< Y Salmo Sija 63 >

1 O Yuus, jago y Yuusso; taftaf jualigao jao; y antijo majo pot jago, y catneco majalang nu jago, gui anglo an majo na tano, anae taya janom;
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Taegüije juatan jao gui templo para julie y ninasiñamo yan y minlagmo.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 Sa y mauleg güinaeyamo maulegña qui y linâlâ; y labiosso ualabajao.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Taegüine jubendise jao gui linâlâjo; ya jujatsa julo y canaejo ni y naanmo.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Y antijo ujaspog taegüije y ujaspog ni y titanos an montica; ya y pachotjo ualabajao yan y minagof y labiosso.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Yanguin jujaso jao gui jilo camajo; ya y jinasoco nu jago gui ora nae bumebelayo an puenge.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 Sa jago guinin umayudayo; enaomina y anineng y papamo nae jumagof.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 Y antijo dangculo na tinatitiye jao: y agapa na canaemo mumantieteneyo.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Lao ayo sija y umaliligao y antijo, para umayulang, sija ufanjanao para y mas tadong na joyo gui tano.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 Ufanmaentrega gui jinilat y espada; sija ugüinaja para y sora sija.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Lao y ray umagof gui as Yuus; ya todo y manmanjula pot güiya unfanmagof: sa y pachot ayo sija y manmandadague ufanmajuchom.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.

< Y Salmo Sija 63 >