< Genesis 5 >

1 Ndondomeko ya mibado ya Adamu ndi iyi: Pamene Mulungu analenga munthu, anamulenga mʼchifaniziro cha Mulungu.
Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
2 Iye analenga mwamuna ndi mkazi. Anawadalitsa ndipo anawatcha “Munthu.”
Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
3 Pamene Adamu anali ndi zaka 130, anabereka mwana wamwamuna wofanana naye ndipo anamutcha Seti.
Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
4 Atabadwa Seti, Adamu anakhala ndi moyo zaka zina 800 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
5 Zaka zonse za Adamu zinali 930 ndipo anamwalira.
Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
6 Pamene Seti anali ndi zaka 105, anabereka Enosi.
Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 Atabadwa Enosi, Seti anakhala ndi moyo zaka zina 807 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
8 Zaka zonse za Seti zinali 912 ndipo anamwalira.
Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
9 Pamene Enosi anali ndi zaka 90, anabereka Kenani.
Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 Atabadwa Kenani, Enosi anakhala ndi moyo zaka zina 815 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
11 Zaka zonse za Enosi pamodzi zinali 905 ndipo anamwalira.
Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
12 Pamene Kenani anali ndi zaka 70, anabereka Mahalaleli.
Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 Atabadwa Mahalaleli, Kenani anakhala ndi moyo zaka zina 840 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
14 Zaka zonse za Kenani zinali 910, ndipo anamwalira.
Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
15 Pamene Mahalaleli anali ndi zaka 65, anabereka Yaredi.
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
16 Atabadwa Yaredi, Mahalaleli anakhala ndi moyo zaka zina 830 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
17 Zaka zonse za Mahalaleli zinali 895 ndipo anamwalira.
Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
18 Pamene Yaredi anali ndi zaka 162, anabereka Enoki.
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
19 Atabadwa Enoki, Yaredi anakhala ndi moyo zaka zina 800 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
20 Zaka zonse za Yaredi zinali 962 ndipo anamwalira.
Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
21 Pamene Enoki anali ndi zaka 65, anabereka Metusela.
Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
22 Atabadwa Metusela, Enoki anayenda ndi Mulungu zaka 300 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
23 Zaka zonse za Enoki zinali 365.
Henoko aliishi miaka 365.
24 Enoki anayenda ndi Mulungu; ndipo iye sanaonekenso chifukwa Mulungu anamutenga.
Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
25 Pamene Metusela anali ndi zaka 187, anabereka Lameki.
Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
26 Ndipo atabadwa Lameki, Metusela anakhala ndi moyo zaka zina 782 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
27 Zaka zonse za Metusela zinali 969, ndipo anamwalira.
Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
28 Pamene Lameki anali ndi zaka 182, anabereka mwana wamwamuna.
Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 Ndipo anamutcha Nowa ndipo anati, “Iyeyu adzatipumulitsa ku ntchito zathu zolemetsazi, zolima nthaka imene Yehova anayitemberera.”
Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
30 Atabadwa Nowa, Lameki anakhala zaka zina 595 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
31 Zaka zonse za Lameki zinali 777, ndipo kenaka anamwalira.
Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
32 Pamene Nowa anali ndi zaka 500, anabereka Semu, Hamu ndi Yafeti.
Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.

< Genesis 5 >