< Masalimo 124 >

1 Salimo la Davide. Nyimbo yoyimba pokwera ku Yerusalemu. Akanapanda kukhala mbali yathu Yehova, anene tsono Israeli,
“Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
2 akanapanda kukhala mbali yathu Yehova, potiwukira anthuwo,
“Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
3 iwo atatipsera mtima, akanatimeza amoyo;
basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4 chigumula chikanatimiza, mtsinje ukanatikokolola,
Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5 madzi a mkokomo akanatikokolola.
Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
6 Atamandike Yehova, amene sanalole kuti tikhale chakudya cha mano awo.
Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
7 Moyo wathu wawonjoka ngati mbalame yokodwa mu msampha wa mlenje; msampha wathyoka, ndipo ife tapulumuka.
Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
8 Thandizo lathu lili mʼdzina la Yehova wolenga kumwamba ndi dziko lapansi.
Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.

< Masalimo 124 >