< ᏉᎳ ᎠᏂᏈᎷ ᏧᏬᏪᎳᏁᎸᎯ 11 >
1 ᎪᎯᏳᏗᏃ ᎨᏒ ᎯᎠ ᏄᏍᏗ ᎦᏛᎬᎢ, ᎤᎵᏂᎩᏛ ᎪᎯᏳᏗᏱ ᎠᎪᏩᏛᏗᏱ ᎨᏒ ᏄᏍᏛ ᎤᏚᎩ ᎣᏩᏒᎢ, ᎠᎴ ᏄᏜᏓᏏᏛᏒᎾ ᎢᏳᏓᎵᏍᏓᏁᏗᏱ ᎡᎲ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎠᏏ ᎠᎪᎲᎯ ᏂᎨᏒᎾ ᎨᏒᎢ.
Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona.
2 ᎾᏍᎩᏰᏃ ᎠᏅᏗᏍᎬ ᎡᏘ ᎤᎾᏕᏅᎯ ᎣᏍᏛ ᎨᏥᏃᎮᏗᏱ ᎤᏂᏩᏛᎲᎩ.
Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao.
3 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎢᏛᏗᏍᎬ ᎢᏙᎵᎦ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎧᏁᎬ ᎬᏔᏅᎯ ᎨᏒ ᎡᎶᎯ ᏚᏙᏢᏅᎢ, ᎾᏍᎩᏃ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᎠᎪᏩᏛᏗ ᏥᎩ ᎥᏝ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎬᏂᎨᏒ ᎢᏳᎵᏍᏔᏅᎯ ᎨᏒ ᏗᎪᏢᏔᏅᎯ ᏱᎩ. (aiōn )
Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu; vitu vinavyoonekana kutoka vitu visivyoonekana. (aiōn )
4 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎡᏈᎵ ᎤᏟ ᎢᏲᏍᏛ ᎤᎵᏍᎪᎸᏓᏁᎴ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎠᏥᎸ-ᎨᎳᏍᏙᏗ ᎨᏒ ᎡᏍᎦᏉ ᎨᏂ, ᎾᏍᎩ ᏄᏛᏁᎸ ᎤᏩᏛᏔᏁ ᎪᎯᏳᏗᏍᎩ ᎤᏓᎤᏗᏳ ᎨᏒᎢ, ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎬᏂᎨᏒ ᏄᏩᏁᎴ ᏚᏓᏂᎸᏤᎸ ᎤᎵᏍᎪᎸᏔᏅᎯ ᎨᏒᎢ; ᎾᏍᎩᏃ ᏄᏛᏁᎸ ᎬᏗᎭ ᎧᏁᎦ ᎾᏍᏉ ᎤᏲᎱᏒᎯ ᏥᎩ.
Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu iliyokuwa bora zaidi kuliko ile ya Kaini. Kwa imani yake alikubaliwa na Mungu kuwa mwadilifu; Mungu mwenyewe alizikubali sadaka zake. Kwa imani yake ingawa amekufa, bado ananena.
5 ᎦᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎢᎾᎩ ᎠᎦᏘᎾᏫᏛᎮ ᎾᏍᎩ ᎠᏲᎱᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᎤᎪᏩᏛᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ; ᎠᎴ ᎥᏝ ᏯᏥᏩᏛᎮᎢ, ᎤᏁᎳᏅᎯᏰᏃ ᎤᏘᎾᏫᏛᎮᎢ; ᎠᏏᏉᏰᏃ ᎾᎦᏘᎾᏫᏗᏍᎬᎾ ᎨᏎ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎣᏏᏳ ᎤᏰᎸᏗ ᎨᏒ ᏚᎸᏫᏍᏓᏁᎲ ᎬᏂᎨᏒ ᎾᎬᏁᎴᎢ.
Kwa imani Henoki alichukuliwa na Mungu, asipate kufa. Hakuonekana tena kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Maandiko yasema kwamba kabla ya kuchukuliwa kwake, yeye alikuwa amempendeza Mungu.
