< 3 Царе 11 >

1 А цар Соломон залюби, освен Фараоновата дъщеря, много чужденки, моавки, амонки, едомки, сидонки, хетейки,
Basi mfalme Sulemani aliwapenda wanawake wengi wa kigeni: binti wa Farao na wanawake wa Wamoabu, Waamori, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti - Haya na
2 от народите за които Господ каза на израилтяните: Не влизайте при тях, нито те да влизат при вас, за да не преклонят сърцата ви към боговете си. Към тях Соломон се страстно прилепи.
mataifa ambayo BWANA alikuwa amewaambia Waisraeli kwamba, “Msiwaoe, wala binti zenu kuolewa nao, kwani kwa hakika wataigeuza mioyo yenu ili mfuate miungu yao.” Lakini Sulemani aliwapenda wanawake hao.
3 Имаше седемстотин жени княгини и триста наложници; и жените му отвърнаха сърцето му.
Sulemani alikuwa na wanawake halali mia saba na masuria mia tatu. Wake zake waliugeuza moyo wake.
4 Защото, когато остаря Соломон, жените му преклониха сърцето му към други богове; и сърцето му не беше съвършено пред Господа неговия Бог, както сърцето на баща му Давида.
Kwa kuwa Sulemani alipozeeka, wake zake waliugeuza moyo wake kwa miungu mingine; hakuutoa moyo wake wote kwa BWANA, Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
5 Защото Соломон отиде след Астарта, богинята на сидонците, и след Мелхома, мерзостта на амонците.
Kwani Sulemani alimfuata Ashtoreth, mungu mke wa Wasidoni, na alimfuata Milkom, ambayo ni sanamu chukizo ya Waamori.
6 Така Соломон стори зло пред Господа, и не следваше съвършено Господа, както беше сторил баща му Давид.
Sulemani akafanya maovu mbele ya BWANA; hakumfuata BWANA kwa moyo wake wote, kama alivyofanya Daudi baba yake.
7 В това време Соломон издигна високо място на Хамоса, мерзостта на Моава, и на Молоха, мерзостта на амонците, в хълма, който е срещу Ерусалим.
Kisha Sulemani akajenga mahali pa juu pa Kemoshi, ambayo ni sanamu chukizo ya Wamoabu, mashariki mwa Yerusalemu juu ya kilima, na vivyo hivyo na Moleki, Sanamu chukizo ya Waamoni.
8 Така направи и за всичките си чужденки жени, които кадяха и жертвуваха на боговете си.
Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa sadaka kwa miungu yao.
9 Така направи и за всичките си чужденки жени, които кадяха и жертвуваха на боговете си.
BWANA alichukizwa na Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umemwacha Mungu wa Israeli, ingawa alikuwa amejionyesha kwake mara mbili
10 А Господ се разгневи на Соломона, понеже сърцето му се отвърна от Господа Израилевия Бог, Който му се яви два пъти.
na kumwamuru juu ya mambo haya, kwamba asiwaendee miungu wengine. Bali Sulemani hakutii kile ambacho BWANA alikuwa amemwamuru.
11 Затова, Господ каза на Соломона: Понеже това е сторено от тебе, и ти не опази завета Ми о повеленията, които ти заповядах, непременно ще откъсна царството от тебе, и ще го дам на слугите ти.
Kwa hiyo BWANA akamwambia Sulemani, “Kwa kuwa umeyafanya haya haukulishika agano langu na maagizo ambayo nilikuamuru, basi nitaugawa ufalme kutoka kwako na kuwapatia watumishi wako.
12 Но заради баща ти Давида, в твоите дни няма да направя това; от ръката на сина ти що го откъсна.
Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, sitalifanya hilo wakati wa uhai wako, bali nitaugawa wakati ukiwa chini ya mwanao.
13 Обаче, няма да откъсна цялото царство; едно племе ще дам на сина ти, заради слугата Ми Давида и заради Ерусалим, който избрах.
Bado sitaugawanya ufalme wote; Nitampa mwanao kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu, ambayo nimeichagua.”
14 След това, Господ подигна противник на Соломона, едомеца Адад, който бе от царското потекло в Едом.
Kisha BWANA akamwinulia uadui Sulemani, Hadadi Mwedomu. Alikuwa anatoka kwenye familiia ya mfalme wa Edomu.
15 Защото, когато Давид бе в Едом, и военачалникът Иоав възлезе да погребе избитите, като беше убил всекиго от мъжки пол в Едом,
Daudi alipokuwa Edomu, Yoabu mkuu wa jeshi alikuwa ameenda kuzika mfu, kila mtu aliyekuwa ameuawa kule Edomu.
16 (понеже Иоав седя там с целия Израил шест месеца, докато изтреби всекиго от мъжки пол в Едом),
Yoabu na Israeli yote walibaki huko kwa miezi sita mpaka alipokuwa amewaua wanaume wote wa Edomu.
