< 2 Летописи 18 >

1 А Иосафат имаше богатство и голяма слава; и направи сватовщина с Ахава.
Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.
2 И подир няколко години слезе при Ахава в Самария. И Ахав закла много овци и говеда за него и за людете, които бяха с него; още ме положи да отиде с него в Рамот-галаад.
Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.
3 Защото Израилевият цар Ахав рече на Юдовия цар Иосафата: Дохождаш ли с мене в Рамот-галаад? И той му отговори: Аз съм както си ти, и мойте люде както твоите люде; ще бъдем с тебе във войната.
Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”
4 Иосафат каза още на Израилевия цар: Моля, допитай се сега до Господното слово.
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”
5 Тогава Израилевият цар събра пророците си, четиристотин мъже, та им рече: Да идем ли на бой в Рамот-галаад, или да не ида? А те казаха: Иди, и Бог ще го предаде в ръката на царя.
Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”
6 Обаче, Иосафат каза: Няма ли тук, освен тия някой Господен пророк, за да се допитаме чрез него?
Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”
7 И Израилевият цар рече на Иосафата: Има още един човек, чрез когото можем да се допитаме до Господа; но аз го мразя, защото никога не пророкува добро за мене, но всякога зло; той е Михей, син на Емла. А Иосафат каза: Нека не говори така царят.
Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
8 Тогава Израилевият цар повика един скопец и рече: Доведи скоро Михея син на Емла.
Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”
9 А Израилевият цар и Юдовият цар Иосафат седяха, всеки на престола си, облечени в одеждите си; и седяха на открито място при входа на самарийската порта; и всичките пророци пророкуваха пред тях.
Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.
10 А Седекия, Ханаановият син, си направи железни рогове, и рече: Така казва Господ: С тия ще буташ сирийците догде ги довършиш.
Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”
11 Също и всичките пророци така пророкуваха, казвайки: Иди в Рамат-галаад, и ще имаш добър успех; защото Господ ще го предаде в ръката на царя.
Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
12 А пратеникът, който отиде да повика Михея, му говори казвайки: Ето, думите на пророците като из една уста са добри за царя; моля, прочее, и твоята дума да бъде като думата на един от тях, и ти говори доброто.
Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”
13 А Михей рече: Заклевам се в живота на Господа, каквото рече Бог мой, това ще говоря.
Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”
14 И той, дойде при царя. И царят му каза: Михее, да идем ли на бой в Рамот-галаад, или да не ида? А той рече: Идете и ще имате успех; защото неприятелите ще бъдат предадени в ръката ви.
Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”
15 А царят му каза: Колко пъти ще те заклевам да не ми говориш друго освен истината в Господното име!
Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?
16 А той рече: Видях целият Израил пръснат по планините като овци, които нямат овчар; и Господ рече: Тия нямат господар; нека се върнат всеки у дома си с мир.
Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”
17 Тогава Израилевият цар каза на Иосафата: Не рекох ли ти, че не ще прорече добро за мене, но зло?
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?
18 А Михей рече: Чуйте, прочее, Господното слово. Видях Господа седящ на престола си, и цялото небесно множество стоящо около него отдясно и отляво.
Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.
19 И Господ рече: Кой ще примами Израилевия цар Ахава за да отиде и да падне в Рамот-галаад? И един, проговаряйки, рече едно, а друг рече друго.
Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.
20 Сетне излезе един дух та застана пред Господа и рече: Аз ще го примамя. И Господ му рече: Как?
Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'
21 А той каза: Ще изляза и ще бъда лъжлив дух в устата на всичките му пророци. И Господ рече: Примамвай го, още и ще сполучиш; излез, стори така.
Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'
22 Сега, прочее, ето, Господ е турил лъжлив дух в устата на тия твои пророци, обаче Господ е говорил зло за тебе.
Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”
23 Тогава Седекия, Ханаановият син, се приближи та плесна Михея по бузата и каза: През кой път мина Господният Дух от мене за да говори на тебе?
Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”
24 А Михей рече: Ето, ще видиш в оня ден, когато ще отиваш из клет в клет за да се криеш.
Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”
25 Тогава Израилевият цар каза: Хванете Михея та го върнете при градския управител Амон и при царския син Иоас,
Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
26 и речете: Така казва царят: Турете тогова в тъмницата, и хранете го със затворническа порция хляб и вода догде се завърне с мир.
Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”
27 И рече Михей: Ако някога се върнеш с мир, то Господ не е говорил чрез мене. Рече още: Слушайте вие, всички люде.
Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”
28 И така, Израилевият цар и Юдовият цар Иосафат възлязоха в Рамот-галаад.
Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.
29 И Израилевият цар рече на Иосафата: Аз ще се предреша като вляза в сражението, а ти облечи одеждите си. Прочее, Израилевият цар се предреши, та влязоха в сражението.
Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.
30 А сирийският цар бе заповядал на колесниценачалниците си, казвайки: Не се бийте нито с малък, нито с голям, но само с Израилевия цар.
Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”
31 А колесниценачалниците, като видяха Иосафата, рекоха: Тоя ще е Израилевият цар; и отклониха се за да го ударят. Но Иосафат извика; И Господ му помогна, защото Бог ги повлия да се отвърнат от него.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.
32 Понеже колесниценачалниците, като видяха, че не беше Израилевият цар, престанаха да го преследват и се върнаха.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.
33 А един човек устрели без да мери, и удари Израилевия цар между ставите на бронята му; затова той рече на колесничаря: Обърни юздата та ме извади из войската, защото съм тежко ранен.
Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”
34 И в оня ден сражението се усили; но Израилевият цар се удържа в колесницата си срещу сирийците до вечерта, и около захождането на слънцето умря.
Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.

< 2 Летописи 18 >