< Йоан 20 >
1 В първия ден на седмицата Мария Магдалина дохожда на гроба сутринта, като беше още тъмно, и вижда, че камъкът е дигнат от гроба.
Mapema siku ya kwanza ya juma, kungali bado giza, Mariamu Magdalena alikuja kaburini; akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini.
2 Затова се затича и дохожда при Симона Петра и при другия ученик, когото обичаше Исус, и им казва: Дигнали Господа от гроба, и не знаем где са Го положили.
Kwa hiyo akakimbia mbio kwenda kwa Simon Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, kisha akawaambia, “wamemchukua Bwana kaburini, nasi hatujui kule walikomlaza.”
3 И тъй, Петър и другият ученик излязоха и отиваха на гроба;
Kisha Petro na yule mwanafunzi mwingine wakatoka, kuelekea kaburini.
4 И двамата тичаха заедно, но другият ученик надвари Петра и стигна пръв на гроба.
Wote walipiga mbio kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine alikimbia kwa kasi zaidi ya Petro nakufika kaburini wa kwanza.
5 И като надникна, видя плащаниците сложени, но не влезе вътре.
Akasimama na kisha kuangalia kaburini; akaiona ile sanda ya kitani imelala, lakini hakuingia ndani.
6 След него дойде Симон Петър и влезе в гроба; видя плащаниците сложени,
Kisha Simon Petro naye akafika akaingia ndani ya Kaburi. Akaiona ile sanda ya kitani imelala pale
7 и кърпата, която беше на главата Му, не сложена с плащаниците, а свита на отделно място.
na ile leso iliyokuwa kichwani pake haikuwa imelala pamoja na zile sanda za kitani bali ilikuwa imelala pembeni peke yake.
8 Тогава влезе другият ученик, който пръв стигна на гроба; и видя и повярва.
Ndipo yule mwanafunzi mwingine naye alipoingia ndani ya kaburi; akaona na kuamini.
9 Защото още не бяха разбрали писанието, че Той трябваше да възкръсне от мъртвите.
Kwa kuwa hadi wakati huo walikuwa bado hawajayajua maandiko kwamba ilimlazimu Yesu afufuke tena katika wafu.
10 И тъй, учениците се върнаха пак у тях си.
Kisha wanafunzi wakaenda tena nyumbani kwao.
11 А Мария стоеше до гроба отвън и плачеше; и така, като плачеше надникна в гроба,
Hata hivyo, Mariamu alikuwa amesimama kaburini akilia, alivyokuwa akiendelea kulia alisimama kisha akatazama kaburini.
12 и вижда два ангела в бели дрехи седнали там гдето бе лежало Исусовото тяло, един откъм главата, и един откъм нозете.
Akaona malaika wawili wenye sura nyeupe wamekaa mmoja kichwani na mwingine miguuni mahali ambapo Yesu alikuwa amelala.
13 И те - казват: Жено, защо плачеш? Казва им: Защото дигнали Господа мой, и не знам где са Го положили.
Nao wakamwambia, “Mwanamke, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Ni kwa sababu wamemchukua Bwana wangu, nami sijui walikomweka.”
14 Като рече това, тя се обърна назад и видя Исуса, че стои, но не позна, че беше Исус.
Alipokwisha sema hayo, aligeuka na kumwona Yesu akiwa amesimama. Lakini hakutambua kama huyo alikuwa Yesu.
15 Казва - Исус: Жено защо плачеш? кого търсиш? Тя, като мислеше, че е градинарят, казва Му: Господине, ако ти си го изнесъл, кажи ми где си Го положил, и аз ще Го дигна.
Naye Yesu akamwambia, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Naye huku akidhani kuwa ni mtunza bustani akamwambia, “Bwana, kama ni wewe uliyemchukua, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.”
16 Казва - Исус: Марийо! Тя се обърна и Му рече на еврейски: Равуни! което значи, Учителю!
Yesu akamwambia, “Mariamu.” Naye akageuka mwenyewe na kumwambia kwa Kiaramu, “Raboni,” yaani hii ni kusema, “Mwalimu.”
