< Ngsäea Khut 7 >

1 Acunüng, ktaiyü ngvai naw, “Acuna ngthu kcangki aw?” ti lü, Stephen a kthäh.
Kuhani mkuu akasema,”mambo haya ni ya kweli”?
2 Acunüng Stephen naw msang lü, “Ka bee jah ka pae aw, ngai ua, mi pupa Abraham, Haran khawa am a ceh ham üng Mesopotemiha Pamhnama hlüngtainak a veia ngdang law lü,
Stephano akasema, “Ndugu na mababa zangu, nisikilizeni mimi: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu wakati alipokuwa Mesopotamia, kabla hajaishi Harani,'
3 “Na khaw ja na im üngka naw cit lü ka ning mhnuh vaia pea cita” a ti.
akamwambia,' Ondoka katika nchi yako na jamaa zako na uende katika nchi nitakayokuonyesha'.
4 Acunüng, Abraham cun Khalade khaw üngka naw cit lü Haran khawa va veki; acunüng, a pa a thih käna hina atuh nami venak khawa Pamhnam naw a ngkawnsak.
Kisha akaondoka katika nchi ya Ukaldayo akaishi Harani, kutoka hapo, baada ya baba yake kufa, Mungu akamleta kwenye nchi hii, wanayoishi sasa.
5 Acunüng, hia ta a venak vai, a khawpa a takeinak vai pi Pamhnam naw am pe; acunsepi, amät ja a ngsawne cäpa khawh a jah pet vaia am a ca ham üng tün lü khyütamki.
Hakumpa chochote kama urithi wake, hapakuwa na sehemu hata ya kuweka mguu. Lakini Abrahamu aliahidiwa hata kabla hajapata mtoto kuwa atapewa nchi kama miliki yake na uzao wake.
6 Acunüng, Pamhnam naw, ‘Na mjükphyüie khyanga khawa kum phyakphyü ve khaie, khyanga mpyaa ve u se, jah khuimkha khaie’ tia a pyen.
Mungu alinena naye hivi, ya kwamba wazao wake wangeishi katika nchi ya ugeni, na kwamba wenyeji wa huko watawafanya kuwa watumwa wao na kuwatenda vibaya kwa muda wa miaka mia nne.
7 Acunüng, Pamhnam naw, ‘Amimi jah mpya na khaia khyang mjüe pi kamät naw ami lei ka jah mtai law pe khai. Acun käna lät law be u lü, hina hnün üng na hjawkhah law khaie’ a ti.
Na Mungu akasema, nitalihukumu taifa ambalo litawafanya mateka, na baada ya hapo watatoka na kuniabudu katika sehemu hii.'
8 Acunüng, Pamhnam naw vun mawih vaia ngthumkhän pe se; acunüng, Abraham naw Isak ca na lü amhnüp khyetnak üng a vun a mawi pet; acunüng, Isak naw Jakop ca na se, Jakop naw a ca xaleinghngihea vun a jah mawih pet acune cun nglo ngthangkie mi pupae ni.
Na akampa Abrahamu agano la tohara, hivyo Abrahamu akawa baba wa Isaka akamtahiri siku ya nane; Isaka akawa baba wa Yakobo, na Yakobo akawa baba wa mababu zetu kumi na wawili.
9 Acunüng, Jakopa cae naw ami na Josep k’eih u lü Egypt pea ami jawihei; acunsepi, Pamhnam naw vepüi lü,
Mababu zetu wakamwonea wivu Yusufu wakamuuza katika nchi ya Misri, na Mungu alikuwa pamoja naye,
10 a khuikhanak naküt üng küikyanki. Josep cun Egypt sangpuxanga maa a pha vai üng Pamhnam naw ani üng themnak ja a hmai vainak pe se, Pharo sangpuxang naw Egypt pe ja a im üng ngvai säiha a mcawn.
na akamwokoa katika mateso yake, na akampa fadhili na hekima mbele ya Farao mfalme wa Misri. Farao akamfanya awe mtawala juu ya Misri na juu ya nyumba yake yote.
11 Egypt ja Kanan pe avan üng khawjaw law se, khuikhanak aktäa ve lawki; mi pupae cun ami ei vai i am ta u lü vekie.
Basi kukawa na njaa kuu na mateso mengi katika nchi ya Misri na Kanani, na baba zetu hawakupata chakula.
