< Ngsäea Khut 1 >
1 Theophiluh aw: Ka yuk kcüka cauk cun Jesuh naw jah mtheimthang lü khut a pawh lawnak üng tünei lü,
Katika kitabu changu cha kwanza nilikuandikia, mpendwa Theofilo, kuhusu mambo yote Yesu aliyofanya na kufundisha tangu mwanzo,
2 khankhawa a kai be vei cäpa ania mawnglama kyaki. Ani cun naw khankhawa am a kai be ham üng, a xüa Ngsäe cun Ngmüimkhya Ngcima johit am lam jah msüm hütki.
hadi siku ile alipochukuliwa kwenda mbinguni, baada ya kuwapa maagizo kupitia kwa Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
3 Ani cun a thih käna mhnüp kphyükipa k'um üng Ngsäea veia khawvei ngdang be lü a xün bea mawng cun akcanga mdang hütki. Ngsäe naw ani cun hmukie, ani naw pi Pamhnama pea mawng jah mthehki.
Baada ya mateso yake, alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa siku arobaini baada ya kufufuka kwake aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa Mungu.
4 Acunüng, Ngsäe jah ngbämsaki naw, “Jerusalem käh cehta u lü, ka Paa khyütam, nami ngjaka ka pyen khawi cän ana k'äih ua.
Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, aliwapa amri hii, “Msitoke Yerusalemu, bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia nikisema habari zake.
5 Johan naw tui üng Baptican ning ja peki, khaw mhnüp am hjo lü Ngmüimkhya Ngcim üng Baptican nami kham khai” a ti.
Yohana aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
6 Acunüng, amimi cun, atänga ngkhäm law u lü, “Bawipa aw, atuha Isarele üng pe na jah pet khai aw?” ti u lü, ami kthäh.
Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja, wakamuuliza Yesu, “Bwana, je, huu ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?”
7 Acunüng, Jesuh naw, “Akcün ja ahnün cun ka Pa naw amäta themnak üng a cenga kyase, nangmi naw nami ksing vaia am kya ve.
Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
8 Acunsepi, Ngmüimkhya Ngcim nami khana a pha law üng, johit am nami be law khai. Acunüng, Jerusalem mlüh, Judah, Samarih ja khawmdeka adütnak cäpa, kei a saksia nami kya khai” a ti.
Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na Samaria, hadi miisho ya dunia.”
9 Acuna ngthu a pyen law päng üng, ami hmuh mahmaha khana kai be se, khawngmei naw am ami hmuh be thei vaia a thupin.
Baada ya kusema mambo haya, walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu mbinguni mbele ya macho yao na wingu likampokea wasimwone tena.
10 A hang kai be üng axüisawe naw khankhawa han bük kyetkie. Acunüng, khyang nghngih suisak abawk jah suisa ni lü, ami peia ngdüi lawki xawi.
Walipokuwa bado wakikaza macho yao kuelekea juu alipokuwa akienda zake Mbinguni, tazama ghafula, wanaume wawili waliovaa mavazi meupe wakasimama karibu nao,
11 Acu xawi naw, “Kalile khyange aw, ise khankhawa hang mang u lü, nami ngdüikie ni? Hina Jesuh hin nami vei üngkhyüh nami hmuha khana a kaia mäiha, law be khai” ani ti.
wakasema, “Enyi watu wa Galilaya, mbona mnasimama mkitazama juu angani? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda Mbinguni, atarudi tena jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake Mbinguni.”
12 Acunüng, Ngsäe cun Olip mcung ami ti üngka naw Jerusalem mlüha cit bekie. Acuna mcung cun Jerusalem mlüh üngkhyüh kilometer mat banga thuki.
Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.
13 Amimi cun mlüha pha be u lü, ami im kainaka k'uma lutkie: acune cun, Pita, Johan, Jakuk, Andru, Philip, Thomah, Batolame, Mahte, Alaphaha cakpa Jakuk, Sihmon Zelot ja Jakuka cakpa Judaha kyakie.
