< Числа 7 >

1 И когато Моисей свърши поставянето на скинията и помаза и свети я с всичките й принадлежности, и олтара с всичките му прибори, и ги помаза и ги освети,
Mose alipomaliza kuisimamisha Maskani, aliitia mafuta na kuiweka wakfu pamoja na samani zake zote. Pia alitia madhabahu mafuta na kuiweka wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.
2 тогава Израилевите първенци, началниците на бащините им домове, които бяха първенци на племената и поставени главни надзиратели при преброяването, донесоха принос;
Ndipo viongozi wa Israeli, wale wakuu wa jamaa waliokuwa viongozi wa kabila wasimamizi wa wale waliohesabiwa, wakatoa sadaka.
3 и поставиха приносите си пред Господа, шест покрити коли и дванадесет вола, по една кола от двама първенци, и по един вол от всекиго, и представиха ги пред скинията.
Walizileta kama matoleo yao mbele za Bwana: magari sita ya kukokotwa yaliyofunikwa, pamoja na maksai kumi na wawili; yaani maksai mmoja kutoka kwa kila kiongozi, na gari moja la kukokotwa kutoka kwa kila viongozi wawili. Haya waliyaleta mbele ya Maskani.
4 Тогава Господ говори на Моисея, казвайки:
Bwana akamwambia Mose,
5 Приеми тия неща от тях, и нека служат за вършенето работата на шатъра за срещане; и дай ги на левитите, на всекиго според работата му.
“Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”
6 И тъй, Моисей взе колите и воловете и ги даде на лавитите;
Hivyo Mose akachukua yale magari ya kukokotwa pamoja na maksai, na kuwapa Walawi.
7 двете коли и четирите вола даде на гирсонците, според работата им;
Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji kwa kazi yao,
8 и четирите коли и осемте вола даде на на мерарийските синове, според работата им, под надзора на Итамара, син на свещеника Аарона.
na pia aliwapa Wamerari magari manne ya kukokotwa na maksai wanane, kama kazi yao ilivyohitaji. Wote walikuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.
9 А на каатците не даде; защото тяхната работа в светилището беше до носят на рамена.
Lakini Mose hakuwapa Wakohathi chochote kati ya hivyo, kwa sababu walitakiwa kubeba vitu vitakatifu mabegani mwao, vile walikuwa wanawajibika.
10 И в деня, когато олтарът биде помазан, първенците принесоха за освещаването му; и първенците принесоха приносите си пред олтара.
Wakati madhabahu yalitiwa mafuta, viongozi walileta sadaka zao kwa ajili ya kule kuwekwa wakfu kwake na kuziweka mbele ya madhabahu.
11 И Господ рече на Моисея: Нека принасят приносите си за освещаването на олтара по един първенец на ден.
Kwa maana Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu madhabahu.”
12 И тоя, който принесе приноса си на първия ден, беше Наасон, Аминадавовият син, от Юдовото племе;
Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.
13 и приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебния принос;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
14 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
15 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
16 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
17 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Наасона, Аминадавовият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
18 На втория ден принесе Натанаил, Суаровият син, първенецът на Исахаровото племе;
Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka yake.
19 и за приноса си принесе едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
20 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
21 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
22 един козел в принос за грях; и един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
23 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Натанаила, Суаровият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Suari.
24 На третия ден принесе първенецът на завулонците, Елиав, Хелоновият син.
Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.
25 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
26 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
27 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
28 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
29 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Елиава, Хелоновият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni.
30 На четвъртия ден принесе Елисур, Седиуровият син, първенецът на рувимците.
Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.
31 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
32 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
33 един, юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
34 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
35 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Елисура, Седиуровият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elisuri mwana wa Shedeuri.
36 На петия ден принесе първенецът на симеонците, Селумиил, Сурисадаевият син.
Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.
37 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено; с дървено масло, за хлебен принос
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
38 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
39 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
40 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
41 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Селумиила, Сурисадаевият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Shelumieli mwana wa Surishadai.
42 На шестия ден принесе първенецът на гадците, Елиасаф, Деуиловият син.
Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kiongozi wa watu wa Gadi, alileta sadaka yake.
43 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
44 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
45 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
46 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
47 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Елиасафа, Деуиловият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deueli.
48 На седмия ден принесе първенецът на ефремците, Елисама, Амиудовият син.
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
49 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
50 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
51 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
52 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
53 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Елисама, Амиудовият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi.
54 На осмия ден принесе първенецът на манасийците, Гамалиил, Федасуровият син.
Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.
55 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
56 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
57 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
58 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
59 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Гамалиила, Федасуровият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Gamalieli mwana wa Pedasuri.
60 На деветия ден принесе първенецът на вениаминците, Авидан, Гедеониевият син.
Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.
61 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
62 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
63 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
64 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
65 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Авидана, Гедеониевият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gideoni.
66 На десетия ден принесе първенецът на данците, Ахиезер, Амисадаевият син.
Siku ya kumi Ahiezeri mwana wa Amishadai, kiongozi wa watu wa Dani, alileta sadaka yake.
67 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
68 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
69 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
70 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
71 и за примирителна жертва две вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Ахиезера, Амисадаевият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.
72 На единадесетия ден принесе първенецът на асирците, Фагеил, Охрановият син.
Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.
73 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли; един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
74 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
75 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
76 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
77 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Фагеил, Охрановият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
78 На дванадесетия ден принесе първенецът на нефталимците, Ахирей, Енановият син.
Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.
79 Приносът му беше едно сребърно блюдо тежко сто и тридесет сикли: един сребърен леген от седемдесет сикли, според сикъла на светилището; и двете пълни с чисто брашно, смесено с дървено масло, за хлебен принос;
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
80 един златен темянник от десет сикли, пълен с темян;
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
81 един юнец, един овен, едно едногодишно агне за всеизгаряне;
fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
82 един козел в принос за грях;
mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;
83 и за примирителна жертва два вола, пет овена, пет козела и пет едногодишни агнета. Това беше приносът на Ахирея, Енановият син.
maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani.
84 Тия бяха приносите от Израилевите първенци за освещаването на олтара в деня, когато биде помазан: дванадесет сребърни блюда, дванадесет сребърни легена и дванадесет златни темянника;
Hizi ndizo zilikuwa sadaka za viongozi wa Israeli madhabahu yalipowekwa wakfu, wakati yalitiwa mafuta: sahani kumi na mbili za fedha, bakuli kumi na mbili za fedha za kunyunyizia, na masinia kumi na mawili ya dhahabu.
85 всяко сребърно блюдо беше от сто и тридесет сикли; всичкото сребро на съдовете беше две хиляди и четиристотин сикли; всичкото сребро на съдовете беше две хиляди и четиристотин сикли, според сикъла на светилището;
Kila sahani ya fedha ilikuwa na uzito wa shekeli 130, na kila bakuli la fedha la kunyunyizia lilikuwa na uzito wa shekeli sabini. Masinia yote kumi na mawili yalikuwa na uzito wa shekeli 2,400kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
86 дванадесет златни темянника пълни с темян; (всеки темянник беше от десет сикли, според сикъла на светилището; всичкото злато на темянниците беше сто и двадесет сикли );
Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi kila moja, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Kwa jumla, sahani za dhahabu zilikuwa na uzito wa shekeli 120.
87 всичкият добитък за всеизгаряне беше дванадесет юнеца, дванадесет овена, дванадесет едногодишни агнета, заедно с хлебния им принос, и дванадесет козела в принос за грях;
Jumla ya wanyama waliotolewa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa walikuwa fahali kumi na wawili wachanga, kondoo dume kumi na wawili na wana-kondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja, pamoja na sadaka zao za nafaka. Mbuzi waume kumi na wawili walitolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi.
88 и всичкият добитък за примирителна жертва беше двадесет и четири юнеца, шестдесет овена, шестдесет козела и шестдесет едногодишни агнета. Така стана освещаването на олтара, след като биде помазан.
Jumla ya wanyama kwa ajili ya dhabihu ya sadaka ya amani walikuwa maksai ishirini na wanne, kondoo dume sitini, mbuzi dume wa mwaka mmoja sitini na wana-kondoo dume wa mwaka mmoja sitini. Hizi ndizo zilikuwa sadaka zilizoletwa kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu baada ya kutiwa mafuta.
89 И когато влезе Моисей в шатъра за срещане, за да говори с Бога, тогава чу гласа; който му говореше отгоре на умилостивилището, което беше върху ковчега за плочите на свидетелството между двата херувима; и говореше му.
Mose alipoingia kwenye Hema la Kukutania kuzungumza na Bwana, alisikia sauti ikisema naye kutoka kati ya wale makerubi wawili waliokuwa juu ya kile kiti cha rehema, juu ya Sanduku la Ushuhuda. Mose akazungumza naye.

< Числа 7 >