< Второзаконие 17 >
1 Да не принасяш на Господа твоя Бог говедо или овца с недостатък или с каква да било недъгавост; понеже това е мерзост на Господа твоя Бог.
Haupaswi kumtolea dhabihu Yahwe Mungu wako ng'ombe au kondoo aliye na kasoro au kitu chochote kibaya, kwa kuwa hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
2 Ако се намери всред вас, в някой от градовете ти, които Господ твоят Бог ти дава, мъж или жена да стори зло пред Господа твоя Бог, като престъпи завета Му,
Kama kunapatikana miongoni mwenu, ndani ya malango ya mji wowote ambao Yahwe Mungu wenu anawapatia, mwanaume yoyote au mwanamke ambaye anafanya uovu mbele ya Yahwe Mungu wenu kuiharibu agano lake -
3 и отиде та послужи на други богове и им се поклони, - на слънцето, или на луната, или какво да било от небесното множество, - нещо което съм запретил,
yoyote ambaye ameenda na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, wala jua, mwezi, au kati ya jeshi la mbinguni- hakuna chochote nimekuamuru,
4 тогава, когато ти се извести това и чуеш, да изпитваш добре, и, ето, ако това нещо е истинно, ако е вярно, че такава мерзост се върши в Израиля,
na kama ungeambiwa kuhusu hiki, au kama una mifugo- basi unapaswa kufanya uchunguzi wa makini. Kama ni kweli na hakika kwamba chukizo kama hilo limefanyika Israeli-
5 то да изведеш вън при портите си мъжа или жената, които са сторили това зло, и да убиеш мъжа или жената с камъни, за да умрат.
-basi utamleta huyo mwanaume au mwanamke, aliyefanya uovu huu, katika malango ya mji, kwamba mwanaume kabisa au mwanamke, na umponde huyo mtu mpaka kufa.
6 Чрез думите на двама или на трима свидетели да се убива оня, който е за смърт; а чрез думите само на един свидетел да се не убива.
Kwa kinywa cha mashahidi wawili, au mashahidi watatu, itakuwa yeye anayepaswa kuuwawa; lakini kwa kinywa cha shahidi mmoja peke hatauwawa.
7 Ръцете на свидетелите да бъдат първи на него, за да го убият, и после ръцете на всичките люде. Така да отмахнеш злото изсред себе си.
Mkono wa mashahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuuwa, na badae mkono wa watu wote; na mtamuondoa muovu miongoni mwenu.
8 Ако се появи някоя работа, която е за тебе много мъчна, да отсъдиш спорни дела отвътре местожителствата си между кръв и кръв, между съдба и съдба, или между побой и побой, тогава да станеш и да отидеш на мястото, което избере Господ твоят Бог,
Kama jambo linatokea ambalo ni gumu kwenu kufanya maamuzi- pengine swali la mauaji au kifo cha ajali, haki ya mtu mmoja na haki ya mtu mwingine, au swali moja la aina ya kuzulu kufanyika, au aina nyingine ya jambo-mambo ya utata ndani ya malango yenu, basi utapaswa kwenda kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kama patakatifu pake.
9 и да идеш при левитските свещеници и при онзи, който ще бъде съдия в онова време, и да ги попиташ; и те ще ти кажат решението на съда.
Utapaswa kwenda kwa makuhani, wazao wa Lawi, na kwa mwamuzi atakayetumika kwa wakati huo; mtatafuta ushauri wao, na watawapa ninyi maamuzi.
10 А ти да постъпиш според присъдата, която ти кажат от мястото, което избере Господ; и да внимаваш да сториш по всичко, което те научат.
Mnapaswa kufuata sheria mliyopewa, katika eneo Yahwe atachagua kama patakatifu pake. Mtakuwa makini kufanya kila kitu ambacho wanawaelekeza kufanya.
11 Да постъпиш според изяснението на закона, както те научат, и според присъдата, която ти рекат; да се не отклоняваш надясно или наляво от присъдата, която ти кажат.
Fuata sheria wanayowafundisha, na kufanya kulingana na maamuzi wanawapa. Msigeuke kutoka kwa kile wanawambia, kwa kulia au kushoto.
12 А човекът, който би постъпил надменно, като не послуша свещеника, който стои да служи там пред Господа твоя Бог, или не послуша съдията, тоя човек да умре; и така да отмахнеш злото от Израиля.
Yeyote anayefanya kwa kiburi, kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama kutumika mbele ya Yahwe Mungu wako, au kwa kutomsikiliza mwamuzi- huyu mtu atakufa; mtaweka mbali uovu kutoka Israeli.
13 Всичките люде, като чуят, ще се убоят и не ще бъдат вече надменни.
Watu wote wanapaswa kusikia na kuogopa, na kutofanya kwa kiburi tena.
14 Когато влезеш в земята, която Господ твоят Бог ти дава, и я завладееш и се заселиш в нея, ако речеш: Ще си поставя цар, както всичките народи, които са около мене,
Wakati mlipokuja kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu anawapa, na wakati mnamiliki na kuanza kuishi ndani yake, na halafu unasema, 'Nitajiwekea mfalme juu yangu, kama mataifa yote yanayonizunguka mimi,'
15 тогава да си поставиш за цар онзи, когото избере Господ твоят Бог; от братята си да си поставиш цар; не бива да поставиш над себе си чужденец, който не ти е брат.
basi unapaswa kwa hakika kujiwekea mfalme juu yako mtu yeyote ambaye Yahwe atachagua. Unapaswa kujiweka kama mfalme juu yako mtu yeyote kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Haupaswi kuweka mgeni, ambaye si ndugu yenu, juu yenu.
16 Но той да не си събира много коне, нито да връща людете в Египет с цел да умножава коне; защото Господ ви е казал: Да се не връщате вече през оня път.
Lakini hapaswi kuzidisha farasi kwa ajili yake, wala kusababisha watu kurudi Misri ili kwamba aweze kuzidisha farasi, kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, 'Unapaswa kuanzia sasa usirudi njia hiyo tena.'
17 Нито да си взема той много жени, за да се не отклони твърде много сребро и злато.
Na hapaswi kuzidisha wake kwa ajili yake, ili kwamba moyo wake usigeuke kotoka kwa Yahwe; wala hapaswi sana kuzidisha kwa ajili yake fedha au dhahabu.
18 А когато седне на царския си престол, нека си направи в една книга препис на тоя закон, от книгата която е пред левитските свещеници.
Wakati aketipo kwenye kiti cha enzi cha ufalme wake, anapaswa kuandika kwenye kitabu kwa ajili yake nakala ya sheria hii, kutoka kwenye sheria ambayo iko mbele ya makuhani, ambao ni Walawi.
19 Преписът да се намира при него, и да прочита в него през всичките дни на живота си, за да се научи да се бои от Господа своя Бог, да пази всичките думи на тоя закон и тия повеления да ги върши;
Kitabu kinapaswa kuwa na yeye, na anapaswa kusoma ndani yake kwa siku zake zote, ili kwamba aweze kujifunza kumheshimu Yahwe Mungu wako, ili kwamba ashike maneno yote ya sheria hii na amri hizi, kuzishika.
20 за да се не надигне сърцето му над братята му и да се не отклонява от заповедта надясно или наляво; за да остане много години на царството си, той и чадата му, всред Израиля.
Anapaswa kufanya hivi ili kwamba moyo wake usiinuliwe zaidi ya ndugu zake, na ili kwamba asigeuke mbali na amri, kwa kulia au kwa kushoto' kwa kusudi kwamba aweze kuzidisha siku zake katika ufalme wake, yeye na watoto wake, miongoni mwa Israel.