< Romawa 4 >
1 Ki tre ndi ngye nitu Ibrahim Bachi mbu u kpa afe?
Tutasema nini tena kwamba Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili, amepatikana?
2 Ibrahim andi fe kpa chuwo nitu nduma, andi na wruwo ni san, wruwo ni san ma ndina he ni shishi Irji na.
Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, angekuwa na sababu ya kujisifu, lakini si mbele za Mungu.
3 Ahi ngye nassi hla? Ibrahim a kpanyime ni Irji, u baka bla yo niwu ndi ahi ndi tsratsra.
Kwani maandiko yanasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”
4 Zizan wawu wa a tie ndu'a, bana bla lulu ma yo ni mi tsratsra na, bayo ni kpe wa a he u ma.
Sasa kwa mtu afanyaye kazi, malipo yake hayahesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.
5 Wawu wa ana he ni ndu na, a kpa nyime niwa ani wruhle nibi lahtre'a ba bla yo suron ma ni son tsratsra.
Lakini kwa mtu asiyefanya kazi bali anamwamini yeye ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtaua, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.
6 Dauda a tre tre lulu nitu nji wa Irji bla yo nimi tsratsra hama ni ndu'a
Daudi pia hunena baraka juu ya mtu ambaye Mungu amhesabia haki pasipo matendo.
7 A tre ndi, “Lulu he nitu biwa ba wru lah tre mba hle'a ni biwa ba ka lah tre mba kaka ni bawu'a.
Alisema, “Wamebarikiwa wale ambao maovu yao yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa.
8 Lulu he nitu nji wa Irji na bla lah tre ma memle'e mu na'a.”
Amebarikiwa mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.”
9 U lulu yi he nitu biwa ba yonji ni bawu ka gji, ka nitu biwa bana yonji ni bawu ngame'a na?
Basi je baraka hizi ni kwa wale waliotahiriwa tu, au pia kwa wale wasiotahiriwa? Kwa maana twasema, “kwa Abrahamu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.”
10 Ba bla yo niwu nihe? Ahe ni nton wa ba yonji ni Ibrahim ka ni nton wa ba na rhi he yo nji niwu'a? Ana he ni nton wa ba yo nji niwu'a na, a heni nto wa bana yo nji niwu'a na.
Hivyo ilihesabiwaje basi? Wakati Abrahamu alikuwa katika tohara, au kabla hajatahiriwa? Haikuwa katika kutahiriwa, bali katika kutotahiriwa.
11 Ibrahim kpa ngban u yo nji'a. Wawu yi a he hatimi (seal) u yo suron wa a he niwu rhi ni nton wa ana yo nji rhi na. A tie wayi ndu ka tie tie bi wa ba yo suron'a, amma bana yo nji ni bawu rhi na, ndi duba blaba yo nimi bi wa ba tsratsra me'a.
Abrahamu alipokea alama ya kutahiriwa. Huu ulikuwa muhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo tayari kabla hajatahiriwa. Matokeo ya ishara hii ni kwamba alifanyika kuwa baba wa wote waaminio, hata kama wapo katika kutotahiriwa. Hii ina maana kwamba haki itahesabiwa kwao.
12 Ahi tie biwa ba yo nji ni bawu'a, ana wa ba yo nji migyen na, bi wa ba zren ni nkon ndindi wa Ibrahim a hu rhi nda fe yo nji'a.
Hii pia ilimaanisha kuwa Abrahamu alifanyika baba wa tohara si tu kwa wale wanaotokana na tohara, bali pia wale wanaozifuata nyayo za baba yetu Abrahamu. Na hii ndiyo imani aliyokuwa nayo kwa wasiotahiriwa.
13 Alkawali wa bana tie ni Ibrahim ni hama ndi ani gaje (heir) mgbumgblu'a ana doka na a rhi ni tsratsra u yo suron.
Kwa maana haikuwa kwa sheria kwamba ahadi ilitolewa kwa Abrahamu na uzao wake, ahadi hii ya kwamba watakuwa warithi wa dunia. isipokuwa, ilikuwa kupitia haki ya imani.
