< Ngsäea Khut 20 >
1 Suksaknak a ngdüm law käna, Pawluh naw jumeikie atänga jah khü lü ngjuktha jah pe lü a jah ngtaipüi. Ani cun jah cehta lü Maketawniha citki.
Baada ya ghasia kumalizika, Paulo aliwaita wanafunzi na kuwatia moyo. Kisha kuwaaga na akaondoka kwenda Makedonia.
2 A ceh sawa acuna hne cu khyang khawhah ngjuktha jah peki. Acun käna Akhacia cit lü,
Naye akiishakupita mikoa hiyo na alikuwa akiwatia moyo waamuni, akaingia Uyunani.
3 acua khya kthum veki. Ani cun Siriaa cit khai ngtängki lüpi Judahe naw ami pawh vaia ceng u se, Maketawniha da nglat khaia ngtünki.
Baada ya yeye kuwa pale kwa muda wa miezi mitatu, njama ziliundwa dhidi yake na Wayahudi alipokuwa akikaribia kusafiri kwa njia ya bahari kuelekea Shamu, hivyo aliazimu kurudi kupitia Makedonia.
4 Puruha cakpa Sapotah Beriha ka, Aristakhas ja Sekudah Thesalonikaha ka xawi, Kajas cun Derbea ka, Timoti, Taikikah ja Throphimah Asaha ka xawi, acune cun ani üng atänga veia cit hngakie.
Walioandamana naye hadi Asia walikuwa Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea; Aristariko na Sekundo, wote kutoka waamini wa Wathesalonike; Gayo wa Derbe; Timotheo; Tikiko na Trofimo kutoka Asia.
5 Acunee cun ana cit ma u lü, Tarosa keimi jah na k'äihkie.
Lakini watu hawa wamekwisha tangulia na walikuwa wanatungojea kule Troa.
6 Keimi cun hngen am kcaw muk pawi käna, Philipih üngka naw mlawng am cit u lü, amhnüp mhma üng Taros kami phaki; acua mhnüp khyüh kami veki.
kwa njia ya Bahari kutoka Filipi baada ya siku za mikate isiyotiwa chachu, na katika siku tano tukawafikia huko Troa. Tulikaa huko kwa siku saba.
7 Acunüng, mhnüp khyühnak mümlama bu ei yüm vaia kami ngcunki. Acunüng Pawluh cun a ngawi üng cit khaia bükia kyase, ami veia ngthu pyenki naw, mthan nglung cäpa a pyen.
Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekusanyika pamoja ili kuumega mkate, Paulo alizungumza na Waamini. Alikuwa akipanga kuondoka kesho yake, hivyo akaendelea kuongea hadi usiku wa manane.
8 Kami ngcunnak khan ima meiim khawhah ami jah mdäi.
Kulikuwa na taa nyingi katika chumba cha juu ambapo tulikuwa tumekusanyika pamoja.
9 Etukhuh ngming naki cawngpyang mat mkawt peia ngaw lü, a mik ku se ngam lü veki. Acunüng, Pawluha ngthu pyen thuk law se, ip tawng lü im athat kthumnak üngka naw mcea kya se akthia ami law be.
Katika dirisha alikuwa amekaa kijana mmoja jina lake Utiko, ambaye alielemewa na usingizi mzito. Hata Paulo alipokuwa akihutubu kwa muda mrefu, kijana huyu, akiwa amelala, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu na aliokotwa akiwa amekufa.
10 Acunüng, Pawluh kyumki naw, a khana ngbawk lü kawiki naw, “Käh ng’ä ua, xüng ham ve” a ti.
Lakini Paulo alishuka chini, alijinyoosha yeye mwenyewe juu yake, akamkumbatia. Kisha akasema, “Msikate tamaa, kwa kuwa yu hai.”
11 Pawluh kai be lü, muk bo lü eiki. Khaw athaih law lü nghngi a pyü law cäpa ngthu pyen lü, acun käna citki.
Kisha akapanda tena ghorofani na akaumega mkate, akala. Baada ya kuzungumza nao kwa muda mrefu hadi alfajiri, akaondoka.
12 Acunüng, cawngpyang cun akxünga ima cehpüi be u se aktäa ami mlung dim’yeki.
Wakamleta yule kijana akiwa hai wakafarijika sana.