17 Адад побягна, и с него няколко едомци от слугите на баща му, за да отидат в Египет; а Адат беше още малко дете.
Lakini Hadadi alichulukuliwa na Waedomu wengine na watumishi wa baba yake hadi Misri, kuanzia Hadadi alipokuwa mtoto mdogo.
18 Като станаха от Мадиам, дойдоха във Фаран; и вземайки със себе си мъже от Фаран, дойдоха в Египет при египетския цар Фараон, който му даде къща, определи му храна и му даде земя.
Waliondoka Midiani wakaja Parani, ambapo walichukuliwa na wanaume mpaka Misri, kwa Farao wa Misri, ambaye alimpa nyumba na ardhi yenye chakula.
19 И Адад придоби голямо благоволение пред Фараона, така щото той му даде за жена балдъза си, сестра на царицата Тахпенеса,
Hadadi alipata neema kubwa machoni pa Farao, kwa hiyoFarao akampatia mke, umbu wa mke wake mwenyewe, umbu la Tapenesi aliyekuwa Malkia.
20 И Тахпенесината сестра му роди сина му Генуват, когото Тахпенеса отби във Фараоновата къща; и Генуват бе в дома на Фараона между неговите синове.
Naye huyo umbu la Tapenesi alimzalia Hadadi mwana. Wakamwita jina lake Genubathi. Tapenesi akamlea katika ikulu ya Farao. Kwa hiyo Genubathi alikulia kwenye ikulu ya Farao pamoja na watoto wa Farao.
21 И когато Адад чу в Египет, че Давид заспал с бащите си, и че военачалникът Иоав умрял, Адад каза на Фараона: Отпусни ме да си отида в моята страна.
Naye alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kuwa Daudi alishalala na mababu zake na kwamba Yoabu mkuu wa majeshi alishakufa, Hadadi akamwambia Farao, “Acha niondoke nirudi nchini kwangu.”
22 А Фараон му каза: Ами от що си лишен при мене та искаш да отидеш в страната си? И отговори: От нищо; но както и да е, отпусни ме.
Lakini Farao alimwambia, “Umepungukiwa nini kwangu, kwamba sasa unatafuta kurudi nchini kwako?” Naye Hadadi akamjibu, “Hapana kitu lakini tafadhali niache niende.”
23 Бог му подигна и друг противник, Резона Елиадевия син, който бе побягнал от господаря си Ададзера, софския цар.
Pia Mungu akamwinulia Sulemani adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri mfalme wa Soba.
24 И който, като събра около себе си мъже, стана главатар на чета, когато Давид порази совците; и те отидоха в Дамаск та се зеселиха там, и царуваха в Дамаск.
Rezoni alijikusanyia wanaume naye akawa mkuu wa jeshi dogo, Daudi ali owapiga wanaume wa Soba. Wale wanume Rezoni walienda Dameski kuishi huko, na Rezoni aliitawala Dameski.
25 Той бе противник на Израиля през всичките Соломонови дни; и освен пакостите които направи Адад, Резон досаждаше на Израиля като царуваше над Сирия.
Yeye akawa adui wa Israeli katika siku zote za mfalme Sulemani, zaidi ya madhara ambayo Hadadi alisababisha. Rezoni akawachukia Israeli na akawa juu ya Shamu
26 Също и Еревоам Наватовия син, ефремец от Сарида, Соломонов слуга, чиято майка, една вдовица, се наричаше Серуа, и той дигна ръка против царя.
Kisha Yeroboamu mwana wa Nebati, mwefraimu wa Sereda, akida wa Sulemani, ambaye jina la mama yake lilikuwa Serua, mjane, pia akainua mkono wake dhidi ya mfalme.
27 А ето причината, по която той дигна ръка против царя: Соломон беше съградил Мило, и когато поправяше разваленото в стената на града на баща си Давида,
Kisa cha kuinua mkono wake kinyume cha mfalme ilikuwa ni mfalme Sulemani kujenga Milo na kufunga mahali palipobomoka katika mji wa Daudi baba yake.
28 тоя Еровоам, човек силен и храбър, бе там; и Соломон, като видя, че момъкът беше способен за работа, постави го надзирател над всичката работа наложена върху Иосифовия дом.
Yeroboamu alikuwa mtu hodari na shujaa. Sulemani akaona kuwa huyo kijana alikuwa na bidii, kwa hiyo akampa kuwa na mamlaka juu ya wafanyakazi katika nyumba ya Yusufu.
29 А в това време, като беше излязъл Еровоам из Ерусалим, намери го на пътя пророк Ахия силонецът, облечен в нова дреха; и двамата бяха сами на полето.
Wakati huo, Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya Mshilo akamkuta barabarani. Sasa Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya na kwamba hawa wawili walikuwa pekee yao kondeni.