Walipowasili mjini Yerusalemu, walikwenda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Wale waliokuwepo walikuwa: Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomaso, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
14 Amimi cun, Jesuha nu Marih ja akce nghnumie ni, Jesuha a nae am, atänga ngkhäm u lü ktaiyü läkie.
Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwepo wanawake kadha, na Maria mama yake Yesu, pamoja na ndugu zake Yesu.
15 Acunüng, angawi tiktuh üng, jumkia khyange ami ngkhäa phya ja mku cun ngkhäm lawki he. Pita naw ami nglunga ngdüi law lü,
Katika siku hizo Petro akasimama katikati ya waumini (jumla yao wote walikuwa watu wapatao 120), akasema,
16 “Ka benae aw, Jesuh man khaie üng, lam ja msümkia, Judah Iskarota mawng Cangcim üng veki cun küm päng ve. Acuna Cangcim cun Ngmüimkhya Ngcim naw Davit üngkhyüha a pyena kyaki.
“Ndugu zangu, ilibidi Andiko litimie ambalo Roho Mtakatifu alitabiri kupitia kwa Daudi kumhusu Yuda aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.
17 Judah cun axüisaw mata kyase, khut mi binak üng pi ngpüi vaia a xüa kyaki.
Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
18 Ani cun am daw khaia ngui yah lü khaw hnün mat khyäiki, acunüng kya law lü ta a khawn pawk lü, a khyü avan lut law päihki.
(Basi Yuda alinunua shamba kwa zile fedha za uovu alizopata; akiwa huko shambani akaanguka, akapasuka na matumbo yote yakatoka nje.
19 Acuna mawng cun Jerusalema vekia khyang avan naw ngja u lü, acuna khaw hnün cun, amimäta ngthu am, ‘Akeldama ami sui, acun cun, ‘Thisen Hnün’ tinaka kyaki.
Kila mtu Yerusalemu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani Shamba la Damu).
20 “Salan caup üng, ‘A im xawngei lü, ak'uma u am ve se,’ ti lü ng’yuki, acuna thea ng’yuk betüki ta, ‘khyang kce naw ania hnün bi se’ a ti.
“Kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha Zaburi, “‘Mahali pake na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi humo,’ na, “‘Mtu mwingine aichukue nafasi yake ya uongozi.’
21 “Acunakyase, Johan naw Baptican a ja petnak üng tün lü, Jesuh khana a kai be cäpa, mi veia citcawn hü lü vekie üngka, Bawipa Jesuha a thawhnak be saksi na lü jah sang püi khaia khyang mat mi mcawn be khai” a ti.
Kwa hiyo inatubidi tumchague mtu mwingine miongoni mwa wale ambao wamekuwa pamoja nasi wakati wote Bwana Yesu alipoingia na kutoka katikati yenu,
kuanzia ubatizo wa Yohana mpaka siku aliyochukuliwa kutoka kwetu kwenda Mbinguni. Kwa kuwa mmoja wao inabidi awe shahidi pamoja nasi wa ufufuo wake.”
23 Acunüng, ani cun khyang nghngih üngka mat xü vaia mkyäpkie. Acun xawi ta Josep: Barsaba ami tia Jastas ja Matthias kyaki.
Wakapendekeza majina ya watu wawili: Yosefu, aitwaye Barsaba (ambaye pia alijulikana kama Yusto) na Mathiya.
24 Acunüng, amimi ktaiyü u lü, “Bawipa, khyanga mlung avan na ksingki,
Kisha wakaomba, wakasema, “Bwana, wewe waujua moyo wa kila mtu. Tuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
25 a venak vaia cit pängki Judaha hnün üng ngsä khut bi khaia hin xawi üngka u na xüki, jah mtheha” ami ti.
ili achukue nafasi ya huduma ya utume ambayo Yuda aliiacha ili aende mahali pake mwenyewe.”
26 Acunüng, cung kphawng u lü, Matthias naw cung yah se, ani cun ngsä xaleiate am atänga khutbi hnga khaia mcawnkie.
Kisha wakawapigia kura, nayo kura ikamwangukia Mathiya, naye akaongezwa kwenye wale mitume kumi na mmoja.