13 Keimi cun mlawng am law u lü, Asiha kami cit khaia mlawng am kami na cit maki, acunüng Pawluh cun kami ngcum lawpüi vaia kami täng kyaw; a khaw am law khaia ngtängki.
Sisi wenyewe tulitangulia mbele ya Paul kwa meli na tukaelekea Aso, ambapo sisi tulipanga kumchukua Paul huko. Hiki ndicho yeye mwenyewe alitaka kufanya, kwa sababu alipanga kwenda kupitia nchi kavu.
14 Asiha jah na ngkhyum püi lü, ani kpan law lü Mituliniha kami citki.
Alipotufikia huko Aso, tukampakia kwenye Meli tukaenda Mitilene.
15 Acunüng ka naw, mlawng am cit u lü, a ngawi üng Kioh kami phaki. A ngawi üng, Samoh pha u lü, a ngawi be tü üng Miletuh kami phaki.
Kisha sisi tukatweka kutoka huko na siku ya pili tulifika upande wa pili wa kisiwa cha Kio. Siku iliyofuata, tukawasili kisiwa cha Samo, na kesho yake tukafika mji wa Mileto.
16 Pawluh cun Asaha khawvei a ve vai am täng lü, Ephet da cun mlawng am cit khaia bü kungkia kyaki, athawn theia kyak üng Jerusalema Pentikos mhnüp üng a pha vai ngsengeiki.
Kwa sababu Paulo alikuwa ameamua kusafiri kupitia Efeso, ili kwamba asitumie muda wowote katika Asia; kwa maana alikuwa na haraka ya kuwahi Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya Pentekoste, kama ingeliwezekana yeye kufanya hivyo.
17 Acunüng, Miletuh khaw üngka naw, Epheta khyang tüih lü, sangcim ngvaie a jah hmuh vaia a ja khüsak.
Kutoka Mileto akatuma watu hadi Efeso na akawaita wazee wa Kanisa.
18 Acunüng, a veia ami pha law üng, Pawluh naw, “Asah hne ka pha law üng tün lü, atuh cäpa ihawkba ka kcün ka sumeiki tia nami ksingki.
Walipofika kwake, akawaambia, ninyi wenyewe mwajua tangu siku ya kwanza nilipokanyaga hapa Asia, jinsi nilivyokuwa kwenu muda wote.
19 Mdihmsuinak ja ka kphyutui baw lü Bawipaa mpya akba khut ka biki. Isetiakyaküng Judahe naw na hnim khai ami büa phäh kyaki.
Nimemtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote na kwa machozi, na mateso yaliyonipata mimi kwa hila za Wayahudi.
20 Nangmi am ka ning jah kuei vaia i pi am ka thupki tia nami ksingki ni, khyangea ksunga ja im naküt üng ka ning jah mthei khawiki.
Mwajua jinsi ambavyo sikujizuia kutangaza kwenu kitu chochote ambacho kilikuwa muhimu, na jinsi mimi nilivyowafundisha wazi wazi na pia kwenda nyumba kwa nyumba.
21 Judahe ja khyangmjükceea veia pi Pamhnama veia nghlat law be u lü, mi Bawipa Jesuh ami jumei lawnak vaia ngthu ka pyen ni.
Mnajua jinsi mimi nilivyoendelea kuwaonya Wayahudi na Wayunani juu ya toba kwa Mungu na imani katika Bwana wetu Yesu.
22 Acunüng, atuha Ngmüimkhya Ngcim kcang na lü Jerusalem da ka cit khai, acua kei ia na pawh khaie am ksingei veng.
Na sasa, angalieni, mimi, nikiwa ninamtii Roho Mtakatifu kuelekea Yerusalemu, nisiyajue mambo ambayo yatanitokea mimi huko,
23 Ka cehnak hü mlüh naküta thawng jah mkhuimkhanak naw na k'äihki tia Ngmüimkhya ngcim naw na mthehki ni.
ila kwa kuwa Roho Mtakatifu hunishuhudia mimi katika kila mji na anasema kwamba minyororo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
24 Acunsepi, ka kcün sak hin ia am kya, isetiakyaküng thangkdaw tinaki Pamhnama bäkhäknak sang lü, Bawipa Jesuh naw a na peta khut ja mission cun ka mcän vai ni ka hlüei ta.
Lakini mimi si kufikiria kwamba maisha yangu ni kwa njia yoyote ya thamani kwangu, ili niweze kumaliza mwendo wangu na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu, kuishuhudia injili ya neema ya Mungu.
