< 1 Летописи 9 >
1 Така целият Израил се преброи по родословия; и, ето, записани са в Книгата на Израилевите и Юдовите Царе. Те бидоха пленени у Вавилон поради беззаконията си.
Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
2 А първите жители, които се настаниха в притежанията им, в градовете им, бяха израилтяните, свещениците, левитите и нетинимите.
Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
3 И в Ерусалим се заселиха от Юдейците, от вениаминците, от ефремците и от манасийците:
Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
4 Утай, син на Амиуда, син на Амрия, който бе син на Имрия Ваниевия син, от синовете на Фареса Юдовия син;
Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
5 и от Шелаевците: първородният Асаия и синовете му;
Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
6 от Заровите синове: Еуил и братята им, шестстотин и деветдесет души;
Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
7 а от вениаминците: Салу, син на Месулама, син на Одия, Асенуевия син,
Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
8 Евния Ероамовият син, Ила син на Озия, Михриевият син и Месулам, син на Сефатия, син на Рагуила, Евниевия син;
Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
9 и братята им, според семействата им, деветстотин и петдесет и шест души; всички тия мъже бяха началници на бащини домове, според бащините им домове.
Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
10 А от свещениците; Едаия, Иоиарив, Яхин
Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
11 и Азария син на Хелкия, син на Месулама, който бе син на Садока, син на Мераиота, син на Ахитова, началник на Божия дом;
Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
12 и Адаия, син на Ероама, син на Пасхора Мелхиевия син, и Маасай син на Адиила, син на Язира, който бе син на Месулама, син на Месилемита Емировия син,
Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
13 и братята им, началници на бащините им домове, хиляда и седемстотин и шестдесет души, мъже много способни за делото на службата на Божия дом.
Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
14 А от левитите: Семаия, син на Асува, син на Азрикама Асавиевия син от Мерариевите потомци;
Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
15 и Ваквакар, Ерес, Галал и Матания син на Михея, син на Зехрия Асафовия син;
Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
17 А вратарите бяха: Селум, Акув, Талмон, Ахиман и братята им; Селум беше началник;
Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
18 те до сега бяха вратари при царската източна врата за полковете на Левиевите потомци;
Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
19 а Селум син на Коре, който бе син на Авиасафа, Коревия син, и братята му от бащиния му дом, Киреевците, бяха над работата на службата, пазачи на входовете на скинията; и бащите им са били стражи на входа на Господния стан;
Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
20 по-напред началник над тях беше Финеес Елеазеровият син, с когото бе Господ;
Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
21 а Захария, Меселемиевият син, беше пазач при входа на шатъра за срещане;
Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
22 всички ония избрани за пазачи при входовете, бяха двеста и дванадесет души. Те, които Давид и гледачът Самуил бяха поставили на службата им, бяха преброени по родословия в селата си.
Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
23 И така те и потомците им надзираваха портите на Господния дом, на дома на скинията като вардеха по ред.
Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
24 Вратарите бяха на четирите страни, на изток, на запад, на север и на юг.
Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
25 А братята им, които бяха по селата си, трябваше да дохождат в определени времена за да бъдат с тях по седем дни.
Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
26 Защото тия левити, четиримата главни вратари, оставаха в службата си, и надзираваха стаите и съкровищата на Божия дом.
Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
27 Те и нощуваха около Божия дом, защото грижата за него бе възложена на тях, и те трябваше да го отварят всяка заран.
Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
28 И някои от тях бяха над служебните съдове, защото по брой ги внасяха и по брой ги изнасяха.
Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
29 Още някои от тях бяха определени над другите вещи, над всичките свещени съдове, и над чистото брашно, виното, дървеното масло, ливана и ароматите.
Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
30 А някои от свещеническото съсловие приготовляваха благоуханното миро.
Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
31 А Мататия, който бе от левитите, първородният на корееца Серум, надзираваше печените в тава жертви.
Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
32 И други от братята им, от потомците на каатците, бяха над присъствените хлябове за да ги приготовляват всяка събота.
Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
33 И от тях бяха певците, началниците на бащините домове на левитите, които жевееха в стаите свободни от друго служене, защото са упражняваха в работата си денем и нощем,
Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
34 Тия бяха началници на бащините домове на левитите, началници според семействата им; те живееха в Ерусалим.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
35 А в Гаваон се засели Гаваоновият баща Еил, името на чиято жена бе Мааха:
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
36 а първородният му син бе Авдон, после Сур, Кис, Ваал, Нир, Надав,
mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 Гедор, Ахио, Захария и Макелот;
Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
38 а Макелот роди Симеама: също и те се заселиха с братята си в Ерусалим, срещу братята си.
Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
39 А Нир роди Киса; Кис роди Саула; а Саула роди Ионатана, Мелсисуя, Авинадава и Есваала.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
40 А Ионатановият син бе Мерив-ваал: а Мерив-ваал роди Михея.
Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
41 А Михееви синове бяха: Фитон Мелех, Терея
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
42 и Ахаз, който роди Яра; а Яра роди Алемета, Азмавета и Зимрия; а Зимрий роди Моса:
Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
43 и Моса роди Винея; а негов син бе Рафаия; негов син, Елеаса; и негов син, Асил.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
44 А Асил имаше шест сина, чиито имена са тия: Азрикам, Вохеру, Исмаил, Сеария, Авдия и Анан; те бяха Асилови синове.
Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.