< Genesis 5 >
1 Ndondomeko ya mibado ya Adamu ndi iyi: Pamene Mulungu analenga munthu, anamulenga mʼchifaniziro cha Mulungu.
Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu. Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.
2 Iye analenga mwamuna ndi mkazi. Anawadalitsa ndipo anawatcha “Munthu.”
Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”
3 Pamene Adamu anali ndi zaka 130, anabereka mwana wamwamuna wofanana naye ndipo anamutcha Seti.
Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.
4 Atabadwa Seti, Adamu anakhala ndi moyo zaka zina 800 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
5 Zaka zonse za Adamu zinali 930 ndipo anamwalira.
Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
6 Pamene Seti anali ndi zaka 105, anabereka Enosi.
Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 Atabadwa Enosi, Seti anakhala ndi moyo zaka zina 807 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
8 Zaka zonse za Seti zinali 912 ndipo anamwalira.
Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
9 Pamene Enosi anali ndi zaka 90, anabereka Kenani.
Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 Atabadwa Kenani, Enosi anakhala ndi moyo zaka zina 815 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
11 Zaka zonse za Enosi pamodzi zinali 905 ndipo anamwalira.
Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
12 Pamene Kenani anali ndi zaka 70, anabereka Mahalaleli.
Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 Atabadwa Mahalaleli, Kenani anakhala ndi moyo zaka zina 840 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
14 Zaka zonse za Kenani zinali 910, ndipo anamwalira.
Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
15 Pamene Mahalaleli anali ndi zaka 65, anabereka Yaredi.
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
16 Atabadwa Yaredi, Mahalaleli anakhala ndi moyo zaka zina 830 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
17 Zaka zonse za Mahalaleli zinali 895 ndipo anamwalira.
Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
18 Pamene Yaredi anali ndi zaka 162, anabereka Enoki.
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
19 Atabadwa Enoki, Yaredi anakhala ndi moyo zaka zina 800 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
20 Zaka zonse za Yaredi zinali 962 ndipo anamwalira.
Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
21 Pamene Enoki anali ndi zaka 65, anabereka Metusela.
Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
22 Atabadwa Metusela, Enoki anayenda ndi Mulungu zaka 300 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
23 Zaka zonse za Enoki zinali 365.
Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
24 Enoki anayenda ndi Mulungu; ndipo iye sanaonekenso chifukwa Mulungu anamutenga.
Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
25 Pamene Metusela anali ndi zaka 187, anabereka Lameki.
Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
26 Ndipo atabadwa Lameki, Metusela anakhala ndi moyo zaka zina 782 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
27 Zaka zonse za Metusela zinali 969, ndipo anamwalira.
Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
28 Pamene Lameki anali ndi zaka 182, anabereka mwana wamwamuna.
Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 Ndipo anamutcha Nowa ndipo anati, “Iyeyu adzatipumulitsa ku ntchito zathu zolemetsazi, zolima nthaka imene Yehova anayitemberera.”
Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
30 Atabadwa Nowa, Lameki anakhala zaka zina 595 ndipo anabereka ana ena aamuna ndi aakazi.
Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
31 Zaka zonse za Lameki zinali 777, ndipo kenaka anamwalira.
Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
32 Pamene Nowa anali ndi zaka 500, anabereka Semu, Hamu ndi Yafeti.
Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.