< Наум 2 >

1 Разрушителят възлезе пред лицето ти; Пази крепостта, бди за пътя, Стегни кръста си, уякчи силно мощта си.
Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
2 Понеже Господ възстанови величието Яковово Като величието Израилево; Защото изтърсвачите ги изтърсиха, И повредиха лозовите им пръчки.
Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
3 Щитът на силните му е боядисан червено, Яките мъже са облечени в червеникаво; Колесниците лъщят със стомана В деня, когато се приготовлява, И елховите копия се размахват ужасно.
Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
4 Колесниците буйствуват из улиците, Блъскат се една с друга по площадите; Изгледът им е като факли, Тичат като светкавица.
Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
5 Той си припомнюва за юнаците си; но те се подплъзват в пътя си; Тичат към стените му, и покривалото се приготвя.
Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
6 Речните порти се отварят, И палата се разрушава.
Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
7 Решено е да се плени Ниневия И да се пресели; И слугините й стенят като с гласа на гълъбите, Когато се бият по гърдите.
Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
8 Но макар Ниневия да е била отдавна пълна с мъже като езеро с вода, пак те бягат; Макар да викат - Стойте! стойте! пак никой не погледва назад.
Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
9 Обирайте среброто, обирайте златото; Защото съкровищата й са безгранични, Има богатство от всякакви отбрани вещи.
Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
10 Тя се изпразни, изтърси, и запустя; Сърцето се топи, и колената се удрят едно о друго, Болки има във всеки кръст, А лицата на всички са побледнели.
Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
11 Где е ровът на лъвовете, И мястото гдето младите лъвове се хранеха, Гдето ходеха лъвът, лъвицата и лъвчето, И нямаше кой да ги плаши?
Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
12 Где е лъвът, който разкъсваше доволно за лъвчетата си, Давеше за лъвиците си, И пълнеше пещерите си с плячка, И рововете си с грабеж?
Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
13 Ето, Аз съм против тебе, казва Господ на Силите; Ще изгоря колесниците й всред дим, И мечът ще изпояде младите ти лъвове; Ще изтребя плячката ти от земята; И няма да се чуе гласът на пратениците ти.
“Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”

< Наум 2 >