< Числа 32 >
1 А рувимците и гадците имаха твърде много добитък; и когато видяха Язирската земя и Галаадската земя, че, ето, мястото беше място за добитък,
Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
2 то гадците и рувимците дойдоха та говориха на Моисея, на свещеника Елеазара, и на първенците на обществото, казвайки:
Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
3 Атарот, Девон, Язир, Нимра, Есевон, Елеала, Севама, Нево и Веон,
“Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
4 земята, която Господ порази пред Израилевото общество, е земя за добитък; а слугите ти имат добитък.
Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
5 За това, рекоха, ако сме придобили твоето благоволение, нека се даде тая земя на слугите ти имат добитък.
Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
6 А Моисей рече на гадците и на рувимците: Да идат ли братята ви на бой, а вие тук да седите?
Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
7 Защо обезсърчавате сърцата на израилтяните, та да не преминат в земята която Господ им е дал?
Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
8 Така сториха бащите ви, когато ги изпратиха от Кадис-варни, за да видят земята;
Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
9 отидоха до долината Есхол, и, като видяха земята, обезсърчиха сърцата на израилтяните, та да не възлязат в земята, която Господ им бе дал.
Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
10 И в оня ден гневът на Господа пламна, и той се закле казвайки:
Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
11 Ни един от ония мъже, които излязоха из Египет, от двадесет години и нагоре, няма да види земята, за която съм се клел на Авраама, Исаака и Якова, защото не Ме последваха напълно,
'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
12 освен Халева син на Ефония Кенезов и Исус Навиевият син, защото те напълно последваха Господа.
Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
13 Гневът на Господа пламна против Израиля, и той ги направи да се скитат из пустинята за четиридесет години, догде се довърши изцяло онова поколение, което беше сторило зло пред Господа.
Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
14 И, ето, вместо бащите си, издигнахте се вие, прибавка на грешни човеци, и ще разпалите повече пламъка на Господния гняв против Израиля.
Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
15 Защото, ако вие се отвърнете от Него, Той ще остави тях още еднъж в пустинята; и така вие ще станете причина да погинат всички тия люде.
Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
16 Но те пристъпиха при Моисея и рекоха: Ще съградим тука огради за добитъка си и градове за челядите си;
Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
17 а сами ние сме готови да вървим въоръжени пред израилтяните, догде ги заведем до мястото им; и челядите ни ще седят в укрепените градове в безопасност от местните жители.
Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
18 Няма да се върнем в домовете си догде израилтяните не наследят, всеки наследството си.
Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
19 Защото ние няма да наследим с тях отвъд Иордан и по-нататък, понеже нашето наследство ни се падна отсам Иордан на изток.
Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
20 Тогава Моисей им рече: Ако направите това, ако отидете въоръжени на бой пред Господа,
Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
21 ако всички въоръжени преминете Иордан пред Господа, догде изгони Той враговете Си от пред Себе Си,
basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
22 и земята се завладее пред Господа, а подир това се върнете, тогава ще бъдете невинни пред Господа и пред Израиля, и ще имате тая земя за притежание пред Господа.
na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
23 Но ако не направите така, ето, ще съгрешите пред Господа; и да знаете, че грехът ви ще ви намери.
Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
24 Съградете градове за челядите си и гради за овците си, и сторете това, което излезе из устата ви.
wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
25 И гадците и рувимците говориха на Моисея, казвайки: Слугите ти ще сторят, както господарят ни каза.
Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
26 Децата ни, жените ни, стадата ни и всичкият ни добитък ще останат тук в галаадските градове;
Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
27 а слугите ти, всички въоръжени и опълчени, ще отидат пред Господа на бой, както господарят ни каза.
Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
28 Тогава Моисей даде поръчка за тях на свещеника Елеазара, на Исуса Навина, и на началниците на бащините домове от племената на израилтяните.
Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
29 Моисей им рече: Ако гадците и рувимците преминат с вас Иордан, всички въоръжени за бой пред Господа, и се завладее земята пред вас, тогава ще им дадете Галаадската земя за притежание.
Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
30 Но ако не щат да преминат с вас въоръжени, тогава да вземат наследство между вас в Ханаанската земя.
Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
31 И гадците и рувимците в отговор рекоха: Както рече Господ на слугите ти, така, ще сторим.
Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
32 Ние ще заминем въоръжени пред Господа в Ханаанската земя, за да притежаваме наследството си оттатък Иордан.
Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
33 И тъй, Моисей им даде, то ест, на гадците, на рувимците и на половината от племето на Иосифовия син Манасия, царството на аморейския цар Сион и царството на васанския цар Ог, земята заедно с градовете в пределите й, градовете на околната земя.
Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
34 И гадците съградиха Девон, Атарот, Ароир,
Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
35 Атротсофан, Язир, Иогвея,
Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
36 Ветнимра и Ветаран, укрепени градове и огради за овци.
na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
37 А рувимците съградиха Есевон, Елеала, Кириатаим,
Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
38 Нево и Ваалмеон (с променени имена) и Севама; и преименува градовете, които съградиха.
Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
39 И потомците на Манасиевия син Махир отидоха в Галаад, завладяха го и изпъдиха аморейците, които бяха в него.
Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
40 За това Моисей даде Галаад на Махира Манасиевия син, и той се засели в него.
Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
41 А Манасиевият син Яир отиде та завладя градовете му и ги наименува Авот-Яир.
Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
42 И Нова отиде та превзе Кенан и селата му и го наименува Нова по своето име.
Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.