25 Acunüng, nangmi, Pamhnama pea mawng sang lü nami veia ka cit hüki. Tuh ta nangmi naw am nami na hmu be ti khai tia ka ksingki.
Na sasa, tazama, najua kwamba wote, miongoni mwa wale nilioenda kuwahubiri Ufalme, hamtaniona uso tena.
26 Acunakyase, nami khyüha kyak üng keia mtaa am kya ve tia tungawi angtea ning jah mtheh veng.
Kwa hiyo nawashuhudia leo hii, kwamba sina hatia kwa damu ya mtu yeyote.
27 Pamhnama a ngjak'hlü naküt avan, nami veia am pyen hlü lü ka mji i am ve.
Kwa maana sikujizuia kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.
28 Acunakyase, nami mät ja namimät mcei ua, Pamhnam naw a cakpa thisen am a khyäiha sangcim nami mcah khaia Ngmüimkhya Ngcim naw aning jah mceisaka tome cän pi jah mcei ua.
Kwa hiyo iweni waangalifu juu yenu ninyi wenyewe, na juu ya kundi lolote ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi. Iweni waangalifu kulichunga kusanyiko la Bwana, ambalo alilinunua kwa damu yake mwenyewe.
29 Ka ceh käna mhnge kyung he nami ksunga law u lü, ami naw tomee käh jah mpyenei khaie tia ka ksingki.
Najua kwamba baada ya kuondoka kwangu, mbwa mwitu wakali wataingia kwenu, na wasilihurumie kundi.
30 Namimät üngka khyang avange law u lü jumeikie jah mhlei lü ami jah läk vaia thawn law khaie.
Najua kwamba hata miongoni mwenu wenyewe baadhi ya watu watakuja na kusema mambo mapotovu, ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao.
31 Acunakyase, mcei ua; kum kthum ka kphyutui baw lü, amhnüp amthan ka ning jah mthei cän süm ua.
Kwa hiyo muwe macho. Kumbukeni kwamba kwa miaka mitatu sikuweza kuacha kuwafundisha kila mmoja wenu kwa machozi usiku na mchana.
32 Tuhkbäih Pamhnama bäkhäknaka ngthu üng ka ning jah taki, acun naw ning jah sawngsa lü, ani naw Pamhnama dawkyanak a khyangea phäh a tak cun ning jah pe khai.
Na sasa mimi nawakabidhi kwa Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliowekwa wakfu kwa Mungu.
33 Ua xüi, ngui, suisak pi am hlüei khawi veng.
Sikutamani fedha, dhahabu, au mavazi.
34 Kamät ja ka püiea hlükaw cun kamät bilo lü kami eiawki ti cun namimät naw nami ksingki.
Mnajua ninyi wenyewe kwamba mikono hii imenipatia mahitaji yangu mwenyewe na mahitaji ya wale waliokuwa pamoja nami.
35 Acukba nangmi pi khüi u lü, Bawipa Jesuha ngthu nami sümnak am, ktha ngcekie nami jah kpüi vaia, anaküt ka binak am ka ning jah mdanki; amät Jesuh naw, ‘Yahnaka kthaka petmsawtnak üng jekyainak bawk ni” ti lü a pyen.
Katika mambo yote niliwapa mfano wa jinsi inavyopasa kuwasaidia wanyonge kwa kufanya kazi, na jinsi mnavyopaswa kukumbuka maneno ya Bwana Yesu, maneno ambayo yeye mwenyewe alisema: “Ni heri kutoa kuliko kupokea.”
36 Acunüng, acukba ngthu a pyen law päng üng, ami mkhuk jah sümpüi lü ktaiyükie.
Baada ya kusema namna hii, alipiga magoti akaomba pamoja nao.
37 Ami van kyap u lü, Pawluh cun kawi u lü aktäa mhnamkie.
Wote wakalia sana na kumwangukia Paulo shingoni na kumbusu.
38 Ani am ami hmuh be ti vaia cun a pyena kyase ami mlung thüikiea kyaki. Acunüng, mlawnga venak cäpa cit u lü ami tha.
Walihuzunika zaidi ya yote kwa sababu ya kile ambacho alikuwa amesema, kwamba kamwe hawatauona uso wake tena. Kisha wakamsindikiza merikebuni.