6 ᎪᎯᏳᏗᏍᎩᏂ ᎨᏒ ᏂᏛᏗᏍᎬᎾ ᏱᎩ ᎬᏩᏟᏍᏗ ᎣᏍᏛ ᎤᏰᎸᏗ [ ᎤᏁᎳᏅᎯ ] ᏗᎩᎸᏫᏍᏓᏁᏗᏱ; ᎩᎶᏰᏃ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᏱᎦᎷᏤᎭ ᎠᏎ ᏱᎪᎯᏳᎲᏍᎦ ᎡᎲᎢ, ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᏗᎫᏴᎡᎯ ᎨᏒ ᎤᎵᏂᎩᏛ ᎬᏩᏲᎯ.
Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Kwa maana kila mtu anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba huwatuza wale wanaomtafuta.
7 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᏃᏯ, ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏪᏯᏔᏅ ᎤᏁᎢᏍᏓᏁᎸ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᎠᏏ ᎤᎪᎲᎯ ᏂᎨᏒᎾ ᎨᏒᎢ, ᎤᎾᏰᏎᎢ, ᎤᏛᏅᎢᏍᏔᏁ ᏥᏳ ᎤᎾᎵᏍᏕᎸᏙᏗ ᏚᏓᏘᎾᎥᎢ; ᎾᏍᎩ ᏄᏛᏁᎸ ᎤᏮᏔᏁ ᏚᏭᎪᏓᏁᎴ ᎡᎶᎯ, ᎠᎴ ᎤᏤᎵ ᏄᎵᏍᏔᏁ ᎾᏍᎩ ᏚᏳᎪᏛ ᎨᏒ ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᏨᏗᏓᎴᎲᏍᎦ.
Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya baadaye ambayo hakuweza kuyaona bado. Alimtii Mungu, akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu unaotokana na imani.
8 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎡᏆᎭᎻ ᎾᎯᏳ ᎠᏥᏯᏅᎲ ᎢᎸᎯᏢ ᎤᏪᏅᏍᏗᏱ ᎾᏍᎩ ᎾᎿᎭᎣᏂ ᎢᏴᏛ ᎤᏤᎵᎦ ᎢᏯᎬᏁᏗ ᎨᏒᎢ, ᏧᏬᎯᏳᏁᎢ; ᎠᎴ ᏧᏄᎪᏤᎢ ᎾᎦᏔᎲ ᎾᎿᎭᎠᎢᏒᎢ.
Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama.
9 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎡᏙᎯᏉ ᎢᏳᏍᏗ ᎤᏪᏙᎴ ᎾᎿᎭᎠᏥᏚᎢᏍᏓᏁᎸ ᎦᏙᎯ, ᏅᏩᎾᏓᎴ ᎤᎾᏤᎵᎪᎯ ᎾᏍᎩᏯ, ᏕᎦᎵᏦᏛᏉ ᎠᏁᎮ ᎢᏧᎳᎭ ᎡᏏᎩ ᎠᎴ ᏤᎦᏈ, ᎾᏍᎩ ᎤᎾᏠᏯᏍᏗᏍᎩ ᏥᎨᏎ ᎤᏠᏱ ᎠᏚᎢᏍᏔᏅᎯ ᎨᏒᎢ.
Kwa imani aliishi kama mgeni katika nchi aliyoahidiwa na Mungu. Aliishi huko katika hema kama walivyoishi Isaka na Yakobo, ambao pia walishiriki ahadi ileile.
10 ᎠᎦᏖᏃᎮᏰᏃ ᎦᏚᎲᎢ ᏗᎦᎫᏍᏓᎢ, ᎾᏍᎩ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏁᏍᎨᎲᎢ ᎠᎴ ᎤᏬᏢᏅᎯ ᏥᎩ.
Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi imara, mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga.
