< Titus 2 >

1 I wu u ka hla njaaji ilan.
Lakini wewe yaseme yale yanayoendana na maelekezo ya kuaminika.
2 Gbi bi ciche lila du mba hi he vutu bey vu sunro be toh jaji ni mi kpakyeme ni itere u Irji.
Wazee wawe na kiasi, heshima, busara, imani safi, katika upendo, na katika uvumilivu.
3 Na ki imba be niko be ka vutu bi bana be tere totona du bana so ima u tehuwa na.
Vilevile wanawake wazee lazima daima wajioneshe wao wenyewe kama wenye kujiheshimu, na sio wasengenyaji. Lazima wasiwe watumwa wa pombe.
4 Du ba tsoro imba be tsitsama itere sunko wa balilo.
Wanapaswa kufundisha yaliyo mazuri ili kuwaandaa wasichana kwa busara kuwapenda waume zao na watoto wao.
5 Du mba hi be mlaya mba komba bata tee naki itere Irji a ni bi kerekereme.
Wanapaswa kuwafundisha kuwa na busara, wasafi, watunzaji wazuri wa nyumba zao, na watii kwa waume zao wenyewe. Inawalazimu kufanya mambo haya ili kwamba neno la Mungu lisitukanwe.
6 Na ki u ka hla imirize du mba hey be sisuron.
katika namna iyo hiyo, watieni moyo vijana wa kiume wawe na busara.
7 Ko ni konrime u ka zeren dedeme.
Katika njia zote jiwekeni wenyewe kuwa mfano katika kazi nzuri; na mfundishapo, onesheni uadilifu na heshima.
8 Hla tere be dedema. bewa bana toh itere Irji na Ishan ka temba.
Ongeeni ujumbe wenye afya na usio na dosari, ili kwamba yeyote apingaye aaibishwe kwa sababu hana baya la kusema juu yetu.
9 I miri ko mba wo tere ni tei komba ni mi kogeh mba na sunyu ni mbana.
Watumwa na wawatii mabwana zao katika kila kitu. Wanapaswa kuwafurahisha na sio kubishana nao.
10 Du ba na tee yibi na. Mba ka ji kpakyeme U Irji gbahgbah me.
Hawapaswi kuiba. Badala yake, wanapaswa kuonesha imani yote nzuri ili kwamba katika njia zote wayapambe mafundisho yetu kumhusu Mungu mwokozi wetu.
11 U imiri Irji ba toh didima wawumba.
Kwa kuwa neema ya Mungu imeonekana kwa watu wote.
12 Ani hla du keh ka memetee u gbu gblu tagah. (aiōn g165)
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
13 Keh ta zere di ta gbey tee lulu ni ze sunro u ye ivere Irji tee bu.
Wakati tunatarajia kupokea tumaini letu lenye baraka, mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14 Yesu a kpa hla tere u bu ni gbu gblu da ikheu ubu wawu. na ki khi ka hu hla terema.
Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili kutukomboa kutoka katika uasi na kutufanya wasafi, kwa ajili yake, watu maalumu walio na hamu ya kufanya kazi nzuri.
15 U ka tere ni gbe gble de tshoro ba jaji ndah na kpa u tsirina.
Yaseme na kuyasisitiza mambo haya. Kemea kwa mamlaka yote. Usikubali mtu yeyote akupuuze.

< Titus 2 >