< Y Salmo Sija 70 >

1 NACHADIG, O Yuus, para unalibreyo: nachadig umayudayo, O Yuus.
Uniokoe, Mungu! Yahwe, njoo haraka na unisaidie mimi.
2 Polo sija ya ufanmamajlao yan ufaninistotba ni y umaliligao y antijo: polo sija ya ufanalo tate yan ufanmamajlao ni y manmagof nii desonraco.
Wale wajaribuo kuchukua uhai wangu waaibishwe na kufedheheshwa; warudishwe nyuma na wasiheshimiwe, wale wafurahiao katika maumivu yangu.
3 Polo sija ya ufanalo tate para apas y minamajlaoñija ja ni y ilegñija: Aha, Aha.
Warudishwe nyuma kwa sababu ya aibu yao, wale wasemao, “Aha, aha.”
4 Polo ayo todo y umaliligaojao ya unfanmagof yan ufansenmagof ni jago: ya polo ya ayo y gumaeya y satbasionmo ya ilelegñija siésiempreja: Umanasendangculo si Yuus.
Wale wakutafutao wafurahi na kushangilia katika wewe; wale waupendao wokovu wako siku zote waseme, “Mungu asifiwe.”
5 Lao guajo pobleyo yan nesesitaoyo: nachadig jao guiya guajo, O Yuus: sa jago umayuyudayo, yan y munalibreyo; O Jeova, chamo umatrasasao.
Lakini mimi ni maskini na muhitaji; harakisha kwangu, Mungu; wewe ni msaada wangu nawe huniokoa mimi. Yahwe, usichelewe.

< Y Salmo Sija 70 >