< Езекил 9 >
1 Тогава Той извика в ушите ми с висок глас и рече: Нека се приближат ония, на които е заръчано за града, всеки с изтребителното си оръжие в ръка.
Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”
2 И, ето, шест мъже идеха по пътя от горната порта, която гледа към север, всеки с разрушително оръжие в ръка, и всред тях един човек облечен в ленено, с писарска мастилница на кръста му; и като влязоха застанаха при медния олтар.
Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.
3 И славата на Израилевия Бог се издигна от херувимите, над които бе, та застана над прага на дома; и Той извика към облечения в ленено мъж, който имаше на кръста си писарска мастилница.
Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo Bwana akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,
4 И Господ му рече: Мини през града, през Ерусалим, и тури белег върху челата на мъжете, които въздишат и плачат поради всичките мерзости, които стават всред него.
akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”
5 А на другите рече, като слушах аз: Минете подир него през града, та поразете; окото ви да не пощади, нито да покаже милост;
Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.
6 старци, юноши и девици, младенци и жени избийте съвсем; но не се приближавайте при никого от ония, върху които е белегът; и започнете от светилището Ми. Прочее те започнаха от старейшините, които бяха пред дома.
Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.
7 Тогава им рече: Осквернете дома, и напълнете дворовете с убити; излезте. И излязоха та поразяваха в града.
Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.
8 А те като поразяваха и аз останах, паднах на лицето си, извиках, и рекох: Горко, Господи Иеова! ще изтребиш ли всичките останали от Израиля като изливаш гнева си върху Ерусалим?
Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”
9 И Той ми рече: Беззаконието на Израилевия и на Юдовия дом стана твърде голямо; земята е пълна с кръв, и градът пълен с извращение на съд; защото си думат: Господ е напуснал земята, и: Господ не вижда.
Bwana akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘Bwana ameiacha nchi, Bwana hauoni.’
10 Затова, и от Моя страна, окото Ми няма да пощади, и Аз няма да покажа милост, а ще възвърна постъпките им върху главите им.
Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”
11 И ето, облечения в ленено мъж, който имаше на кръста си мастилницата, даде отчет за работата, като каза: Направих както Ти ми заповяда.
Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”