< 4 Царе 10 >

1 А Ахаав имаше седемдесет сина в Самария. И Ииуй написа писма та прати в Самария до езраелските началници, до старейшините и до възпитателите на Ахаавовите деца, в които рече:
Basi Ahabu alikuwa na watoto sabini katika Samaria. Yehu akaandika barua na kuzituma kwenda Samaria, kwa watawala wa Yezreeli, pamoja na wazee na walinzi wa wana wa Ahabu akisema,
2 Щом пристигне до вас това писмо, понеже синовете на господаря ви са при вас, и имате колесници и коне, укрепен град и оръжия,
“Wana wa bwana wako wako pamoja na wewe, na wewe pia una magari ya farasi na farasi na kuimarisha mji dhidi ya maadui na silaha. Hivyo basi, haraka iwezekanavyo barua hii ikufikiapo,
3 то вижте кой е най-добър и на-способен от синовете на господаря ви та го поставете на бащиния му престол, и бийте се за дома на господаря си.
mchagueni aliye bora na anayestahili miongoni mwa mtoto wa bwana wenu na kumuweka kwenye kiti cha kifalme cha baba yake, na kupigania ufalme wa bwana wenu.”
4 Но те твърде много се уплашиха, и рекоха: Ето, двамата царе не устояха пред него; и как ще устоим ние?
Lakini waliogopa na kusema miongoni mwao, “Tazama, wafalme wawili hawatasimama mbele ya Yehu. Hivyo tutasimamaje?”
5 И така, домоуправителят, градоначалникът, старейшините и възпитателите на децата пратиха до Ииуя да рекат: Ние сме твои слуги, и ще сторим всичко, каквото ни кажеш; няма да направим никого цар; стори каквото ти се вижда угодно.
Kisha yule mtu ambaye alikuwa kiongozi kwenye nyumba ya mfalme, na wale waliowalea watoto, wakatuma ujumbe kwa Yehu, kusema, “Sisi ni watumishi wako. Tutafanya chochote utakacho tuamuru. Hatutamfanya mtu yeyote kuwa mfalme. Fanya lile lililojema machoni pako.”
6 Тогава им писа второ писмо, в което рече: Ако сте откъм мене, и ако послушате моя глас, отнемете главите на тия човеци, синовете на господаря ви, и утре по това време, дойдете при мене в Езраел. (А царските синове, седемдесетте човека, бяха при градските голезци, които ги възпитаваха).
Kisha Yehu akaandika barua mara ya pili, akisema, “Kama mko upande wangu, na kama mtasikiliza sauti yangu, mtachukua vichwa vya watu wa wana wa mabwana wenu, na mje kwangu Yezreeli kesho mda kama huu.” Ndipo wana wa wafalme, sabini kwa hesabu, waliokuwa watu muhimu huko mjini, ambao walikuwa wakiwaleta.
7 И като стигна писмото до тях, хванаха царските синове, седемдесетте човека, та го изклаха, и туриха главите им в кошници та му ги пратиха в Езраел.
Hivyo barua ilipokuja kwao, waliwachukua wana wa wafalme na kisha kuwaua, watu sabini, wakaweka vichwa vyao kwenye vikapu, na kuivituma kwa Yehu katika Yezreeli.
8 И един пратеник дойде та му извести, казвайки: Донесоха главите на царските синове. А той рече: Турете ги на два купа във входа на портата да стоят до утре.
Mjumbe mmoja akaja kwa Yehu, akisema, “Wamevileta vile vichwa vya watoto wa wafalme.” Hivyo akasema, viwekeni kwenye mafungu mawili kwenye lango hadi asubuhi.”
9 И на сутрента излезе та застана и рече на всичките люде: Вие сте праведни; ето, аз направих заговор против господря си и го убих; но кой изби всички тези?
Asubuhi Yehu akatoka nje na kusimama, na kusema kwa watu wote, “Ninyi hamna hatia. Tazameni, nimefanya fitina dhidi ya bwana wangu na kumuua, lakini ni nani aliyewaua hawa wote?
10 Знайте сега, че няма да падне на земята нищо от Господното слово, което Господ говори против Ахаавовия дом; защото Господ извести онова, което говори чрез слугата Си Илия.
Sasa hakika tafakarini kwamba hakuna sehemu ya neno la Yahwe, lile alilonena Yahwe kuhusu familia ya Ahabu, itaanguka kwenye aridhini, kwa kuwa Yahwe amefanya kile alichokiongea kupitia mtumishi wake Eliya.”
11 И тъй, Ииуй порази всичкоте останали от Ахаавовия дом в Езраел, и всичките му големци, близките му приятели и свещениците му, докле не му остави остатък.
Basi Yehu akawaua wote waliokuwa wamebakia wa familia ya Ahabu katika Yezreeli, na watu wake muhimu wote, marafiki zake wa karibu, na makuhani wake, hakuna hata mmoja wao alisalia.
