< 3 Царе 3 >

1 А Соломон се сроди с египетския цар Фараона, като взе Фараоновата дъщеря; и доведе я да живее в Давидовия град догде да свърши съграждането на своя дом, и на Господния дом и не стената около Ерусалим.
Sulemani akawa na ushirikiano wa kindoa na Farao mfalme wa Misri. Alimwoa binti wa Farao na kumleta katika mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake, nyumba ya BWANA, na ukuta wa Yerusalemu.
2 Но людете жертвуваха по високите места, понеже до онова време нямаше дом съграден за Господното име.
Watu walikuw wakitoa sadaka kwenye maeneo ya juu, kwa sababu hapakuwa bado na nyumba iliyokuwa imejengwa kwa jina la BWANA.
3 И Соломон възлюби Господа, и ходеше в повеленията на баща си Давида; само че жертвуваше и кадеше по високите места.
Sulemani alionyesha upendo wake kwa BWANA kwa kutembea katika maagizo ya Daudi baba yake, isipokuwa tu alitoa dhabihu na kuchoma uvumba mahali pa juu.
4 И царят отиде в Гаваон, за да принесе там жертва, защото това бе главното високо място; хиляда всеизгаряния принесе Соломон на оня олтар.
Mfalme akaenda Gibioni kutoa sadaka kule, kwa kuwa hilo ndilo lilikuwa eneo kuu la juu. Sulemani katoa sadaka maelfu katika madhabu hiyo.
5 А в Гаваон Господ се яви на Соломона на сън през нощта; и рече Бог: Искай какво да ти дам.
BWANA akaonekana kwa Sulemani huko Gibioni katika ndoto ya usiku; akasema, “Omba! uanataka nikupe nini?”
6 А Соломон каза: Ти показа голяма милост към слугата Си баща ми Давида, понеже той ходи пред Тебе във вярност, в правда и в сърдечна правота с Тебе; и Ти си запазил за него тая голяма милост, че си му дал син да седи на престола му, както е днес.
Kwa hiyo Sulemani akasema, “umeonyesha uaminifu wa agano mkuu kwa mtumishi wako, Daudi baba yangu, kwa sababu alitembea mbele yako kwa ukweli na uaminifu, katika haki ya moyo na katika unyofu wa moyo. Umetunza kwa ajili yake hili agano kuu kwa uaminifu na umempa mwana wake kuketi kwenye kiti chake cha enzi leo.
7 И сега, Господи Боже мой, Ти си направил слугата Си цар вместо баща ми Давида; а аз съм малко момче; на зная как да се обхождам.
Na sasa, BWANA, Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako kuwa mfalme katika nafasi ya Daudi baba yangu, japo mimi ni mtoto mdogo. Sijui namna ya kuiingia na kutoka.
8 И слугата Ти е всред Твоите люде които Ти си избрал, люде много, които поради множеството си не могат да се изброят, нито да се пресметнат.
Mtumishi wako yuko katikati ya watu wako uliowachagua, kundi kubwa, watu wangi wasiohesabika.
9 Дай, прочее, на слугата Си разумно сърце, за да съди людете Ти, за да различава между добро и зло; защото кой може да съди тоя Твой голям народ;
Kwa hiyo umpe mtumishi wako moyo wa uelewa wa kuwahukumu watu wako. Kwani ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?”
10 И тия думи бяха угодни Господу, понеже Соломон поиска това нещо.
Ombi hili la Sulemani likampendeza Bwana.
11 И Бог му каза: Понеже ти поиска това нещо, и не поиска за себе си дълъг живот, нито поиска за себе си богатство, нито поиска смъртта на неприятелите си, но поиска за себе си разум за да разбираш правосъдие,
Kwa hiyo Mungu akamwambia. “Kwa sababu umeomba jambo hili na haujajiombea maisha marefu au utajiri au uhai wa maadui wako, lakini umeomba ufahamu wa kutambua hukumu ya haki,
12 ето, сторих според както си казал; ето, дадох ти мъдро и разумно сърце, така щото преди тебе не е имало подобен на тебе, нито подир тебе ще се издигне подобен на тебе.
Tazama sasa nitafanya yote uliyoniomba wakati uliponipa ombi lako. Ninakupa moyo wa hekima na ufahamu, kwa kuwa hapajawahi kuwa na mtu wa kuwa kama wewe kabla yako, na hakuna wa kuwa kama wewe atakayeinuka baada yako.
13 А при това ти дадох каквото не си поискал - и богатство и слава, така щото между царете не ще има подобен на тебе през всичките ти дни.
Pia ninakupa hata ambayo hujaomba, vyote heshima na utajiri, ili kwamba pasije pakawa na mfalme wa kuwa kama wewe katika siku zako zote.
14 И ако ходиш в Моите пътища, и пазиш повеленията Ми и заповедите Ми, както ходи баща ти Давид, тогава ще продължа дните ти.
Kama utatembea katika njia zangu na kuyatunza maagizo yangu na maagizo yangu, kama alivyofanya baba yako Daudi, ndipo nitakapoziongeza siku zako.”