11 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎾᏍᏉ ᎬᏗᏍᎬ ᏎᎵ ᎤᏩᏒ ᏧᎵᏂᎪᏎ ᏰᎵᏉ ᎬᏩᏁᎵᎢᏍᏗ ᏥᏄᎵᏍᏔᏁᎢ, ᎠᎴ ᎠᏲᎵ ᏧᎾᏄᎪᏫᏎ ᎿᎭᏉ ᏧᏓᎾᏄᎪᏫᏍᏗᏱ ᎤᎶᏐᏁᎸᎯ ᏥᎨᏎᎢ, ᏅᏗᎦᎵᏍᏙᏗᏍᎨ ᏄᏓᎵᏓᏍᏛᎾ ᎤᏰᎸᏅ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎤᏚᎢᏍᏔᏅᎯ ᎨᏒᎢ.
Kwa imani hata Sara aliamini kwamba Mungu hutimiza ahadi zake, kwa hiyo akajaliwa kuchukua mimba ingawaje alikuwa amepita umri.
12 ᎾᏍᎩᏃ ᎠᏏᏴᏫ ᎨᏒ ᏧᎾᏓᎴᏁᎢ ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᎤᏲᎱᏒᎯᏉ ᎾᏍᎩᏯ ᎨᏒᎢ, ᏃᏈᏏ ᎦᎸᎶ ᏣᏂᎧᎳ ᏥᏄᏂᏧᏈᏍᏗ ᎢᏳᏂᏧᏈᏍᏗ, ᎠᎴ ᏃᏳ ᎠᎺᏉᎯ ᎤᏣᏘ ᏥᎦᎳᎨᏴ ᎬᏎᎰᎲᏍᏗ ᏂᎨᏒᎾ ᏥᎩ ᎢᏳᏂᏧᏈᏍᏗ.
Kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, Abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.
13 ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏂᎦᏛ ᎬᏩᏃᎯᏳᎯ ᏚᏂᏲᎱᏎᎢ, ᏂᏚᎾᏓᏂᎸᏨᎾ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎨᏥᏚᎢᏍᏓᏁᎸᎯ ᎨᏒᎢ, ᎢᏅᏍᎩᏂ ᏫᏓᏂᎪᏩᏘᏍᎨᎢ ᎠᎴ ᏄᎾᏜᏓᏏᏛᎡᎲᎾ ᎨᏎᎢ, ᎠᎴ ᏚᏂᏂᏴᎮᎢ, ᎠᎴ ᎠᏂᏃᎲᏍᎨ ᏅᏩᎾᏓᎴᏉ ᎠᎴ ᎠᏁᏙᎯᏉ ᎨᏒ ᎠᏂ ᎡᎶᎯ.
Watu hawa wote walikufa wakiwa na imani. Walikufa kabla ya kupokea mambo ambayo Mungu alikuwa ameahidi, lakini kwa mbali waliyaona, wakashangilia, na kukiri wazi kwamba wao walikuwa wageni na wakimbizi duniani.
14 ᎾᏍᎩᏰᏃ ᎯᎠ ᎢᏯᏂᏪᏍᎩ, ᎬᏂᎨᏒᎢᏳ ᎾᏅᏁᎰ ᎤᎾᏤᎵᎪᎯ ᎤᏂᏲᎲᎢ.
Watu wanaosema mambo kama hayo, huonyesha wazi kwamba wanaitafuta nchi yao wenyewe.
15 ᎢᏳᏰᏃ ᏳᎾᏅᏖ ᎾᎿᎭᏧᏂᏄᎪᏨᎢ ᏳᏫᏜᏓᏅᏓᏕᎴᏉ ᎥᎤᎾᏨᏍᏗᏱ;
Kama wangalikuwa wanaifikiria nchi walikotoka zamani, wangalipata nafasi ya kurudi huko.
16 ᎪᎯᏍᎩᏂ ᎤᏟ ᎢᏲᏍᏛ ᎤᎾᏤᎵᎪᎯ ᎤᏂᏲᎭ, ᎾᏍᎩ ᎦᎸᎶᎢ ᏗᏍᏆᏂᎪᏛᎢ; ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎥᏝ ᏯᏕᎰᏍᎦ ᎾᏍᎩ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎠᎪᏎᏗᏱ; ᏚᏛᏅᎢᏍᏓᏁᎸᏰᏃ ᎦᏚᎲᎢ.
