< 2 Korintuh 6 >
1 Pamhnama bäkhäknak nami yah cen amdanga am akyanak vaia, Pamhnam kami khüihpüikia keimi naw ning jah nghui na ve ung.
Na kwa hiyo, kufanya kazi pamoja, tunawasihi ninyi msiipokee neema ya Mungu pasipo matokeo.
2 Pamhnam naw, “Ka ning m’yeneinak ka ning mhmuhnak vaia kcün a pha law üng ning ngai pe veng; ka ning küikyanak vaia mhmüp a pha law üng, ning kpüi veng” a tia kba, atuh ni m’yeineinaka kcüna kya lü, atuh ni küikyanaka mhmüpa akyak ve.
Kwa kuwa anasema, “Wakati uliokubalika nilikuwa makini kwenu, na katika siku ya wokovu niliwasaidia.” Tazama, sasa ni wakati uliokubalika. Tazama, sasa ni siku ya wokovu.
3 Kami khutbi khyang naw am ami ksekhanak vaia, khyanga kyukngtängnak vaia pi i am bilo u nawng.
Hatuweki jiwe la kizuizi mbele ya mtu yeyote, kwa kuwa hatuitakii huduma yetu iletwe katika sifa mbaya.
4 Pamhnama khutbi biki hea kba, aktäa khuikhat khameinak, bawngkhanak la m'yenksenake jah khamei u lü, ahmäi üng khyanga hmuha daw khaia Pamhnama m'ya kami kyanak kami mdanki.
Badala yake, tunajihakiki wenyewe kwa matendo yetu yote, kwamba tu watumishi wa Mungu. Tu watumishi wake katika wingi wa ustahimilivu, mateso, dhiki, ugumu wa maisha,
5 Ami jah kpaih, thawng üng ami jah khyum, ami jah sip; khüikhawm ngang u lü am ihnak, buh am einak kami khameiki.
kupigwa, vifungo, ghasia, katika kufanya kazi kwa bidii, katika kukosa usingizi usiku, katika njaa,
6 Jawngengnak kcang la Ngmüimkhya ngcim üng kami ngcimcaihnak, kami ksingkhyapnak, kami duneinak la kami mlunga dawnak,
katika usafi, maarifa, uvumilivu, wema, katika Roho Mtakatifu, katika upendo halisi.
7 Ngthungtak kami pyennak, Pamhnama khyaihnak am Pamhnama m'ya kami kyanak kami mdanki. Kami mäta ngsungeinak vai la ngtuknak vaia ngdüngdainak cun likcima kba kami taki.
Tu watumishi wake katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu. Tuna silaha ya haki kwa ajili ya mkono wa kuuume na wa kushoto.
8 Jah ngak u lü ami jah hmuhmsit; jah ksena u lü ami jah mhlünmtai. Hleihlakia kba ami jah pawh, cunsepi ngthungtak kami pyenki,
Tunafanya kazi katika heshima na kudharauliwa, katika kashfa na sifa. Tunatuhumiwa kuwa wadanganyifu na wakati tu wakweli.
9 u naw am a jah ksinga mäiha ami jah awmpüi, cunsepi khyang naküt naw a jah ksing; kami thikia mäih lawki cunsepi xüng ung se jah hmu ve uki. Ami jah mkhuimkha cunsepi am ami jah hnim;
Tunafanya kazi kana kwamba hatujulikani na bado tunajulikana vizuri. Tunafanya kazi kama wanaokufa na -Tazama! - bado tunaishi. Tunafanya kazi kama tunaoadhibiwa kwa ajili ya matendo yetu lakini sio kama waliohukumiwa hata kufa.
10 ami jah mthüimsei cunsepi angläta kami jekyaki; m'yenksekia mäiha kami ngdangki cunsepi khyang khawjah kami bawimang saki; i am kami takia mäiha kami ngdangki cunsepi ahmäi kami da na kcangki.
Tunafanya kazi kama wenye masikitiko, lakini siku zote tuna furaha. Tunafanya kazi kama maskini, lakini tunatajirisha wengi. Tunafanya kazi kana kwamba hatupati kitu bali kama tunaomiliki kila kitu.
11 Ka püi Korintuh khyang he aw! Angsinga nami veia ngthu pyen u lü kami mlung aktäa ning jah mhmawng pe ung se; nangmi naw ni nami mlung am nami mhmawng ve.
Tumezungumza ukweli wote kwenu, Wakorintho, na mioyo yetu imefunguka kwa upana.
12 Kami mlung mthin nami hama am khai u nawng, nangmi naw ni nami mlung mthin kami hama nami khai ve.
mioyo yenu haizuiliwi na sisi, bali mnazuiliwa na hisia zenu wenyewe.
13 Acunakyase, nami khana kami awma kba kami khana nami mlung nami mhmawng hnga vaia ca hea kba ning jah mtheih veng.
Sasa katika kubadilishana kwa haki - ninaongea kama kwa watoto - fungueni mioyo yenu kwa upana.
14 Am jummeiki he am atänga am nami khüihkhawm hmaih vai, ikba akcang la am akcang ngkhawt thei khai xawi ni? Ikba nghmüp la akvai awm hmaih khai xawi ni?
Msifungamanishwe pamoja na wasioamini. Kwa kuwa kuna uhusiano gani kati ya haki na uasi? Na kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
15 Ihawkba Khritaw la Khawyai ngaisim hmaih thei khai xawi ni? Jummeiki naw am jummeiki cun i yümei püi thei khai ni?
Ni makubaliano gani Kristo anaweza kuwa nayo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini?
16 Pamhnama Temple la juktuh he pi ihawkba nglawi khai xawi ni? Mimi cun xüngki Pamhnama Temple mi kyaki; “Ka im ka khyang he üng pyang lü ami ksunga ka awm khai; kei ami pamhnama kya ni se, acunüng amimi pi ka khyanga kya khai he,” tia, Pamhnam naw a pyena kba.
Na kuna makubaliano gani yapo kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi ni hekalu la Mungu aliye hai, kama ambavyo Mungu alisema: “Nitakaa kati yao na kutembea kati yao. Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
17 Acunakyase, “Jah yawk lü nami jah ngtai püi vai. Am ngcimcaihki pi ä hnet u, acunüng ka ning jah dokhamei khai”
Kwa hiyo, “Tokeni kati yao, na mkatengwe nao,” asema Bwana. “Msiguse kitu kichafu, na nitawakaribisha ninyi.
18 “Kei nami Pa kya ni se, nangmi pi ka capa he la ka canu he nami kya khai” tia ahmäi khyaihkia Pamhnam naw a ti.
Nitakuwa Baba kwenu, nanyi mtakuwa wanangu wa kiume na wa kike,” asema Bwana Mwenyezi.