< 1 Thesalonikah 3 >
1 Acunüng, am khamei khawh ti u ngü se, Aten mlüha mät däk ve hüt vaia kami ngtünkie ni.
Kwa hiyo, tulipo kuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tulifikiri kuwa ilikuwa vema kubaki kule Athene peke yetu.
2 Pamhnama phäh keimi am atänga Khritawa mawng Thangkdaw sangki kami na Timoti kami tüih law. Ani naw ngjuktha ning jah pe lü nami jumeinak ning jah kuei se,
Tulimtuma Timotheo, ndugu yetu na mtumishi wa Mungu katika injili ya Kristo, kuwaimalisha na kuwafariji kuhusiana na imani yenu.
3 acunüng, ahina mkhuimkhanakea phäh u pi hnu da käh nghlat be khaia, acuna ngkhaw mkhuimkhanake cun mi phäha Pamhnama hlüei ni ti namimät naw nami ksingki.
Tulifanya haya ili kusudi asiwepo yeyote wa kuteteleka kutokana na mateso haya, kwa kuwa wenyewe mnajua kwamba tumekwisha teuliwa kwa ajili ya hili.
4 Nami hlawnga kami ve üng, khuikhanak mi khamei khai ti lü kami ning jah mtheh. Acukba kunga pha lawki, acun cun nami ksingki.
Kwa kweli, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulitangulia kuwaeleza ya kuwa tulikuwa karibu kupata mateso, na hayo yalitokea kama mjuavyo.
5 Khawyam naw ning jah hlawhlep se, kami khüikhawmnak alapa a thawn vai naw na ähei se, am khamei khawh ti lü Timoti hin nami jumeinak ning jah ksing khaia ka tüih law ni.
Kwa sababu hii, nilipo kuwa siwezi kuvumilia tena, nilituma ilikusudi nipate kujua juu ya imani yenu. Huenda mjaribu alikuwa angalau amewajaribu, na kazi yetu ikawa ni bure.
6 Atuh ta Timoti nami vei üngka naw law be ve. Nami jumeinak ja nami mhläkphyanaka thang jah mtheh lawki. Keimi naw aktäa kami ning jah hmuh hlüa kba aktäa nami jah hmuh hlüa mawng pi jah mtheh lawki.
Lakini Timotheo alikuja kwetu kutokea kwenu na akatuletea habari njema juu ya imani na upendo wenu. Alitwambia ya kuwa mnayo kumbukumbu nzuri juu yetu, na kuwa mnatamani kutuona kama ambavyo nasi twatamani kuwaona ninyi.
7 Acunakyase, benae aw, mpyenkse lü khuikhanak mjüküm kami khamei kyaw üngpi, nami jumeinak naw jah doeisak ve.
Kwa sababu hii, ndugu tulifarijika sana na ninyi kwa sababu ya imani yenu, katika taabu na mateso yetu yote.
8 Bawipa üng nami ngkhängceka kcün üng keimi naw xünnak yah ve ung.
Kwa sasa tunaishi, kama mkisimama imara kwa Bwana,
9 Atuh ta, nangmia phäh mi Pamhnam je na ve ung. Nangmi üng jekyainak kami taka phäh, a hmai maa jenak mtheh ve ung.
Kwani ni shukurani zipi tumpe Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha yote tuliyonayo mbele za Mungu juu yenu?
10 Akhyang puma mi nghmuh lü nami jumeinak üng hlü hamki akümcei law vaia, amhnüp amthana mlung kcang am kami ktaiyüki.
Tunaomba sana usiku na mchana ili tuweze kuziona nyuso zenu na kuwaongezea kinachopungua katika imani yenu.
11 Mi Pamhnam ja mi Pa amät, ja mi Bawipa Jesuh naw nami veia kami lawnak thei vaia lam pyang se.
Mungu wetu na Baba mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atuongoze njia yetu tufike kwenu.
12 Keimia mhläkphyanak a dämduha kba, mat ja mat nami mhläkphyanak ja khyang naküt nami mhläkphyanak hin dämduh law bawkbawk khaia Bawipa naw pyang se.
Na Bwana awafanye muongezeke na kuzidi katika pendo, mkipendana na kuwapenda watu wote, kama tunavyowafanyia ninyi.
13 Acukba ani naw ning jah kyansaisak khai. A khankhawngsäe am atänga mi Bawipa Jesuh a kyum law be üng, mi Pamhnam ja mi Paa maa ngcingcaihnak ja kümbenak am nami ve khai.
Na afanye hivi ili kuiimarisha mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu na Baba yetu katika ujio wa Bwana Yesu pamoja na watakatifu wake wote.