< 2 Летописи 22 >

1 Ерусалимските жители направиха цар вместо Иорама, най-младият му син Охозия; защото четите надошли в стана с арабите бяха избили всичките по-стори. Така се възцари Охозия, син на Юдовия цар Иорам.
Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
2 Охозия бе четиридесет и две години на възраст когато се възцари, и царува една година в Ерусалим. Името на майка му бе Готолия, внука на Амрия.
Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
3 Също и той ходи в пътищата на Ахавовия дом; защото майка му беше негова съветница в нечестието му.
Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
4 Той върши зло пред Господа, както Ахавовия дом; защото подир смъртта на баща му, те му станаха съветници, за неговото погубване.
Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
5 По техния съвет като ходеше, той отиде на бой заедно с Израилевия цар Иорам, син на Ахааза, против Сирийския цар Азаил в Рамот-галаад гдето сирийците и раниха Иорама.
Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 И той се върна в Езраел за да се цери от раните, които му нанесоха в Рама, когато воюваше против сирийския цар Азаил. Тогава Юдовият цар Охозия Иорамовият син, влезе в Езраел за да види Иорама Ахавовия син, защото бе болен.
Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
7 И загиването на Охозия стана от Бога чрез отиването му при Иорама; защото, когато дойде, излезе с Иорама против Ииуя, Намесиевия син, когото Господ бе помазал да изтреби Ахавовия дом.
Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
8 И Ииуй, когато извършваше съдбата против Ахавовия дом, намери Юдовите първенци и синовете на Охозиевите братя, които служеха на Охозия, и ги изби.
Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
9 Тогава потърси и Охозия; и заловиха го, като бе скрит в Самария, и доведоха го при Ииуя та го убиха; и погребаха го, защото рекоха: Син е на Иосафата, който потърси Господа с цялото си сърце. И Охозиевият дом нямаше вече сила да задържи царството.
Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
10 А Готолия, Охозиевата майка, като видя, че синът и умря, стана та погуби целия царски род от Юдовия дом.
Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
11 Но Иосавеета, царската дъщеря, взе Иоаса, Охозиевият син та го открадна изсред царските синове като ги убиваха, и тури него и доилката му в спалнята. Така Иосавеета, дъщеря на цар Иорама, жена на свещеник Иодай, (защото бе сестра на Охозия), скри го от Готолия, та не го уби.
Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
12 И беше при тях, скрит в Божия дом, шест години; а Готолия царуваше на земята.
Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.

< 2 Летописи 22 >