30 И Ахия хвана новата дреха, която носеше, и разкъса я на дванадесет части.
Kisha Ahiya akalishika lile vazi jipya ambalo alikuwa nalo na akalichana katika vipande kumi na viwili.
31 И рече на Еровоама: Вземи си десет части; защото така казва Господ Израилевият Бог: Ето, ще откъсна царството от Соломоновата ръка, и ще дам на тебе десет племена;
Akamwambia Yeroboamu. “Chukua vipande kumi, kwani BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Tazama, Nitaugawa ufalme toka katika mkono wa Sulemani nami nitakupa makabila kumi.
32 (ще остане, обаче, нему едни племе, заради слугата Ми Давида, и заради Ерусалим, града който избрах между всичките Израилеви племена);
(lakini Sulemani atabaki na kabila moja, kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na kwa ajili ya mji wangu Yerusalemu - mji ambao nimeuchagua toka kwenye kabila zote za Israeli),
33 защото оставиха Мене та послужиха на Астарта, богинята на сидонците, на Хамоса, бога на моавците, и на Мелхома, бога на амонците, и не ходиха в пътищата Ми, да вършат онова, което е право пред Мене, и да пазят повеленията Ми, и съдбите Ми, както правеше баща му Давид.
kwa kuwa ameniacha na kumwabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi Mungu wa Wamoabu, na Milikomu mungu wa watu wa Amoni. Wameziacha njia zangu, hawakufanya kilicho chema katika macho yangu, wala hawa kuzishika amri na maagizo yangu, kama alivyofanya Daudi baba yake.
34 Не ща, обаче, да отнема цялото царство от ръката му, но ще го поставя владетел през всичките дни на живота ме, заради слугата Ми Давида, когото избрах, защото той пазеше заповедите Ми и повеленията Ми.
Hata hivyo. Stauchukua ufalme wote toka kwenye mkono wa Sulemani. Badala yake, nimemfanya kuwa mtawala katika siku zake zote za uhai wake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu ambaye nilimchagua, mtu ambaye alizishika amri na maagizo yangu.
35 Обаче, ще отнема царството от ръката на сина му, и ще го дам на тебе, сиреч, десет племена;
Bali nitauchukua ufalme ukiwa chini ya mkono wa mwanae na nitakupa wewe, makabila kumi.
36 А на сина му ще дам едно племе, тъй щото слугата Ми Давид да има всякога светилник пред мене в Ерусалим, в града, който избрах за себе Си, за да настаня там името Си.
Nitampa kabila moja mwana wa Sulemani ili kwamba Daudi mtumishi wagu atabaki kuwa nuru mbele yangu huko Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua ili niweke jina langu.
37 А тебе ще взема, и ти ще царуваш над всичко, което желае душата ти, и ще бъдеш цар над Израиля.
Nami nitakuchukua, nawe utatawala ili kutimiza haja yako, nawe utakuwa mfalme juu ya Israeli.
38 И ако слушаш всичко, което ти заповядвам, и ходиш в пътищата Ми, и вършиш всичко, което е право пред Мене, като пазиш повеленията Ми и заповедите Ми, както правеше слугата Ми Давид, тогава ще бъда с тебе, и ще ти съградя непоклатим дом, както съградих на Давида, и ще ти дам Израиля.
Kama utasikiliza yote ninayokuagaza, na kama utatembea katika njia zangu na kufanya kinachopendeza mbele ya macho yangu, ukayashika maagizo na amri zangu, kama Daudi mtumishi wangu alivyofanya, ndipo nitakapokuwa na wewe na nitakujengea nyumba ya uhakika, kama niliyomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
39 И чрез това ще оскърбя Давидовия род, но не за винаги.
Nitawaadhibu uzao wa Daudi, lakini si milele.”
40 Затова, Соломон поиска да убие Еровоама. А Еровоам, като стана, побягна в Египет при египетския цар Сисак, и остана в Египет до Соломоновата смърт.
Kwa hiyo Sulemani akajaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akaamka na kukimbilia Misri, Kwa Shishaki mfalme wa Misri, naye akabaki Misri mpaka Sulemani alipokufa.
41 А останалите дела на Соломона, всичко, което той извърши, и мъдростта му, не са ли записани в книгата на Соломоновите дела?
Na kwa mambo mengine yanayomhusu Sulemani, Yote ambayo alifanya na hekima zake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya
42 А времето на Соломоновото царуване в Ерусалим, над целия Израил, беше четиридесет години.
Sulemani? Sulemani alitawala Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
43 Така Соломон заспа с бащите си, и беше погребан в града на баща си Давида; а вместо него се възцари син му Ровоам.
Naye akalala na mababu zake na alizikwa katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu mwanae akawa mfalme mahali pake.

< 3 Царе 11 >