17 Казва - Исус: Не се допирай до Мене, защото още не съм се възнесъл при Отца; но иди при братята Ми и кажи им: Възнасям се при Моя Отец и вашия Отец, при Моя Бог и вашия Бог.
Yesu akamwambia, “Usiniguse, kwani bado sijapaa kwenda kwa baba; bali uende kwa ndugu zangu ukawaambie kuwa nitapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye pia ni Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
18 Мария Магдалина дохожда и известява на учениците, че видяла Господа, и че Той - казал това.
Mariamu Magdalena akaja kuwaambia wanafunzi, “Nimemwona Bwana,” na kwamba amemwambia mambo haya.
19 А вечерта на същия ден, първия на седмицата, когато вратата на стаята, гдето бяха учениците, беше заключена поради страха от юдеите, Исус дойде, застана посред, и каза им: Мир вам!
Na ilipokuwa jioni, siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, na milango ikiwa imefungwa mahali wanafunzi walipokuwapo kwa kuwahofia Wayahudi, Yesu alikuja na kusimama katikati yao na kuwaambia, “Amani iwe kwenu.”
20 И като рече това, показа им ръцете и ребрата Си. И зарадваха се учениците като видяха Господа.
Alipokwisha sema haya akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Nao wanafunzi walipomwona Bwana walifurahi.
21 И Исус пак им рече: Мир вам! Както Отец изпрати Мене, така и Аз изпращам вас.
Kisha Yesu akawaambia tena, “Amani iwe nanyi. Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi.”
22 И като рече това, духна върху тях и им каза: Приемете Светия Дух.
Yesu alipokwisha sema hayo, akawavuvia akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
23 На които простите греховете, простени им са, на които задържите задържани са.
Yeyote mmsameheye dhambi, wamesamehewa; na wale mtakaowafungia watafungiwa.”
24 А Тома, един от дванадесетте наречен Близнак, не беше с тях, когато дохожда Исус.
Thomaso, mmoja wa wale kumi na wawili, aliyeitwa Didimas, hakuwa na wanafunzi wenzake Yesu alipokuja.
25 Затова другите ученици му казаха: Видяхме Господа. А той им рече: Ако не видя на ръцете Му раните от гвоздеите, и не туря ръката си в ребрата Му, няма да повярвам.
Wale wanafunzi wengine waka mwambia baadaye, “Tumemwona Bwana.” Naye akawambia, “Kama sitaona alama za misumari katika mikono yake, na kuweka vidole vyangu kwenye hizo alama, na pia kuweka mkono wangu kwenye ubavu wake sitaamini.”
26 И подир осем дни учениците Му пак бяха вътре, и Тома с тях. А Исус дохожда, като беше заключена вратата, застана насред, и рече: Мир вам!
Baada ya siku nane wanafunzi walikuwa chumbani tena, naye Thomaso alikuwa pamoja nao. Wakati milango ilipokuwa imefungwa Yesu alisimama katikati yao. na akasema, “Amani na iwe nanyi.”
27 Тогава каза на Тома: Дай си пръста тука и виж ръцете Ми, и дай ръката си и тури я в ребрата Ми; и не бъди невярващ, а вярващ.
Kisha akamwambia Thomaso, leta kidole chako na uone mikono yangu; leta hapa mikono yako na uweke kwenye ubavu wangu; wala usiwe asiyeamini bali aaminiye.”
28 Тома в отговор Му рече: Господ мой и Бог мой!
Naye Thomaso akajibu na kumwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu.”
29 Исус му казва: Понеже Ме видя, [Томо], ти повярва, блажени ония, които, без да видят, са повярвали.
Yesu akamwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini. Wamebarikiwa wao wanaoamini, pasipokuona.”
30 А Исус извърши пред учениците още много други знамения, които не са вписани в тая книга.
Kisha Yesu alifanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi, ambazo hazijawahi kuandikwa katika kitabu hiki;
31 А тия са написани за да повярвате, че Исус е Христос, Божият Син, и, като вярвате, да имате живот в Неговото име.
bali hizi zimeandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo, mwana wa Mungu, na kwamba muaminipo muwe na uzima katika jina lake.