12 Сетне стана та тръгна и дойде в Самария. И по пътя, като бягаше близо при овчарската стригачница,
Kisha Yehu akainuka na kuondoka; akaenda Samaria. Kadiri alivyokuwa akikaribia Bethi Ekedi ya wachungaji,
13 Ииуй срещна братята на Юдовия цар Охозия, и попита: Кои сте вие? А те отговориха: Ние сме братя на Охозия, и слизаме да поздравим чадата на царя и чадата на царицата.
akamlaki na ndugu wa Ahazia mfalme wa Yuda. Yehu akawaambia, “Ninyi ni akina nani?” Wakajibu, “Sisi ni ndugu zake na Ahazia, na tunashuka chini kuwasalimia watoto wa mfalme na watoto wa Malkia Yezebeli.”
14 И рече: Хванете ги живи. И хванаха ги живи та ги изклаха при рова на стригачницата, четиридесет и двама човека; не остави ни един от тях.
Yehu akawaambia watu wake mwenyewe, “Wachukue wakiwa hai.” Hivyo wakawachukua wakiwa hai na kuwaua kwenye kisima cha Bethi Ekedi, watu wote arobaini na mbili. Hakumwacha hata mmoja wao akiwa hai.
15 И като тръгна от там събра се с Ионадава Рихавовия сен, който идеше да ги посрещне; Ииуй го поздрави и му рече: Право ли е твоито сърце към мене, както е моето сърце към твоето? И Ионадав отговори: Право е. Ако е тъй, каза Ииуй, дай ръката си. И Ииуй го качи при себе си на колесницата, и рече:
Baada ya Yehu kuondoka huko, akakutana na Yehonadabu mwana wa Rekabu anakuja kukutana naye. Yehu akamsalimia na kisha akamwambia, “Je moyo wako uko na mimi, kama moyo wangu ulivyo pamoja na wako?” Yehonadabu akajibu, Ndio.” Yehu akasema, “kama ni ndio, nipatie mkono wako.” Kisha Yehonadabu akampatia mkono wake, na Yehu akampandisha Yehonadabu juu kwenye magari ya farasi pamoja naye.
16 Дойди с мене та виж ревността ми за Господа. Така го качиха в колесницата му.
Yehu akasema, “Fuatana pamoja nami na uone wivu wangu kwa Yahwe.” Hivyo alikuwa na Yehonadabu akiendesha gari la farasi.
17 И когато стигна в Самария, поразяваше всичките останали от Ахаава в Самария догде го изтреби, според словото, което Господ говори на Илия.
Wakati alipokuja Samaria, Yehu akawaua wote waliobakia kutoka uzao wa Ahabu katika Samaria, hata akawaangamiza ukoo wa kifalme wa Ahabu, kama walivyokuwa wameambiwa kabla ya neno la Yahwe, ambalo aliloambiwa Eliya.
18 Тогава Ииуй събра всичките люде та им рече: Ахаав е малко служил на Ваала; Ииуй ще му служи много.
Kisha Yehu akawakusanya watu wote akwaambia, “Ahabu alimtumikia Baali kidogo, lakini Yehu atamtumikia sana.
19 Сега, прочее, повикайте ми всичките пророци на Ваала, всичкоте му служители и всичките му жреци; никой де не отсъствува, защото имам да принеса голяма жертва на Ваала; никой, който отсъствува, нама да остане жив. Но Ииуй направи това с хитрост, с намарение да изтреби Вааловите служители.
Basi niitieni manabii wote wa Baali, wote wamwabuduo, na makuhani wake wote. Asikosekane mtu hata mmoja, kwa kuwa nina dhabihu kubwa nataka kutoa kwa Baali. Yeyote atakayeshindwa kuja hataishi.” Lakini Yehu alifanya haya kwa udanganyifu, kwa dhamira ya kuwaua wanaomwabudu Baali.
20 И тъй, Ииуй рече: Прогласете тържествено събрание за Ваала. И те прогласиха.
Yehu akasema, “Tengeni mda tuwe na mkutano kwa ajili ya Baali.” Hivyo wakalitangaza.
21 И Ииуй прати на целия Израил, та дойдоха всичките Ваалови служители, така че не остана никой, който да не дойде. Дойдоха в капището на Ваала; и Вааловото капище се напълни от край до край.
Kisha Yehu akatuma Israeli yote na wamwabuduo Baali waje, hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja. Walikuja kwenye hekalu la Baali, na ilijaa kutoka mwanzo hadi mwisho.
22 И каза на одеждопазителя: Извади одежди за всичките Ваалови служители. И той им извади одежди.
Yehu akamwambia yule mtu aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani, “Uwatolee mavazi wote wamwabuduo Baali.” Basi yule mtu akawatolea nguo.
23 Тогава Ииуй и Ионадав, Рихавовият син, влязоха във Вааловото капище; и рече на Вааловите служители: Прегледайте и внимавайте да няма някой между вас някой от слегите на Иеова, но да мъдат само служители на Ваала.