12 Acunsepi, Jakop naw Egypt pea cang veki tia ksing lü a cae a jah tüih; acun cun ami cehnak akcüksäiha kyaki.
Lakini Yakobo aliposikia kuna nafaka Misri, aliwatuma baba zetu kwa mara ya kwanza.
13 Acunüng, anghngihnaka ami ceh üng, Josep cun a beea üng jah mtheh se; acunüng, Josepa khuiima mawng cun Pharo naw a jah ksing law.
Katika safari ya pili Yusufu akajionyesha kwa ndugu zake, familia ya Yusufu ikajulikana kwa Farao.
14 Acunüng, Josep naw a pa Jakop ja a benae naküt a jah khüsak; ami van khyühkip ja hma lawki he.
Yusufu akawatuma ndugu zake kwenda kumwambia Yakobo baba yao aje Misri, pamoja na jamaa yake, jumla ya watu wote ni sabini na tano.
15 Jakop cun Egypt pea ju citki; acunüng, ani ja a tucae cun thikie.
Hivyo Yakobo akashuka Misri; kisha akafa yeye pamoja na baba zetu.
16 Ami yawke cun Sikem khawa jah cepüi u lü Abraham naw Sikem khawa Hamoa sanga veia ngui am a khyäiha ng'uhnak üng ami ja k’ut.
Wakachukuliwa hata Shekemu wakazikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alilinunua kwa vipande vya fedha kutoka kwa wana wa Hamori huko Shekemu.
17 “Acunüng, Pamhnam naw Abrahama veia khyütam akpha law hlü üng, Jakopa mjükphyüie cun Egypt pea nung mja lawki he.
Wakati wa ile ahadi ambayo Mungu alimwahidi Abrahamu ulipokaribia, watu wakiwa wameongezeka huko Misri,
18 Josep am ksingkia sangpuxang akce naw Egypt cun up lawki.
wakati huo aliinuka mfalme mwingine juu ya Misri, mfalme asiyejua kuhusu Yusufu.
19 Ani naw mi pupae jah mkhuimkha lü hnasen he pi thi khaia im üngkhyüh a jah xawt tawnsak.
Huyo mfalme mwingine akawadanganya watu wetu na kuwatenda mabaya baba zetu, na kuwatupa watoto wao wachanga ili wasiishi.
20 Acunüng Pamhnama hmaia aktäa ngtokia, Mosi hmi law se, a pa ima khya kthum ami mcah;
Katika kipindi kile Musa alizaliwa; alikuwa mzuri mbele za Mungu, akalelewa miezi mitatu katika nyumba ya baba yake.
21 acun käna ami tawnnaka, Pharoa canu naw lo lü amäta ca vaia a mcahei.
Wakati alipotupwa, binti wa Farao alimchukua akamlea kama mwanaye.
22 Acunüng Mosi cun Egypt pea ami ksingkhyapnak naküt jah mthei u se, bilawnak ja pyensaknak thei üng be lawki.
Musa alifundishwa mafundisho yote ya Kimisri; alikuwa na nguvu katika maneno na matendo.
23 Kum kphyükip a cum üng, a püi Isarele ihawkba vekie ti cun ja va bükteng khaia ngtängki.
Lakini baada ya kutimiza miaka arobaini, ikamjia katika moyo wake kuwatembelea ndugu zake, wana wa Israeli.
24 Acunüng Isarel khyang mat Egypt khyang naw khuimkha se hmu lü, yungki naw Egypt khyang cun a hnim.
Alipomwona Mwisraeli akitendewa mabaya, Musa alimtetea na kulipiza kisasi aliyekuwa akimwonea kwa kumpiga Mmisiri:
25 (Pamhnam naw ani am a khyange jah yung khai tia, a khyange naw ksing khaiea ngai sepi, am ksing u.)
akifikiri kuwa ndugu zake watafahamu kwamba Mungu anawaokoa kwa mkono wake, lakini hawakufahamu.
