< San Juan 19 >

1 AYO nae si Pilato jachule si Jesus, ya jasaulag.
Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
2 Ya y sendalo sija jadufog tituca para un corona, ya japolo gui iluña ya manaminagago güe ni magagon agaga.
Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
3 Manmato jijot ya ilegñija: Jafa tatatmano jao, Ray Judio sija? Ya manae patmada.
Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
4 Entonses si Pilato jumuyong talo, ya ilegña nu sija: Estagüe na jachule guiya jamyo juyong, para intingo na ni un isao jusoda guiya güiya.
Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
5 Ayo anae si Jesus mapos juyong, jachuchule y coronan tituca yan y magagon agaga. Ya ilegña nu sija si Pilato: Estagüe y taotao!
Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
6 Anae malie güe ni y magas mamale yan y ofisiat sija, manaagang ilegñija: Atane gui quiluus, atane gui quiluus. Si Pilato ilegña nu sija: Chile jamyo ya inatane gui quiluus; sa guajo ti mañoda yo jafa na isao guiya güiya.
Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
7 Maope güe ni y Judio sija: Jame guaja laymame, ya segun y laymame, debe umatae, sa jafa na güiya jafatinas maesa güe Lajin Yuus.
Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
8 Si Pilato anae jajungog este na sinangan, guaja güe mas dangculo na minaañao;
Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
9 Ya jumalom talo gui palasyo ya ilegña as Jesus: Jago, taotao mano jao? Ya si Jesus taya inepeña.
akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
10 Si Pilato pues ilegña nu güiya: Jago ti umadingane yo? Ti untungo na guaja yo ninasiñajo para junalibre jao, ya para juatane jao gui quiluus?
Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
11 Manope güe si Jesus: Ti siña y ninasiñamo contra guajo, yaguin ti manaejao gui sanjilo; enao mina y umentrega yo guiya jago, guaja mas dangculo na isao.
Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
12 Guinin este, si Pilato jaaligao y lugat para unalibre gue: lao y Judio sija managang ilegñija: Yaguin unnalibre este na taotao, ti amigon Sesat jao; sa ayo y umanaray, jasangan contra si Sesat.
Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
13 Anae si Pilato jajungog este na sinangan, jachule si Jesus juyong ya matachong gui tribuna, gui lugat na mafanaan Piso, ya y Hebreo na finojo Gábbatta.
Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
14 Ayo nae y tiempo para ufamauleg y pascua: jijot y ora gui las saes. Entonses ilegña ni y Judio sija: Estagüe y Raymiyo!
Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
15 Entonses manaagang, ilegñija: Najanao! najanao! Atane gui quiluus! Ylegña nu sija si Pilato: Juatane y Raymiyo? Magas na mamale manmanope: Taya raymame na si Sesatja.
Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
16 Entonses maentrega güe guiya sija para umatane gui quiluus. Ya sija cumone si Jesus!
Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
17 Ya güiya chumuchuchule y quiluusña, jumanao para ayo na lugat na mafanaan y sagan calabera, cumequeilegña gui Hebreo na finijo, Golgota;
Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
18 Anae maatane gui quiluus; yan y gachongña otro dos, gui dos banda Jesus ya si Jesus gui talo.
Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
19 Ya manugue si Pilato un tinigue ya mapolo gui sanjilo y quiluus. Ya y tinigue: SI JESUS NASARENO, RAY Y JUDIO SIJA.
Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
20 Ya megae na Judio sija tumaetae este na tinigue, sa y lugat anae maatane si Jesus, jijot gui siuda, ya esta matugue gui Hebreo, yan Griega, yan Lating.
Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
21 Ayo nae elegñija as Pilato y manmagas na mamale yan y Judio sija: Chamo titigue: Ray y Judio sija: lao güiya umalog: Guajo y Ray y Judio sija.
Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Manope si Pilato: Jafa y jutugue esta jutugue.
Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
23 Entonses y sendalo sija, anae munjayan maatane gui quiluus si Jesus, machule y magaguña, ya mafatinas cuatro patte, cada sendalo un patte; yan y tunico na magago locue; güiya taya malagseña, lao todo matufog desde y sanjilo asta y sanpapa.
Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
24 Pot enao ilegñija entre sija: Mungajit umipe, lao tapolo suette gui jiloña, jaye gaeyo güe: para umacumple y tinigue na ilegña: Mapatte entre sija y magagujo, ya y tunico na magagojo mafatinas y suette. Estesija y sendalo fumatinas.
Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
25 Ya manotojgue gui fiun quiluus Jesus, si nanaña, yan y chelun nanaña as Maria, yan si Maria palaoan Cleopas, yan si Maria Magdalena.
Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
26 Ya anae jalie si Jesus si nanaña, yan y disipuluña ni jaguaeya na tomotojgue jijot, ilegña as nanaña: Palaoan, enaogüe y lajimo!
Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
27 Despues, ilegña ni disipulo: Enaogüe si nanamo. Desde ayo na ora y disipulo inadaje güe gui guimaña.
Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
28 Despues di este, jatungo si Jesus na todosija esta manmacumple, para y tinigue umacumple, ilegña: Majoyo.
Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
29 Ya gaegue güije un nayan na bula y binagle: Ya sija nabula y espongja y binagle ya mapolo gui jilo un jayo na naanña y hisopo, ya manafalag y pachotña.
Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
30 Anae si Jesus jaguinem y binagle, elegña: Jocog esta: ya janaeguen y iluña ya jaentrega y espiritu.
Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
31 Entonses y Judio sija, sa ayo na jaane y jaanen Preparasion; para y tataotao sija taya usaga gui quiluus gui sabado na jaane (sa dangculo ayo na jaane y sabado), manmangagao as Pilato na ufanmajulog y adengñija ya umanafanjanao güije.
Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
32 Manmanmato sija y sendalo ya majulog y adengña y finenana, yan y otro, ayo dos y guinin y matane gui quiluus yan guiya;
Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
33 Ya anae manmato gui as Jesus, ya malie na güiya esta matae, ti julog y adengña:
Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
34 Lao uno gui sendalo sija, janaadotgan gui calaguagña y lansaña, ya jumuyong y jâgâ yan janom.
Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
35 Ya güiya y lumie mannae testimonio, ya y testimonioña, güiya magajet: ya güiya tumungo na jafa, ilegña magajet, para jamyo locue injenggue.
Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
36 Sa este na güinaja jumuyong esta para umacumple y tinigue na ilegña: Ni un tolang guiya güiya umajulog.
Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Yan locue otro tinigue ilegña: Umaatan ayo ni janaadotgan.
Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
38 Despues di malofan estesija, si José taotao Arimatea, ya disipulon Jesus, lao gui secreto sa maañao ni Judio sija, jagagao si Pilato na güiya unajanao y tataotao Jesus: entonses si Pilato japolo. Ya mato güe ya janajanao y tataotaoña.
Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
39 Mato locue si Nicodemo, na jagas mato gui as Jesus gui puenge, mañuñule un dinañan mira yan chaguan na jajatot, na y minacatña sien libra.
Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
40 Ayo nae jachule y tataotao Jesus, ya maafuyut magago yan paopao, taemanoja y costumbre y Judio sija an manmanjafot.
Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
41 Ya ayo na lugat nae maatane gui quiluus, guaja un güetta, ya y güetta nae guaja un naftan nuebo, ya asta pago taya nae mapoluye.
Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
42 Ayo nae mapolo si Jesus, sa ayo na jaane y jaanin Preparasion y Judio sija (sa ayo na naftan estaba jijot).
Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.

< San Juan 19 >