Lakini sasa wanataka nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Ndiyo maana Mungu haoni haya wakimwita yeye Mungu wao, kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji.
17 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎡᏆᎭᎻ, ᎾᎯᏳ ᎠᏥᎪᎵᏰᎥ ᎡᏏᎩ ᎤᎵᏍᎪᎸᏔᏁᎢ; ᎠᎴ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎠᏥᏚᎢᏍᏓᏁᎸᎯ ᎨᏒ ᎤᏩᏒᎯᏳ ᎤᏪᏥ ᎤᎵᏍᎪᎸᏔᏁᎢ.
Kwa imani, Abrahamu alimtoa mwanae Isaka sadaka wakati Mungu alipomjaribu. Huyo Abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya Mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
18 ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎯᎠ ᎢᏯᏥᏪᏎᎸᎯ ᏥᎨᏎᎢ, ᎾᏍᎩ ᎡᏏᎩ ᏚᏙᎥ ᎨᏥᏯᏅᏗᏍᎨᏍᏗ ᏣᏁᏢᏔᏅᎯ ᎨᏒᎢ;
ingawa Mungu alikuwa amemwambia: “Wazawa wako watatokana na Isaka.”
19 ᎤᏁᏔᏅᎯ ᏰᎵᏉ ᏄᎵᏂᎬᎦ ᏧᎴᏙᏗᏱ ᎡᎵᏍᎨᎢ, ᎾᏍᏉ ᎤᏲᎱᏒᎯ ᏱᎩ; ᎾᎿᎭᎾᏍᏉ ᏥᏚᏓᏂᎸᏤ ᏗᏟᎶᏍᏔᏅᎯ ᎾᏍᎩᏯᎢ.
Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kuwafufua wafu: na kwa namna fulani kweli Abrahamu alimpata tena mwanae kutoka wafu.
20 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎡᏏᎩ ᎣᏍᏛ ᏥᏚᏁᏤᎴ ᏤᎦᏈ ᎠᎴ ᎢᏐ ᎪᎱᏍᏗ ᎠᏏ ᎤᎵᏰᎢᎶᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᎤᎬᏩᎵ.
Kwa imani Isaka aliwabariki Yakobo na Esau, wapate baraka zitakazokuja baadaye.
21 ᏤᎦᏈ ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬᎢ, ᎿᎭᏉ ᎠᏲᎱᏍᎨᎢ ᎣᏍᏛ ᏚᏁᏤᎴ ᎢᏧᎳ ᏦᏩ ᏧᏪᏥ; ᎠᎴ ᎤᏓᏙᎵᏍᏔᏁ ᎤᏙᎳᏅᏍᏗᏱ ᎤᏍᎪᎵ [ ᎤᎵᏍᏕᎸᏕᎢ.]
Kwa imani Yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea ile fimbo yake.
22 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᏦᏩ ᎿᎭᏉ ᎠᏲᎱᏍᎨᎢ, ᎤᏁᎢᏍᏔᏁ ᎢᏏᎵ ᏧᏪᏥ ᎤᎾᏓᏅᏍᏗᏱ; ᎠᎴ ᏧᏁᏤ ᏧᎪᎳ ᎤᎬᏩᎵ.
Kwa imani Yosefu alipokuwa karibu kufa, alinena juu ya kutoka kwa Waisraeli katika nchi ya Misri, na pia akawaachia maagizo kuhusu mifupa yake.
23 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎠᏅᏗᏍᎬ ᎼᏏ ᏧᎦᏴᎵᎨ ᎾᎯᏳ ᎤᏕᏅ ᏦᎢ ᎢᏯᏅᏙ ᏥᎬᏩᏍᎦᎸᏁᎢ, ᎠᏂᎪᏩᏘᏍᎨᏰᏃ ᎤᏬᏚᎯᏳ ᎨᏒ ᎠᏲᎵ; ᎥᏝ ᎠᎴ ᏯᏂᏍᎦᎢᎮ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᎤᏁᏨᎢ.
