< 1 Korintuh 1 >
1 Pamhnama hlüeia khü Jesuh Khritawa ngsä, kei Pawluh jah ka na Soten naw,
Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
2 Korintuh mlüha vekia Pamhnama sangcime, Khritaw Jesuh üng khyang ngcima kya khaie a jah khüe, hnün naküt üng mi Bawipa Jesuh Khritaw mküimtokie naküta veia;
tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
3 Mi Pa, Pamhnam jah Bawipa Jesuh Khritawa veia ka bäkhäknak ja dimdeihnak nami khana ve se.
Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
4 Khritaw Jesuh üngkhyüh Pamhnama bäkhäknak aning jah peta phäha Pamhnama veia aläa jenak ka mthehki.
Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
5 Khritaw üng yümmat lü ngthu pyennak jah ksingnak üng, amät üng bawimang u lü, nami vea phäha kyaki.
Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
6 Acukba Khritaw a ngthu ka ning jah ksingsak nangmi üng khäng lü veki cän ni;
kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
7 A dawkyanak yah lü, mi Bawipa Jesuh Khritawa a ngdannak law vai k'äihei ua.
hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
8 Mi Bawipa Jesuh Khritaw a Khaw mhnüp a pha law üng, apäihnak veia ning jah khängsak lü nami mkhye am ve.
Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 Mi Bawipa kyakia, a Capa Jesuh Khritaw am yümat khaia jah khüikia Pamhnam cun ümnak vai ni.
Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
10 Ka püie aw, mi Bawipa Jesuh Khritawa ana sumei lü avan ning jah nghüinak ta nami pyen üng ä ti yüm lü nami ksunga ngtainak am ve. Cungaihnak ja ti tängnak üng yüm mat ua.
Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
11 Ka püie aw, nami ngcungkaih veki tia mawng cun Kalokuha khui im kyawng lawng naw na mthehkie ni.
Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
12 Ahinni ka pyen cun, khyang naküt naw, “Kei Pawluha hnu kläk ni” “Kei Apawluha hnu kläk ni” “Kei Kiphaha hnu kläk ni” “Kei Khritawa hnu kläk ni” nami tiki.
Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, “Mimi ni wa Paulo,” mwingine: “Mimi ni wa Apolo,” mwingine: “Mimi ni wa Kefa,” na mwingine: “Mimi ni wa Kristo,”.
13 Khritaw cun ngkhawipaki aw? Pawluh nami phäha kutlamktung üng thiki aw? Am ani üng, Pawluha ngming am baptican nami ngkhamki aw?
Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
14 Pamhnam je na veng isetiakyaküng Kripuh ja Kajas däk ni baptican ka jah pet, nangmi üng u pi baptican am pe veng.
Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
15 Am aniüng, khyang naw, keia ngming am baptican nami ngkhamkia ngai khaie ni.
Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
16 Stephena kyawnglawng ta baptican ka jah ngkhamsakki; acuna thea khyang kce baptican ka ja khamsak u am ksing veng.
(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
17 Khritaw naw baptican ka jah khamsak khaia am na tüih law. Thangkdaw pyen üng ksingkhyapnak am sumei hin Khritawa kutlamtunga johit käh a khyüh vaia ni.
Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
18 Kutlamtunga mawng cun khyükie phäha ta amdang ni; mimi küikyannak yakiea phäha ta Pamhnama khyaihnak ni.
Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
19 “Khyang kthema ksingkhyapnak mkhyüh lü, ksinghmatnak pi ka kpyak khai” tia cangcim naw pyenki.
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
20 Khyang kthem cun hawa ni? Thum ksingki cun hawa ni? Hina khawmdek khana ngcungkaih khyaihki cun hawa ni? Pamhnam naw khawmdeka kthemnak cun angnak ni tia, mdan pängki ni. (aiōn )
Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu. (aiōn )
21 Khawmdek khyanga ksingnak üng Pamhnam cun ksing lü am ng’yah. Ak’anga ngthukhyü ami ti cun pyen lü jum ti cun Pamhnam naw küikyan ve.
Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
22 Judahe naw, müncannak kthäh u lü Krike naw kthemnak suikie,
Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
23 keimie naw ta Khritaw kutlamtung üng taiha mawng kami pyenki, acun cun Judahea phäha kyukngtängnak kya lü, Khyangmjü kceea phäha angnaka kyaki.
lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
24 Acunsepi, Judahea pi kyase, Krikea pi kyase, Pamhnama khüea phäha ta Khritawa ngthu cun Pamhnama khyaihnak ja Pamhnama ksingnaka kyaki ni.
lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
25 Pamhnama angnak cun nghngicima ksingnaka kthaka kyäp bawki, Pamhnama am kyannak mäi cän pi nghngicima kyannaka kthaka kyäp bawki ni.
Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
26 Ka püie aw, a ning jah khünak cän ngai süm ua, pumsa lama khyang kthem khawhah, khyang kyan khawhah, khyang kdaw khawhah am jah khü ve.
Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
27 Acunsepi, Pamhnam naw khyang ktheme a jah hmaisetsak vaia, khawmdek üng angkie jah khüki, ktha mahkie a jah hmaisetsak vaia, khawmdek üng ktha ngcekie ja khüki.
Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
28 Acunüng, kyäpkie ia am ngtäh khaiea khawmdek üng aksee jah hmuhmsitkie, am ngtähkie Pamhnam naw jah khüki.
Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29 Acunakyase, Pamhnama hmaia u am awcah thei.
Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30 Nangmi ta, amäta phäha, Khritaw Jesuh üng nami vekie ni, pamhnam naw Khritaw cun mi hama themnaka a pawh ni, ani am mimi cun Pamhnam üng ngsungpyunkia a jah pawh, acuna phäh Pamhnama khyang ngcima mi kya lü mi lätki.
Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31 Acunakyase, “Awhcahki naküt naw Bawipa awhcah na se” Cangcim naw tiki.
Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana.”