26 Angawi law be tü üng amimät üngka xawi ngtunngpyei nise jah hmu law lü, ‘Ka püi xawi aw, bengna xawia nani kyaki, ise nani ngtunngpyeiki ni?’ ti lü ja mkhya khaia bü se,
Siku iliyofuata akaenda kwa baadhi ya Waisraeli waliokuwa wanagombana; akajaribu kuwapatanisha; akisema,' Mabwana, Ninyi ni ndugu; mbona mnakoseana ninyi kwa ninyi?
27 a püi ngtunpüiki naw Mosi buk lü, ‘Kani khana suki ja ngthumkhyah mkhawnga u naw aning mcawn ni?
Lakini aliyemkosea jirani yake akamsukumia mbali, na kusema, 'Nani kakufanya mtawala na muhukumu wetu?
28 Müta Egypt khyang na hnima kba na na hnim khaia na büki aw?’ a kthäh.
Wewe unataka kuniua, kama ulivyomuua Mmisri jana?”
29 Acun a ngjaka phäha Mosi Midian pea cen lü, acuia cakpa nghngih a canak.
Musa akakimbia baada ya kusikia hivyo; akawa mgeni katika nchi ya Midiani, ambapo akawa baba wa wana wawili.
30 Kum kphyükip a nghjawk käna, Sinai mcung pei khawkhyawng khawa meia däiki kpyap üngka naw, khankhawngsä mat a veia ngdang lawki.
Baada ya miaka arobaini kupita, malaika akamtokea katika jangwa la mlima Sinai, katika mwali wa moto ndani ya kichaka.
31 Mosi naw acun a hmu üng, aktäa cäi lü bükteng khaia a va k’et üng, Bawipa kthai naw,
Wakati Musa alipoona moto, alishangaa na kustaajabia kile alichokiona, na alipojaribu kukisogelea ili kukitazama, sauti ya Bwana ikamjia Ikisema,
32 ‘Kei cun na pupaea Pamhnam ni, Abrahama Pamhnam, Isaka Pamhnam, Jakopa Pamhnam ni’ ti se, acunüng, Mosi naw kyüh lü am a bükteng dat.
'Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, na wa Isaka, na wa Yakobo'. Musa alitetemeka na hakuthubutu kuangalia.
33 Acunüng, Bawipa naw, ‘Na khawdawk cän suta; isetiakyaküng na ngdüinak cän hnün ngcimcaiha mdek ni.
Bwana akamwambia, 'Vua viatu vyako, sehemu uliposimama ni mahali patakatifu.
34 Egypt pea ka khyang vekiea ami khuikhanak aktäa hmu veng, ami ngko pi ngja veng, ami jah küikyan khaia ka kyum lawki ni. Tuhkbäih cita, Egypt pea ka ning tüih khai’ a ti.
Nimeona mateso ya watu wangu waliopo Misri; Nimesikia kuugua kwao, nami nimeshuka ili niwaokoe; sasa njoo, nitakutuma wewe Misri.'
35 Acuna Mosi, ‘Kani khana suki ja ngthumkhyah mkhawnga u naw aning mcawn ni?’ tia Isarele naw ami mah cun, kpyapa k'uma a veia ngdang lawkia khankhawngsä naw kpüi se, Pamhnam naw ani kung cun ngvai ja küikyan khaia a tüiha kyaki.
Huyu Musa ambaye waliyemkataa, wakati waliposema, 'nani kakufanya kuwa mtawala na mwamuzi wetu?' alikuwa ndiye ambaye Mungu alimtuma awe mtawala na mkombozi. Mungu alimtuma kwa mkono wa malaika ambaye alimtokea Musa kichakani.
36 Ani naw Egypt pe, Mpanglai Sen ja khawkhyawng khawa kum kphyükip üng, cäicatnak vaie ja müncamkse ja pawh lü a ja ngkhah lawpüi.
Musa aliwaongoza kutoka Misri baada ya kufanya miujiza na ishara katika Misri na katika bahari ya Shamu, na katika jangwa kwa kipindi cha miaka arobaini.
37 Isarel khyange üng ‘Pamhnam naw kei ana mcawna mäiha, nami benae üngka sahma mat ning ja mcawn pe khai’ ti lü jah mthehki cun acuna Mosia kyaki.
Ni Musa huyu ndiye aliyewambia watu wa Isiraeli kuwa, 'Mungu atawainulieni nabii kutoka miongoni mwa ndugu zenu, nabii kama mimi'.