14 Biwa bana son nitu doka ba ni gaji koh Irji'a, iyo suron ani migyen (empty), u alikawali a ndi na kpe na.
Kwa maana kama wale wa sheria ndio warithi, imani imekuwa bure, na ahadi imebatilika.
15 Doka ni nji nfu ye, doka nita hama lah tre hamma.
Kwa sababu sheria huleta ghadhabu, lakini pale ambapo hakuna sheria, pia hakuna kutotii.
16 Ani tu tre yiyi ani kponji, ni ndu nno nyu mba ndu si nitu zizi nda bwu (nno) nkon ni grji Ibrahim.
Kwa sababu hii hili hutokea kwa imani, ili iwe kwa neema. Matokeo yake, ahadi ni dhahiri kwa uzao wote. Na wazawa hawa si tu wale wanaojua sheria, bali pia wale ambao ni wa imani ya Abrahamu. Kwa maana yeye ni baba yetu sisi sote,
17 Na wa ba nha, “Mi chu ndu he tie u mgbumgblu gbugbu'u” Ibrahim ahe ni shishi ndji wa a kpau nyime'a, wato Irji wa ani nu vri (life) ni biwa ba gyu nda ndu kpe biwa bana he na ndu ba he.
kama ilivyoandikwa, “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Abrahamu alikuwa katika uwepo wa yule aliyemwamini, yaani, Mungu ambaye huwapa wafu uzima na kuyaita mambo ambayo hayapo ili yaweze kuwepo.
18 Ibrahim a kpa nyime ni Irji nitu kpe wa ba he ni ko shishi'a. Na kati tie ni mgbumgblu gbugbuwu, ni tu kpe wa ba hla niwu'a, igrji me ba he naki.
Licha ya hali zote za nje, Abrahamu kwa ujasiri alimuamini Mungu kwa siku zijazo. Hivyo akawa baba wa mataifa mengi, kulingana na kile kilichonenwa,”... Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”
19 Ana khwumgble ni yo suron mana, a kpa nyime ndi wawu ceye, don ana tie whewhre ni se dari, a kpa nyime ndi ikrju (Womb) Saratu na nji vren ngana.
Yeye hakuwa dhaifu katika imani. Abrahamu alikiri kwamba mwili wake mwenyewe ulikwisha kufa - alikuwa na umri wa karibu miaka mia moja. Pia alikubaliana na hali ya kufa ya tumbo la Sara.
20 Nitu Alkawali Irji, Ibrahim ana senyu (hesitate) nitu ka kpa nyime mana, a fe mgbemgblen nitu son suron ma, nda gbre Irji San.
Lakini kwa sababu ya ahadi ya Mungu, Abrahamu hakusita katika kutokuamini. Bali, alitiwa nguvu katika imani na alimsifu Mungu.
21 A kpa nyime gbigbi ni kpe wa Irji hla ani tieu.
Alikuwa akijua hakika ya kuwa kile ambacho Mungu ameahidi, alikuwa pia na uwezo wa kukikamilisha.
22 U ba bla kma yo niwu ndi ahi tsratsra ndji.
Kwa hiyo hii pia ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
23 Bana nha ndi ndu zo nika khji ma na.
Sasa haikuandikwa tu kwa faida yake, kwamba ilihesabiwa kwake.
24 Ba nha ni tawu ngame, ba bla ni tawu biwa ki yo suron niwu wa a ton Yesu Almasihu shime ni khyu'a.
Iliandikwa kwa ajili yetu pia, kwa waliowekewa kuhesabiwa, sisi ambao tunaamini katika yeye aliyemfufua Bwana wetu Yesu kutoka wafu.
25 Ahi wa ndi ba kamba niwu nitu lah tre mbu'a nda tashime nitu kpata chuwo'a.
Huyu ni yule ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu na kufufuliwa ili tupate kuhesabiwa haki.