< 2 Летописи 15 >
1 Тогава Божият дух дойде на Азария, Одидовия син,
Roho wa Bwana akamjia Azaria mwana wa Odedi.
2 и излезе да посрещне Аса и му рече: Слушай ме, Асо и целий Юдо и Вениамине: Господ е с вас докато сте вие с Него; и ако Го търсите, ще бъде намерен от вас, но ако Го оставите, Той ще ви остави.
Akatoka ili kumlaki Asa na kumwambia, “Nisikilizeni, Asa na Yuda wote na Benyamini. Bwana yu pamoja nanyi mkiwa pamoja naye. Kama mkimtafuta, ataonekana kwenu, lakini kama mkimwacha yeye, naye atawaacha ninyi.
3 Дълго време Израил остана без истинския Бог, без свещеник, който да поучава, и без закон;
Kwa muda mrefu Israeli walikuwa hawana Mungu wa kweli, walikuwa hawana kuhani wa kuwafundisha na wala hawakuwa na sheria.
4 но когато в бедствието си се обърнаха към Господа Израилевия Бог и Го потърсиха, Той биде намерен от тях.
Lakini katika taabu yao walimrudia Bwana, Mungu wa Israeli na kumtafuta, naye akaonekana kwao.
5 И в ония времена не е имало мир нито за излизащия, нито за влизащия, но големи смутове върху всичките жители на земите.
Katika siku hizo hapakuwa na amani kwa yeyote aliyesafiri, kutoka wala kuingia, kwa kuwa wakazi wote wa nchi walikuwa katika machafuko makubwa.
6 Народ се сломяваше от народ, и град от град; защото Бог ги смущаваше с всякакво бедствие.
Taifa moja lilipigana na taifa lingine na mji mmoja ukapigana na mji mwingine, kwa sababu Mungu alikuwa anawahangaisha kwa taabu za kila aina.
7 А вие се усилвайте, и да не ослабват ръцете ви; защото делото ви ще се възнагради.
Lakini kwa habari yenu ninyi, kuweni hodari wala msikate tamaa, kwa kuwa mtapata thawabu kwa kazi yenu.”
8 И когато чу Аса тия думи и предсказанието на пророк Одида, ободри се, и отмахна мерзостите от цялата Юдова и Вениаминова земя, и от градовете, които бе отнел от Ефремовата хълмиста земя; и поднови Господния олтар, който бе пред Господния трем.
Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na kutoka miji aliyoiteka ya vilima vya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya Bwana iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la Bwana.
9 И събра целия Юда и Вениамина, и живеещите между тях пришелци от Ефрема, Манасия и Симеона; защото мнозина от Израиля прибягваха при него като виждаха, че Господ неговият Бог бе с него.
Kisha akakutanisha Yuda wote, Benyamini na watu kutoka Efraimu, watu wa Manase na Simeoni waliokuwa wanaishi miongoni mwao, kwa maana idadi kubwa walikuwa wamemjia kutoka Israeli walipoona kwamba Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye.
10 Те се събраха в Ерусалим в третия месец, в петнадесетата година от царуването на Аса.
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
11 В това време принесоха жертви Господу от донесените користи, седемстотин говеда и седем хиляди овци.
Wakati huo wakamtolea Bwana dhabihu za ngʼombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka.
12 И стъпиха в завет да търсят Господа Бога на бащите си от цялото си сърце и от цялата си душа,
Wakafanya agano kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote.
13 и да се умъртвява всеки, малък или голям, мъж или жена, който не би потърсил Господа Израилевия Бог.
Wale wote ambao hawangemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke.
14 И заклеха се Господу със силен глас, с възклицание, с тръби, и с рогове.
Wakamwapia Bwana kwa sauti kuu, kwa kupiga kelele, tarumbeta na kwa mabaragumu.
15 И целият Юда се развесели поради клетвата; защото се заклеха от цялото си сърце, и потърсиха Бога с цялата си воля, и Господ им даде покой от всякъде.
Yuda wote wakafurahia kile kiapo kwa sababu walikuwa wameapa kwa moyo wao wote. Wakamtafuta Mungu kwa bidii, naye akaonekana kwao. Kwa hiyo Bwana akawastarehesha pande zote.
16 А още и майка си Мааха цар Аса свали да не бъде царица, понеже тя бе направила отвратителен идол на Ашера; и Аса съсече нейния идол, стри го, та го изгори при потока Кедрон.
Mfalme Asa akamwondolea Maaka mama yake wadhifa wake kama mama malkia kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo, akaivunjavunja na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.
17 Но високите места не се премахнаха от Израиля; сърцето, обаче, на Аса бе съвършено през всичките му дни.
Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika Israeli, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.
18 И той донесе в Божия дом посветените от баща му вещи, и посветените от самия него, сребро, злато и съдове.
Akaleta ndani ya Hekalu la Mungu fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.
19 И нямаше вече война до тридесет и петата година от царуването на Аса.
Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.