< Titus 2 >

1 I wu u ka hla njaaji ilan.
Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
2 Gbi bi ciche lila du mba hi he vutu bey vu sunro be toh jaji ni mi kpakyeme ni itere u Irji.
Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.
3 Na ki imba be niko be ka vutu bi bana be tere totona du bana so ima u tehuwa na.
Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema,
4 Du ba tsoro imba be tsitsama itere sunko wa balilo.
ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto,
5 Du mba hi be mlaya mba komba bata tee naki itere Irji a ni bi kerekereme.
wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.
6 Na ki u ka hla imirize du mba hey be sisuron.
Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.
7 Ko ni konrime u ka zeren dedeme.
Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako.
8 Hla tere be dedema. bewa bana toh itere Irji na Ishan ka temba.
Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.
9 I miri ko mba wo tere ni tei komba ni mi kogeh mba na sunyu ni mbana.
Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao,
10 Du ba na tee yibi na. Mba ka ji kpakyeme U Irji gbahgbah me.
au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.
11 U imiri Irji ba toh didima wawumba.
Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
12 Ani hla du keh ka memetee u gbu gblu tagah. (aiōn g165)
Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn g165)
13 Keh ta zere di ta gbey tee lulu ni ze sunro u ye ivere Irji tee bu.
tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14 Yesu a kpa hla tere u bu ni gbu gblu da ikheu ubu wawu. na ki khi ka hu hla terema.
Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema.
15 U ka tere ni gbe gble de tshoro ba jaji ndah na kpa u tsirina.
Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.

< Titus 2 >