< 1 Mbiri 24 >

1 Magulu a ana a Aaroni anali awa: Ana a Aaroni anali Nadabu, Abihu, Eliezara ndi Itamara.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Koma Nadabu ndi Abihu anamwalira abambo awo asanamwalire, ndipo analibe ana aamuna. Kotero Eliezara ndi Itamara ankatumikira monga ansembe.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Mothandizidwa ndi Zadoki chidzukulu cha Eliezara ndi Ahimeleki chidzukulu cha Itamara, Davide anawagawa mʼmagulu molingana ndi ntchito yawo yotumikira.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Atsogoleri ambiri anapezeka pakati pa zidzukulu za Eliezara kusiyana ndi zidzukulu za Itamara ndipo anagawidwa moyenera: atsogoleri 16 a mabanja ochokera kwa Eliezara, ndipo atsogoleri asanu ndi atatu a mabanja ochokera kwa zidzukulu za Itamara.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Anawagawa mosakondera pochita maere, pakuti iwo anali akuluakulu a ku malo opatulika ndi akuluakulu a Mulungu pakati pa zidzukulu za Eliezara ndi Itamara.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Mlembi Semaya mwana wa Netaneli, Mlevi, analemba mayina awo pamaso pa mfumu ndi akuluakulu ake: wansembe Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiatara ndi atsogoleri a mabanja a ansembe ndiponso Alevi, banja limodzi kuchokera kwa Eliezara kenaka limodzi kuchokera kwa Itamara.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Maere woyamba anagwera Yehoyaribu, achiwiri anagwera Yedaya,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 achitatu anagwera Harimu, achinayi anagwera Seorimu,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 achisanu anagwera Malikiya, achisanu ndi chimodzi anagwera Miyamini,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 achisanu ndi chiwiri anagwera Hakozi, achisanu ndi chitatu anagwera Abiya,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 achisanu ndi chinayi anagwera Yesuwa, a khumi anagwera Sekaniya,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 a 11 anagwera Eliyasibu, a 12 anagwera Yakimu,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 a 13 anagwera Hupa, a 14 anagwera Yesebeabu,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 a 15 anagwera Biliga, a 16 anagwera Imeri,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 a 17 anagwera Heziri, a 18 anagwera Hapizezi,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 a 19 anagwera Petahiya, a 20 anagwera Ezekieli,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 a 21 anagwera Yakini, a 22 anagwera Gamuli,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 a 23 anagwera Delaya, ndipo a 24 anagwera Maaziya.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Umu ndi mmene anasankhidwira kuti azigwira ntchito yotumikira pamene alowa mʼNyumba ya Yehova, motsatira dongosolo limene anapatsidwa ndi kholo lawo Aaroni, monga momwe Yehova Mulungu wa Israeli anamulamulira.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Za zidzukulu zina zonse za Levi: Kuchokera kwa ana a Amramu: Subaeli; kuchokera kwa ana a Subaeli: Yehideya.
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Kwa Rehabiya, kuchokera kwa ana ake: Mtsogoleri anali Isiya.
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 Kuchokera ku banja la Izihari: Selomoti; kuchokera kwa ana a Selomoti: Yahati.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Ana a Hebroni: woyamba anali Yeriya, wachiwiri anali Amariya, wachitatu anali Yahazieli ndipo Yekameamu anali wachinayi.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Mwana wa Uzieli: Mika; kuchokera kwa ana a Mika: Samiri.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Mʼbale wa Mika: Isiya; kuchokera kwa ana a Isiya: Zekariya.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Ana a Merari: Mahili ndi Musi. Mwana wa Yaaziya: Beno.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Ana a Merari: Kuchokera kwa Yaaziya: Beno, Sohamu, Zakuri ndi Ibiri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Kuchokera kwa Mahili: Eliezara, amene analibe ana aamuna.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 Kuchokera kwa Kisi: Mwana wa Kisi: Yerahimeeli.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Ndipo ana a Musi: Mahili, Ederi ndi Yerimoti. Awa anali Alevi potsata mabanja a makolo awo.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Iwonso anachita maere, monga anachitira abale awo, zidzukulu za Aaroni, pamaso pa mfumu Davide, ndi Zadoki ndi Ahimeleki, atsogoleri a mabanja a ansembe ndi Alevi. Mabanja a mwana wamkulu anachita nawo mofanana ndi a mwana wamngʼono.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.

< 1 Mbiri 24 >