama khyange am atänga khankhaw khyanga thawn u lü Pamhnama canaa nami kyaki.
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 Khritaw Jesuh amät cun tüneinak lunga kya lü nangmi cun tüneinaka khana ngsä he ja sahmae naw aning jah sawngsak ua kyaki.
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 Ani naw im avan cun kcüng lü Pamhnam üng pet vaia dawki temple ngcima dämduhsak lü Bawipa üng a ap ni.
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 Ani üng yümmat lü Pamhnam cun a Ngmüimkhya üng a ve vaia nangmi cun khyang kcee am atänga ning jah sawngsaka nami kyaki.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< Ephet 2 >