15 И събуди се Соломон; и, ето, бе сън. След това, дойде в Ерусалим и като застана пред ковчега на Господния завет, пожертвува всеизгаряния и принесе примирителни приноси; направи и угощение на всичките си слуги.
Kisha Sulemani alipoamka, na tazama, ilikuwa ndoto. Akaja Yerusalemu na akasimama mbele ya sanduku na agano la Bwana. Akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, na akawafanyia sherehe watumishi wake wote.
16 Тогава дойдоха при царя две блудници та застанаха пред него.
Kisha wanawake wawili waliokuwa makahaba wakaja mbele ya mfalme wakasimama mbele yake.
17 И едната жена рече: О, господарю мой! аз и тая жена живеем в една къща; и аз родих като живеех с нея в къщата.
Mwanamke mmoja akasema, “Aa, bwana wangu, mwanamke huyu na mimi tunaishi katika nyumba moja, Nilizaa mtoto tukiwa pamoj na yeye katika nyumba yetu.
18 И на третия ден, откак родих аз, роди и тая жена; и ние бяхме сами заедно, нямаше външен човек с нас в къщата, само ние двете бяхме в къщата.
Ikatokea siku ya tatu baada ya kujifungua na yeye akajifungua. Tulikuwa sisi tu. Hapakuwepo na mtu mwingine yeyote katika nyumba yetu, ila sisi tu wawili katika hiyo nyumba.
19 И през нощта умря синът на тая жена, понеже го налегнала.
Kisha mtoto wa mwanamke huyu akafa wakati wa usiku, kwa sababu alimlalia.
20 А тя, като станала посред нощ, взела сина ми от при мене, когато слугинята ти спеше, та го турила на своята пазуха, а своя мъртъв син турила на моята пазуха.
kwa hiyo akamka wakati huo wa usiku wa manane akamchukua mwanangu toka pembeni yangu, wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa usingizini, na akamlaza kwenye kifua chake, na akamlaza mtoto wake aliyekufa juu ya kifua changu.
21 И в зори, като станах, за да накърмя сина си, ето, той бе мъртъв; но на утринта, като го разгледах, ето, не бе моят син, когото бях родила.
Asubuhi nilipoamka ili kumhudumia mwanangu, nikaona kuwa alikuwa amekufa. Lakini nilipomwangalia kwa makini wakati huo wa asubuhi, nikagundua kuwa hakuwa yule mwanangu niliyezaa,”
22 А другата жена рече: Не, но живият е моят син, и мъртвият е твоят син. А тая рече: Не, но мъртвият е твоят син, а живият е моят син. Така говориха пред царя.
Yule mwanamke mwingine akasema, “Hapana, Huyu aliye hai ndiye wangu. Na yule aliyekufa ndiye wako.” Yule mwanamke wa kwanza akasema, “Hapana, Yule mtoto aliyekufa ndiye mwanao, na huyu aliye hai ndiye wangu.” Hivi ndivyo walivyoongea mbele ya mfalme.
23 Тогава царят рече: Едната казва: Тоя живият е моят син, а мъртвият е твоят син; а другата казва: Не, но мъртвият е твоят син, а живият е моят син.
Kisha mfalme akasema, “Mmoja wenu anasema, 'huyu aliye hai ni wangu, na kumbe mwanao ndiye aliye kufa,'na mwingine naye anasema, 'Hapana, mwanao ni yule aliyekufa, na mwanangu ni huyu aliye hai.'”
24 И царят рече: Донесете ми нож. И донесоха нож пред царя.
Mfalme akasema, ''Nileteeni upanga.” Kwa hiyo wakaleta upanga kwa mfalme.
25 И царят рече: Разделете на две живото дете, и дайте половината на едната и половината на другата.
Kisha mfalme akasema, “Mgawe mtoto aliye hai katika vipande viwili, na huyu mwanamke apewe nusu na yule mwingine naye apewe nusu.”
26 Тогава оная жена, чието беше живото дете, говори на царя (защото сърцето й я заболя за сина й), казвайки: О господарю мой! дай й живото дете, и недей го убива. А другата рече: Нито мое да е, нито твое; разделете го.
Yule mwanamke mwenye mtoto aliyekuwa hai akamwambia mfalme, kwa kuwa moyo wake ulikuwa na huruma sana kwa mwanae, akasema, “Aa, bwana wangu, mpatie huyu mtoto aliye hai, na usimwue kamwe.” Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Hatakuwa wangu wala wako. Mgawe.”
27 Тогава царят в отговор рече: Дайте на тая живото дете, и недейте го убива; тая е майка му.
Ndipo mfalme aliposema, “Mpe yule mwanamke wa kwanza mtoto aliye hai, na kamwe usimwue. Yeye ndiye mama wa mtoto huyu.”
28 И целият Израил чу за съда който царят отсъди; и бояха се от царя, защото видяха, че Божия мъдрост имаше в него, за да раздава правосъдие.
Israeli wote waliposikia hukumu ambayo mafalme ametoa, walimwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa hekima ya Mungu ilikuwa ndani yake kwa ajili ya kutoa kuhukumu.

< 3 Царе 3 >