< 1 Mbiri 1 >

1 Adamu, Seti, Enosi
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoki, Metusela, Lameki, Nowa.
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Ana a Nowa, Semu, Hamu ndi Yafeti.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Ana aamuna a Yafeti anali: Gomeri, Magogi, Madai, Yavani, Tubala, Mesaki ndi Tirasi.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Ana aamuna a Gomeri anali: Asikenazi, Rifati ndi Togarima
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Ana aamuna a Yavani anali: Elisa, Tarisisi, Kitimu ndi Rodanimu.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Ana aamuna a Hamu anali: Kusi, Miziraimu, Puti ndi Kanaani
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Ana aamuna a Kusi anali: Seba, Havila, Sabita, Raama ndi Sabiteka Ana aamuna a Raama anali: Seba ndi Dedani.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Kusi anali abambo a Nimurodi amene anali wankhondo wamphamvu kwambiri pa dziko lapansi.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Igupto ndiye kholo la Aludi, Aanami, Alehabu, Anafutu,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Apaturusi, Akasilu (kumene kunachokera Afilisti) ndi Akafitori.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Kanaani anabereka mwana wake wachisamba Sidoni, ndipo anaberekanso Ahiti,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 Ayebusi, Aamori, Agirigasi
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Ahivi, Aariki, Asini
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Aaravadi, Azemari ndi Ahamati.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Ana aamuna a Semu anali: Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi ndi Aramu. Ana aamuna a Aramu anali: Uzi, Huri, Geteri ndi Mesaki.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Aripakisadi anabereka Sela ndipo Selayo anabereka Eberi:
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Eberi anabereka ana aamuna awiri: wina anamutcha Pelegi, chifukwa pa nthawiyo anthu a pa dziko lapansi anagawikana. Dzina la mʼbale wake linali Yokitani.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Yokitani anabereka Alimodadi, Selefi, Hazari-Maveti, Yera,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikila
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofiri, Havila ndi Yobabu. Onsewa anali ana aamuna a Yokitani.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Semu, Aripakisadi, Sela
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eberi, Pelegi, Reu
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera
Serugi, Nahori, Tera,
27 ndi Abramu (amene ndi Abrahamu).
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Ana a Abrahamu ndi awa: Isake ndi Ismaeli.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Zidzukulu zake zinali izi: Nebayoti ndiye anali mwana woyamba wa Ismaeli, kenaka Kedara, Adibeeli, Mibisamu,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Misima, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Yeturi, Nafisi ndi Kedema. Awa anali ana a Ismaeli.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Ana a Ketura mzikazi wa Abrahamu anali awa: Zimurani, Yokisani, Medani, Midiyani, Isibaki ndi Suwa. Ana a Yokisani ndi awa: Seba ndi Dedani
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Ana aamuna a Midiyani anali, Efai, Eferi, Hanoki, Abida ndi Elida. Onsewa anali zidzukulu za Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Abrahamu anabereka Isake. Ana a Isake anali awa: Esau ndi Israeli.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Ana aamuna a Esau anali awa: Elifazi, Reueli, Yeusi, Yolamu ndi Kora.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Ana a Elifazi anali awa: Temani, Omari, Zefo, Gatamu ndi Kenazi: Amene anabereka ndi Timna: Amaleki.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Ana a Reueli anali awa: Nahati, Zera, Sama ndi Miza.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Ana a Seiri anali awa: Lotani, Sobala, Zibeoni, Ana, Disoni, Ezeri ndi Disani.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Ana aamuna a Lotani anali awa: Hori ndi Homamu. Timna anali mlongo wake wa Lotani.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Ana aamuna a Sobala anali awa: Alivani, Manahati, Ebala, Sefo ndi Onamu. Ana aamuna a Zibeoni anali awa: Ayiwa ndi Ana.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Mwana wa Ana anali Disoni. Ana a Disoni anali awa: Hemudani, Esibani, Itirani ndi Kerani
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Ana aamuna a Ezeri anali awa: Bilihani, Zaavani ndi Yaakani. Ana aamuna a Disani anali awa: Uzi ndi Arani.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Awa ndi mafumu amene ankalamulira dziko la Edomu, mfumu iliyonse ya Israeli isanayambe kulamulira kumeneko: Bela mwana wa Beori, mzinda wake ankawutcha Dinihaba.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Bela atamwalira, Yobabu mwana wa Zera wochokera ku Bozira analowa ufumu mʼmalo mwake.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Yobabu atamwalira, Husamu wochokera ku dziko la Atemani, analowa ufumu mʼmalo mwake.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Husamu atamwalira, Hadadi mwana wa Bedadi, amene anagonjetsa Amidiyani mʼdziko la Mowabu, analowa ufumu mʼmalo mwake. Mzinda wake unkatchedwa Aviti.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Hadadi atamwalira, Samila wochokera ku Masireka analowa ufumu mʼmalo mwake.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Samila atamwalira, Sauli wochokera ku Rehoboti wa ku Mtsinje analowa ufumu mʼmalo mwake.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Sauli atamwalira, Baala-Hanani mwana wa Akibori analowa ufumu mʼmalo mwake.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Pamene Baala-Hanani anamwalira, Hadadi analowa ufumu mʼmalo mwake. Mzinda wake unkatchedwa Pau, ndipo dzina la mkazi wake linali Mehatabeli mwana wa Matiredi, mwana wamkazi wa Me-Zahabu.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Hadadi anamwaliranso. Mafumu a ku Edomu anali: Timna, Aliva, Yeteti,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenazi, Temani, Mibezari,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magidieli ndi Iramu. Awa anali mafumu a ku Edomu.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Mbiri 1 >