38 Ani cun, khawkhyawng khawa ngkhämkiea veia pi kyase, Sinai mcunga ngthuheipüikia khankhawngsäa veia pi kyase, ja mjükphyüi nakiea veia pi kyase ve lü mimi a jah pet vaia xüngseiki Pamhnama ngthu yahkia kyaki.
Huyu ni mtu ambaye alikuwa katika mkutano jangwani na malaika ambaye aliongea naye katika mlima Sinai. Huyu ndiye mtu ambaye alikuwa na baba zetu, huyu ni mtu ambaye alipokea neno lililo hai na kutupatia sisi.
39 Ania ngthu cun mi pupae naw käh ngai u lü, ami mlung üng Egypt pea nghlat be vai ngjahlükie.
Huyu ni mtu ambaye baba zetu walikataa kumtii; walimsukumia mbali, na katika mioyo yao waligeukia Misri.
40 Acunakyase Arona veia, ‘Ja ngkhahpüi khaia mhnam he jah pyan peta; Egypt pe üngka naw jah lawpüikia Mosi ihawkba veki ni am ksing ve üng’ ami ti.
Katika kipindi hicho walimwambia Haruni.'tutengenezee miungu itakayotuongoza. Huyo Musa, aliyekuwa akituongoza kutoka katika nchi ya Misri, hatujui kilichompata.'
41 Acunüng, seca juktuh pyang u lü, acun cun xüngsei hnimki he naw hjawkhah u lü, amimäta kuta pyang cun ngkengtai u lü hlimtuikie.
Hivyo wakatengeneza ndama kwa siku hizo na wakatoa sadaka kwa hiyo sananmu na wakafurahi kwa sababu ya kazi ya mikono yao.
42 Acunakyase Pamhnam naw akcea ja jah nghlat ta lü, khankhawa aisie jah hjawkhah khaiea a jah pawh; acun cun sahmaea yuknak caup üng: ‘Isarel khyange aw, khawkhyawng khawa kum kphyükip üng axüngksei jah hnim u lü ngkengnak nami bilawh hin kei nami na hjawkhahnak am ni.
Lakini Mungu aliwageuza na kuwapa waabudu nyota wa angani, kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha manabii, 'Je Mmenitolea mimi sadaka za wanyama mliowachinja jangwani kwa muda wa miaka arobaini, nyumba ya Israeli?
43 Sama k'uma veki Moluk mhnam ceh hü lü aisi mhnam Rephan pi nami hjawkhah vaia a lup nami pyangki, acunakyase, Babalung pea nami mpya khaia ka ning jah tüih khai’ tia veki.
Mmekubali hema ya kukutania ya Moleki na nyota ya mungu refani, na picha mliyoitengeneza na kuwaabudu wao: na nitawapeleka mbali zaidi ya Babeli.'
44 Mi pupae naw khawkhyawng khawa Mhnama venak vai sam takie. Acun cun Mhnama phäh nami pyan vai cun Mosi üng mtheh kba sam nami takie.
Baba zetu walikuwa na hema ya kukutania ya ushuhuda jangwani, kama Mungu alivyoamuru alipoongea na Musa, kwamba angeitengeneza kwa mfano wa ule aliouona.
45 Acun käna, mi pupaea naw sam cun lo u lü Josuh mah maha cit u lü cehpüikie, acun cun Pamhnam naw ni maa a jah ksät khyangmjüea khawa takie. Acun hin Davita a ve law cäpa acua veki.
Hili ni hema ambalo baba zetu, kwa wakati wao, waliletwa katika nchi na Joshua. Hii ilitokea wakati walipoingia kumiliki taifa ambalo Mungu aliwafukuza kabla ya uwepo wa baba zetu. Hii ilikuwa hivi hadi siku za Daudi,
46 Acuna Davit cun Pamhnama mpyeneinak yah lü, Jakopa Pamhnama venak vai pyang khaia kthähki.
ambaye alipata kibali machoni pa Mungu,' na akaomba kutafuta makao kwa Mungu wa Yakobo.
47 Acunsepi, Solamon naw ni im cun a sak.
Lakini Selemani alimjengea nyumba ya Mungu.
