< Masalimo 136 >

1 Yamikani Yehova chifukwa ndi wabwino.
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Yamikani Mulungu wa milungu.
Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
3 Yamikani Ambuye wa ambuye,
Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
4 Iye yekhayo amene amachita zodabwitsa zazikulu,
Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
5 Amene mwachidziwitso chake anapanga mayiko akumwamba,
Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
6 Amene anayala dziko lapansi pamwamba pa madzi,
Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
7 Amene anapanga miyuni ikuluikulu,
Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
8 Dzuwa lilamulire usana,
Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
9 Mwezi ndi nyenyezi zilamulire usiku,
Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
10 Amene anakantha ana woyamba kubadwa a Igupto,
Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
11 Natulutsa Israeli pakati pawo,
Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
12 Ndi dzanja lamphamvu ndi mkono wotambasuka,
Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
13 Amene anagawa Nyanja Yofiira pakati,
Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
14 Nadutsitsa Israeli pakati pa nyanjayo,
Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
15 Koma anakokolola Farao ndi ankhondo ake mʼNyanja Yofiira,
Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
16 Amene anatsogolera anthu ake mʼchipululu
Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
17 Amene anakantha mafumu akuluakulu,
Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
18 Napha mafumu amphamvu,
Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
19 Siloni mfumu ya Aamori,
Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
20 Ogi mfumu ya Basani,
Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
21 Napereka dziko lawo ngati cholowa,
Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
22 Cholowa cha mtumiki wake Israeli;
Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
23 Amene anatikumbukira ife anthu opeputsidwa,
Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
24 Amene anatimasula kwa adani athu,
Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
25 Amene amapereka chakudya kwa cholengedwa chilichonse,
Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
26 Yamikani Mulungu wakumwamba,
Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.

< Masalimo 136 >