Kwa imani wazazi wa Mose walimficha huyo mtoto kwa muda wa miezi mitatu baada ya kuzaliwa kwake. Walimwona kuwa ni mtoto mzuri, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.
24 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎼᏏ ᎿᎭᏉ ᎤᏔᏅ ᏄᎵᏍᏔᏅ ᎤᏲᎢᏎᎴᏉ ᏇᎵᏲ ᎤᏪᏥ ᎠᎨᏴ, ᎤᏪᏥ ᎠᎪᏎᏗᏱ;
Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
25 ᎤᏑᏰᎭ ᎤᏟ ᎤᏰᎸᏁ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᏧᏤᎵ ᏴᏫ ᎠᏂᎩᎵᏲᏥᏙᎲ ᎤᏠᏯᏍᏙᏗᏱ, ᎠᏃ ᎠᏍᎦᏂ ᏞᎦ ᎣᏍᏛ ᎤᏓᏓᏅᏓᏗᏍᏙᏗ ᎨᏒᎢ;
Aliona ni afadhali kuteseka pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia raha ya dhambi kwa kitambo kidogo.
26 ᎤᏟ ᎦᎸᏉᏗᏳ ᎡᎵᏍᎨ ᎦᏰᏥᏐᏢᏙᏗᏱ ᎦᎶᏁᏛ ᎨᏒ ᎢᏳᏍᏗ, ᎠᏃ ᏧᎬᏩᎶᏗ ᎠᏍᏆᏂᎪᏛ ᎢᏥᏈᏱ; ᎠᎦᎫᏴᎡᏗᏰᏃ ᎨᏒ ᎢᏴᏛ ᏫᏓᎧᏂᏍᎨᎢ.
Alitambua kwamba kuteseka kwa ajili ya Masiha kuna faida kubwa zaidi kuliko utajiri wote wa nchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia tuzo la baadaye.
27 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎢᏥᏈᏱ ᎤᏓᏅᏎᎢ, ᎾᏍᎦᎢᎲᎾ ᎨᏎ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᎤᏔᎳᏬᏍᎬᎢ; ᎬᏂᏗᏳᏍᎩᏂ ᎨᏒ ᎾᏍᎩᏯᏉ ᏣᎪᏩᏘᏍᎪ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎦᏰᏥᎪᏩᏛᏗ ᏂᎨᏒᎾ ᎨᏒᎢ.
Kwa imani Mose alihama kutoka nchi ya Misri bila kuogopa hasira ya mfalme; na wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama mtu aliyemwona yule Mungu asiyeonekana.
28 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎤᏁᏤ ᎧᏃᎯᏰᎩ ᏗᎵᏍᏓᏴᏗᏱ ᎤᏂᏍᏆᏂᎪᏙᏗᏱ, ᎠᎴ ᎩᎬ ᎤᏂᏍᏚᏟᏍᏗᏱ [ ᎦᎶᎯᏍᏗᏱ, ] ᎾᏍᎩ ᎢᎬᏱ ᎤᎾᏕᏅᎯ ᏗᏛᏗᏍᎩ ᎪᎱᏍᏗ ᎤᏅᏁᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ.
Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, akaamuru damu inyunyizwe juu ya milango, ili yule Malaika Mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa Israeli.
29 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎠᏅᏗᏍᎬ ᎠᎺᏉᎯᎩᎦᎨᏍᏛᏱ ᎠᏰᎵ ᎤᏂᎶᏎ ᎤᎧᏲᏛᎯ ᏣᏂᎶᏍᎪ ᎾᏍᎩᏯᎢ; ᎢᏥᏈᏱᏃ ᎠᏁᎯ ᎤᎾᏁᎶᏔᏅ ᎾᏍᎩ ᎢᏳᎾᏛᏁᏗᏱ ᏚᏂᎬᏤᎢ.