48 Acunsepi, hlüngtai säihkia Mhnam cun khyanga kut am saka im üng am ve khawi; sahma naw pyen lü:
Hata hivyo Aliye Juu haishi kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono; hii ni kama nabii alivyosema,
49 Bawipa naw, ‘Khankhaw cun ka Bawingawhnaka kyaki, khawmdek cun ka khawpha ka mtaihnaka kyaki, im ia mäih nami na sak hlü peki ni? Ka venaka hnün cun ia mäih ni?
Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni sehemu ya kuwekea miguu yangu. Nyumba ya aina gani mtanijengea?, asema Bwana: au ni wapi sehemu yangu ya kupumzikia?
50 Kamäta kut am anaküt ka ja mhnünkia am kya aw?’ ti ve, ti lü a pyen ni.
Siyo mkono wangu uliofanya hivi vitu vyote?'
51 Stephen naw msu lü, “Nami mlung ngcang ve, Pamhnama ngthu am nami ngjaki, anglät se Ngmüimkhya Ngcim nami mahki; nami pupaea ve ja nami ve täng ve.
Enyi watu wenye shingo ngumu msiotahiriwa mioyo na masikio, kila mara mnampinga Roho Mtakatifu,' mnatenda kama baba zenu walivyotenda.
52 Nami pupae naw sahmae am ami khuimkha khawi veki aw? Law khaia Ngsungpyunkia Mpyaa mawng sang lawki he Pamhnama ngsä he jah hnimki he. Atuh pi ani cun phyehei lü nami hnimki.
Ni nabii gani katika manabii ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua manabii wote waliotokea kabla ya ujio wa Mmoja mwenye Haki,'na sasa mmekuwa wasaliti na wauaji wake pia,
53 Mhnama thum, khankhawngsä hea naw ami ning jah pet cän yah u lü am nami läki” a ti.
enyi watu mliopokea sheria ile iliyoagizwa na malaika lakini hamkuishika.”
54 Acunüng, acuna ngthu cun kawngci khyange naw ami ngjak ja ami mlungso law se, Stephena khana mnicui kyetkie.
Kisha wajumbe wa baraza waliposikia mambo haya, walichomwa mioyo yao, wakamsagia meno Stefano.
55 Acunsepi, Stephen cun Ngmüimkhya Ngcim am bekia kya lü, khankhawa hang mangki naw, Pamhnama hlüngtainak ja Pamhnama khet lama Jesuh ngdüi se a hmu.
Lakini yeye, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alitazama mbinguni kwa makini na akauona utukufu wa Mungu,' na kumwona Yesu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
56 Acunüng, Stephen naw, “Teng u.” “Khankhaw nghmawng lü Pamhnama khet lama Khyanga Cakpa ngdüiki pi hmu veng” a ti.
Stefano akasema, “Angalia nimeona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adam amesimama mkono wa kuume wa Mungu.”
57 Amimi cun angsanga ngpyang u lü, ami nghnga jah kbümeikie naw, atänga kyaksih u lü,
Lakini wajumbe wa baraza wakapiga kelele kwa sauti za juu, wakaziba masikio yao, wakamkimbilia kwa pamoja,
58 mlüh k'um üngka naw akpunga kaih u lü, lung am ami khawng. Saksi vai ami suisake cun Sawluh ngming naki cawngpyang mata khaw kunga ami jah tak.
wakamtupa nje ya mji na wakampiga mawe: na mashahidi wakavua nguo zao za nje na kuweka chini karibu na miguu ya kijana aliyeitwa Sauli.
59 Acunüng, lung am aktäa ami khawng k'um üng, Stephen naw, “Bawipa Jesuh aw! ka Ngmüimkhya labea” ti lü ktaiyüki.
Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, aliendelea kumwita Bwana na kusema, “Bwana Yesu, pokea roho yangu,”.
60 Acunüng, a mkhuk ngdäng lü, angsanga ngpyang lü, “Bawipa aw, hina ami mkhyekatnak cän käh ja thung be kawpi” a ti. Acuna ngthu a pyen päng ja thiki.
Akapiga magoti na kuita kwa sauti kubwa, “Bwana, usiwahesabie dhambi hii. “Aliposema haya, akakata roho.

< Ngsäea Khut 7 >