Basi Yehu akaingia pamoja na Yohonadabu mwana wa Rekabu kwenye nyumba ya Baali, na kisha akawaambia wanaomwabudu Baali, “Tafuteni na muhahakishe kwamba hakuna mtu hapa pamoja na ninyi kutoka watumishi wa Yahwe, lakini wamwabuduo Baali peke yao.”
24 И когато влязоха да принесат жертви и всеизгаряния, Ииуй нареди отдън осемдесет мъже, на които рече: Който остава да избяга някой от тия човеци, които доведох в ръцете ви, животът му ще се вземе вместо неговия живот.
Kisha wakaenda kutoa dhabihu na sadaka ya kutekeza. Basi Yehu alichagua watu themanini ambao walikuwa wamesimama nje, na aliwaambia, Kama mtu yeyote miongoni mwa hawa watu ambao nimewaleta kwenye mikono yenu atoroke, yeyote atakayemwacha huyo mtu atoroke, maisha yake yatachukuliwa kwa ajili ya yule aliyeokoka.”
25 И като свърши принасянето на всеизгарянето, Ииуй рече на телохранителите и на полководците: Влезте, избийте ги; никой да не избяга. И телохранителите и полководците ги избиха с острото на ножа и ги изхвърлиха вън. После, кото отидоха в града на Вааловото капище,
Hivyo kisha baada ya mda mfupi Yehu alipomaliza kutoa sadaka ya kutekezwa, akamwambia mlinzi na manahodha, “Ingieni na muwaue. Msimwache mtu yeyote atoke.” Basi waliwaua kwa makali ya upanga, na mlinzi na manahodha wakawatupa nje na kwenda kwenye chumba cha ndani cha nyumba ya Baali.
26 извадиха кумирите на Вааловото капище та ги озгориха,
Wakazitoa nguzo za mawe ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Baali, na kisha kuzichoma.
27 строшиха идола на Ваала, съсипаха Вааловото капище, и направиха го бунище, както е до днес.
Kisha wakazivunja zile nguzo za Baali, na kuiharibu nyumba ya Baali na kuifanya choo, ambacho kipo hadi leo.
28 Така Ииуй изтреби Ваала от Израиля.
Hivi ndivyo ambavyo Yehu alivyomharibu muabudu Baali kutoka Israeli.
29 Но Ииуй не са естови от греховете на Еровоама, Наватовия син, който непреви Израиля да греши, то ест, от златните телета, които бяха във Ветил и в Дан.
Lakini Yehu hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo ilfanya Israeli kutenda dhambi-ambayo ni, kumwabudu ndama wa dhahabu katika Betheli na Dani.
30 Тогава Господ рече на Ииуя: Понеже ти добре стори, като извърши това, което е право пред очите Ми, и направи на Ахаавовия дом напълно според това, което бе в сърцето Ми, затова твоите синове до четвъртото поколение ще седят на Израилевия престол.
Hivyo Yahwe akamwambia Yehu, “Kwa kuwa umefanya vema kwa kufanya yaliyo sahihi kwenye macho yangu, na kumailiza kwenye nyumba ya Ahabu kulingana na yote yaliyokuwa kwenye moyo wangu, uzao wako utakaa kwenye kiti cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
31 Обаче, Ииуй не внимаваше да ходи с цялото си сърце в закона на Господа Израилевия Бог; не се остави от греховете на Еровоама, с които направи Израиля да греши.
Lakini Yehu hakujali kutembea kwenye sheria ya Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Hakugeuka kutoka kwenye dhambi za Yeroboamu, ambayo iliwafanya Israeli kutende dhambi.
32 В това време Господ почна да кастри Израиля; защото Азаил ги порази във всичките Израилеви предели,
Siku zile Yahwe akaanza kupunguza mikoa ya Israeli, na Hazaeli kuwashinda Waisraeli mipakani mwa Israeli,
33 от Иордан на изток цялата галаадска земя, гадците, рувимците и манасийците, от Ароир при потока Арнон и Галаад и Васан.
kutoka Yordani upande wa mashariki, nchi yote ya Gileadi, Wagadi, na Wareubeni, na Wamanase, kutoka Aroeri, alipo karibu na bonde la Arnoni, kupita Geleadi hadi Bashani.
34 А останалите дела на Ииуя, всичко що извърши и всичките му юначества, не са ли написани в Книгата на лутописите на Израилевите царе?
Kama kwa mambo mengine yamhusuyo Yehu, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
35 И Ииуй заспа с бащите си; и погребаха го в Самария. И вместо него се възцари син му Иоахаз.
Yehu akalala na wazee wake, na walimzika katika Samaria. Kisha Yehoahazi mwanaye akawa mfalme katika sehemu yake.
36 И времето, през което Ииуй царува над Израиля в Самария, бе двадесет и осем години.
Mda ambao Yehu alitawala juu ya Israeli katika Samaria ulikuwa miaka ishini na nane.

< 4 Царе 10 >