Kwa imani watu wa Israeli walivuka bahari ya Shamu, kana kwamba ilikuwa nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo walikufa maji.
30 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎠᏅᏗᏍᎬ ᏓᏐᏴ ᏤᎵᎪ ᏚᏪᏒᏙᎠᏎᎢ, ᎿᎭᏉ ᎦᎵᏉᎩ ᏧᏒᎯᏛ ᏂᏚᎾᏚᏫᏍᏔᏁᎢ.
Kwa imani kuta za mji wa Yeriko zilianguka watu wa Israeli walipokwisha zunguka kwa muda wa siku saba.
31 ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎬᏗᏍᎬ ᎴᎭᏫ ᎤᏁᎫᏥᏛ ᎥᏝ ᏯᏥᏛᏔᏁ ᎨᏥᏛᏔᏅ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᏄᏃᎯᏳᏒᎾ ᏥᎨᏎᎢ, ᎾᏍᎩ ᏙᎯᏱ ᏥᏚᏓᏂᎸᏤ ᎢᏳᏍᏗ ᎤᏂᎦᏛᏂᏙᎯ.
Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi.
32 ᎠᎴ ᎦᏙ ᎠᏏ ᏓᎦᏛᏂ? ᎥᏝᏰᏃ ᎬᎩᏍᏆᏗᏍᏗ ᏱᎩ ᏱᎦᏥᏃᎮᎸ ᎩᏗᏯᏂ, ᎠᎴ ᏇᎴᎩ, ᎠᎴ ᏌᎻᏏᏂ, ᎠᎴ ᏤᏈᏓ; ᏕᏫ ᎾᏍᏉ, ᎠᎴ ᏌᎻ, ᎠᎴ ᎠᎾᏙᎴᎰᏍᎩ.
Basi, niseme nini zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii.
33 ᎾᏍᎩ ᎪᎯᏳᏗ ᎨᏒ ᎠᏅᏗᏍᎬ ᎠᏰᎵ ᏕᎪᏢᏒ ᏥᏓᎾᏓᎵᏁᎯᏕᎮᎢ, ᏚᏳᎪᏛ ᏥᏚᏂᎸᏫᏍᏓᏁᎮᎢ, ᎤᎾᏤᎵ ᏥᎾᏅᏁᎮ ᏄᏍᏛ ᎨᏥᏚᎢᏍᏓᎸᎢ, ᏢᏓᏥ ᎤᏂᏃᏕᏅ ᏗᏂᎰᎵ ᏥᏓᏂᏍᏚᎲᏍᎨᎢ,
Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba,
34 ᎠᏥᎸ ᎤᏍᎦᏎᏗ ᏣᏅᏜᏓᏗᏍᎨᎢ, ᎠᏰᎳᏍᏗ-ᎦᏅᎯᏛ ᏣᎾᏗᏫᏎᎮᎢ, ᏗᏂᏩᎾᎦᎳ ᎨᏒ ᏧᎾᎵᏂᎩᏛ ᏥᏂᎨᎬᏁᎮᎢ, ᎾᏂᏍᎦᎢᎲᎾ ᏂᎾᎾᎵᏍᏗᏍᎨ ᏓᎾᎵᎲᎢ, ᏥᏓᏂᎨᎯᏙᎮ ᏅᏩᎾᏓᎴ ᎠᏂᏯᏫᏍᎩ.
Walizima mioto mikali, waliepuka kuuawa kwa upanga. Walikuwa dhaifu lakini walipata nguvu. Walikuwa hodari katika vita wakashinda majeshi ya kigeni.
