< 1 Korintuh 6 >
1 Jumeiki mat ja mat nami ngvawk üng, khyang ngcime veia am phapüi u lü, am jumeikiea veia nami phapüi khai aw?
Mmoja wenu anapokuwa na tatizo na mwenzake, anathubutu kwenda kwa mahakama ya wasio haki kuliko mbele ya waumini?
2 Pamhnama Khyange naw khawmdek ngthumkhyah khaie tia am nami ksingkie aw? Acukba anita khawmdek ngthumkya khaiea naw apimsüm ta am nami cijang thei khai aw?
Hamjui kuwa waumini watauhukumu ulimwengu? Na kama mtauhukumu ulimwengu, hamuwezi kuamua mambo yasiyo muhimu?
3 Khankhawngsä he pi ngthu jah mkhya pet vai am nami ksingkie aw? Acukba anita tuha kcün saka vekie cun ngthu am nami mkhya khai aw.
Hamjui kuwa tutawahukumu malaika? Kwa kiasi gani zaidi, tunaweza kuamua mambo ya maisha haya?
4 Acubang a ve law üng sangcim üngka am kyakiea veia na cehpüi lü ngthu na mkhyahsak khai aw?
Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya, kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka mbele ya wasiosimama kanisani?
5 Ngkehkhyakei veng! jumeiki mat ja mata lei mkhya khawh khai akthem matca pi nami ksunga am veki aw?
Nasema haya kwa aibu yenu. Hakuna mwenye busara miongoni mwenu wa kutosha kuweka mambo sawa kati ya ndugu na ndugu?
6 Acukba am kya lü jumeiki mat naw jumeiki mat cun am jumeikia veia a lei a mkhya pet vaia cehpüiki.
Lakini kama ilivyo sasa, mwamini mmoja huenda mahakamani dhidi ya muumini mwingine, na mashitaka hayo huwekwa mbele ya hakimu asiyeamini!
7 Jumeiki mat ja mat nami ngkhyakei hin am nami dawnak mdan ve. Aning jah hmakatsak, aning jah huhei cun am daw bawk khai aw?
Ukweli ni kwamba kuna matatizo katikati ya Wakristo yaliyoleta tayari usumbufu kwenu. Kwanini msiteseke kwa mabaya? Kwanini mnakubali kudanganywa?
8 Acukba am kya lü nami mät naw mat ja mat hmakatsak lü jumeiki akceea ka pi nami jah huteiki.
Lakini mmetenda uovu na kudanganya wengine, na hao ni kaka na dada zenu!
9 Am dawki he Pamhnama khyawngpe am pha u ti cun am nami ksingki aw? Nami mät naw nami mät käh mawgsak u; juktuh hjawkhahkie, khyanga khyu vepüikie, hüipawmkie, juktuh hjawkhahkie, kpami ja kpami ngkhyunglakie,
Hamjui kwamba wasio haki hawataurithi ufalme wa Mungu? Msiamini uongo. Waasherati, waabudu sanamu, wazinzi, wafiraji, walawiti,
10 mpyukie, hleikie, ju awki he, khyang ngvawk püikie, hleikie naküt cun Pamhnama khyawngpe am pha u.
wevi, wachoyo, walevi, wanyang'anyi, watukanaji-hakuna miongoni mwao atakayeurithi ufalme wa Mungu.
11 Nangmi avange pi acukba nami vekie; acunsepi, Bawipa Jesuh Khritawa ngming ja Pamhnama Ngmüimkhya üng ngthiei u lü nami ngcimcaih pängkie.
Na hao walikuwa baadhi yao ni ninyi. Lakini mmekwisha kutakaswa, lakini mmekwisha kuoshwa, lakini mmekwisha kutengwa kwa Mungu, lakini mmefanywa haki mbele za Mungu katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.
12 “Avan ka bi theiki” ti lü mat naw pyen khai, acunsepi, avan bilawh am daw; avan bi vai ka phäha kyaki ti lü ka pyen khai, acunsepi, kei cun acuna mpyaa am kya veng.
“Vitu vyote ni halali kwangu”, lakini si kila kitu kina faida. “Vitu vyote ni halali kwangu,” lakini sitatawaliwa na kimoja cha hivyo.
13 Eiawk cun khawna phäha kya lü, khawn pi eiawka phäha kyaki; acunsepi, Pamhnam naw ani nghngih ja mkhyüh khai. Acunüng pumsa cun hüipawmnak vaia am kya lü Bawipa mhlünmtainak vai kyase pumsa hlüki cun Bawipa naw ja peki.
“Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula,” lakini Mungu atavitowesha vyote. Mwili haujaumbwa kwa ajili ya ukahaba, badala yake, mwili ni kwa ajili ya Bwana, na Bwana atauhudumia mwili.
14 Pamhnam naw Bawipa thihnak üngkhyüh mtho beki, mimi pi a johit am jah mtho be khai.
Mungu alimfufua Bwana na sisi pia atatufufua kwa nguvu zake.
15 Nami pumsae cun Khritawa ngbana kyakie tia nami ksingki. Khritawa mtisa cun lo lü am nghnumi ksea pumsaa ka pawh khai aw? Am kya!
Hamjui kwamba miili yenu ina muunganiko na Kristo? Mwawezaje kuvitoa viungo vya Kristo na kwenda kuviunganisha na kahaba? Haiwezekani!
16 Nghnumi kse ihpüiki cun pumsa üng nghnumi am mata kyaki ti cun am nami ksingkie aw?” Nghngih cun mata kya khai” ti lü Cangcim naw pyenki.
Hamjui kwamba anayeungana na kahaba amekuwa mwili mmoja naye? Kama andiko lisemavyo, “Wawili watakuwa mwili mmoja.”
17 Bawipa üng ngpüilawki cun Ngmüimkhya lam üng Bawipa am mata kya khai.
Lakini anayeungana na Bwana anakuwa roho moja pamoja naye.
18 Hüipawmnak cän jeih u. Nghngicima mkhyekatnak hin pumsa kpung da kyaki; hüipawmnaka mkhyekatnak cun mäta pumsa mkhyekatnaka kyaki.
Ikimbieni zinaa! “Kila dhambi aifanyayo mtu ni nje na mwili wake. Lakini zinaa, mtu hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.
19 Acunüng, nami pumsa cun Pamhnama ning jah pet, Ngmüimkhya ngcima Temple tia am nami ksingki aw? Nami mät naw nami mät am kana u lü Pamhnama a ning jah ka ni;
Hamjui kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, akaaye ndani yenu, yule ambaye mlipewa kutoka kwa Mungu? Hamjui kwamba si ninyi wenyewe?
20 A phu pe lü ning jah khyäih ni; acunakyase, nami pumsa Pamhnam mhlünmtainak vaia summang ua.
Kwamba mlinunuliwa kwa thamani. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu kwa miili yenu.