35 ᎠᏂᎨᏴ ᏗᎬᏩᏂᏲᎱᎯᏎᎸᎯ ᏗᏅᏃᏛ ᏔᎵᏁ ᏂᏙᎨᏥᏲᎯᏎᎮᎢ; ᎢᎦᏛᏃ ᏥᎨᏥᎩᎸᏍᎨᎢ, ᏂᏓᎾᏓᏂᎸᎬᎾ ᎨᎫᏓᎴᏍᎬᎢ; ᏅᏗᎦᎵᏍᏙᏗᏍᎨ ᎤᏟ ᎢᏲᏍᏛ ᎤᏂᏩᏛᏗᏱ ᎤᎾᏚᎵᏍᎬ ᏗᎴᎯᏐᏗ ᎨᏒᎢ;
Na, wanawake walioamini walirudishiwa wafu wao wakiwa wamefufuliwa. Baadhi yao walikataa kufunguliwa, wakateswa mpaka kufa ili wapate kufufuliwa na kuingia katika maisha bora zaidi.
36 ᎢᎦᏛᏃ ᎨᏥᎪᎵᏰᏍᎨ ᎦᎨᏥᏐᏢᏗᏍᎬ ᎠᎴ ᏕᎨᏥᎵᎥᏂᎲᎢ, ᎠᎴ ᎾᏍᏉ ᏕᎨᎦᎸᎢᎲ ᎠᎴ ᏕᎨᏥᏍᏚᎲᏍᎬᎢ;
Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani.
37 ᏅᏯ ᏕᎨᎬᏂᏍᏗᏍᎨᎢ, ᏗᎦᏄᏙᎩ ᎬᏗ ᏕᎨᏥᎦᎵᏍᎨᎢ, ᏕᎨᏥᎪᎵᏰᏍᎨᎢ, ᎠᏰᎳᏍᏗ-ᎦᏅᎯᏛ ᏕᎨᏥᎢᏍᏗᏍᎨᎢ; ᎠᏫ ᎤᏂᏃᏕᎾ ᎠᎴ ᎠᏫ ᏗᏂᎭᏄᎸᎯ ᏧᏂᏁᎦᎸᏅᎯ ᏧᎾᏄᏩᎢ ᎠᏁᏙᎮᎢ; ᎤᏂᏂᎬᏎᎯ ᎨᏎᎢ, ᎠᏂᎩᎵᏲᏥᏙᎮᎢ.
Walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi, walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa.
38 [ ᎾᏍᎩ ᎯᎠ ᎥᏝ ᎡᎶᎯ ᎬᏩᎾᏕᏗ ᏱᎨᏎᎢ; ] ᎢᎾᎨ ᎠᏁᏙᎮᎢ, ᎠᎴ ᏙᏓᎸᎢ, ᎠᎴ ᏚᏍᏓᎦᎸᎢ, ᎠᎴ ᎦᏙᎯ ᏓᏔᎴᏒᎢ.
Ulimwengu haukustahili kuwa na watu hao. Walitangatanga jangwani na mlimani, wakaishi katika mashimo na mapango ya ardhi.
39 ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᏂᎦᏛ ᎯᎠ ᎣᏍᏛ ᎨᏥᏃᎮᏍᎩ ᏥᎨᏎ ᎤᏃᎯᏳᏒ ᎢᏳᏩᏂᏌᏛ, ᎥᏝ ᏄᏍᏛ ᎨᏥᏚᎢᏍᏓᏁᎸ ᏱᏚᎾᏓᏂᎸᏤᎢ;
Watu hawa wote walionekana kuwa mashujaa kwa sababu ya imani yao. Hata hivyo, hawakupokea yale ambayo Mungu aliwaahidia,
40 ᎾᏍᎩ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎢᎦᏛᏅᎢᏍᏓᏁᎸᎯ ᎨᏒ ᎢᏳᏍᏗ ᎪᎱᏍᏗ ᎤᏟ ᎢᏲᏍᏛ, ᎾᏍᎩ ᏄᏂᎷᎶᏤᎲᎾ ᎢᎨᎬᏁᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ ᎠᏴ ᏂᎦᏠᏯᏍᏗᏍᎬᎾ.
maana Mungu alikuwa ameazimia mpango ulio bora zaidi kwa ajili yetu; yaani wao wangeufikia ukamilifu wakiwa pamoja nasi.