< Romawa 2 >

1 Nakima u na he ni sen nyu wu ndji u sharantawa, Nakima ikpi wa u si sharantawa nitu bari, u wuu tume ni tume. Nakima u sharantawa u si tie kpi bi yi ngame.
Kwa hiyo hauna udhuru, wewe uhukumuye, kwa maana katika yale uhukumuyo mwingine wajitia hatiani mwenyewe. Kwa maana wewe uhukumuye unafanya mambo yale yale.
2 Naki ki toh ndji i tron Irji a njanji ani ye joku ni biwa ba ti kpie baki.
Lakini twajua kwamba hukumu ya Mungu ni ya kweli juu yao wafanyao mambo kama hayo.
3 Nakima ka toh wayi wu indji u sharanta ni biwa ti kpii, wume wu si ti me. Wu yah ndi wu gbujbu ni nfu Irji?
Lakini wewe tafakari hili, wewe ambaye unahukumu wale wanaotenda mambo hayo ingawa nawe unafanya mambo yayo hayo. Je utaepuka hukumu ya Mungu?
4 Ko wu kpa ndindima tsri wa infu ma ni vu suron ana ye gbagbla na? Wuna toh ndji ndindima musama du nji wu hi ni ti njanji?
Au unafikiri kidogo sana juu ya wingi wa wema wake, kuchelewa kwa adhabu yake, na uvumilivu wake? Je, hujui kwamba wema wake unapaswa kukuelekeza katika toba?
5 Aman sabo ni son tume ni suron me wa ana tie njanji na, wu si vu'u nfu ni sru ni tume ni vie u nfu, wato ivie u ye tron njanji u Irji.
Bali kwa kadiri ya ugumu wako na kwa moyo wako usio na toba wajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu kwa siku ile ya ghadhabu, yaani, siku ile ya ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu.
6 Mi no ko nha ndi dede du ma wa ati'a.
Yeye atamlipa kila mtu kipimo sawa na matendo yake:
7 Ni bi wa ba you suron ni tie ndindi chachu'u ba wa nitu zu wo daraja ni drie u kakle. (aiōnios g166)
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
8 Naki bi wa ba son tu, ni bi wa ba kamba ni njanji, ba ti biyaya ni rashi njanji, infu ni nfu rigra ni grji ni bawu.
Lakini kwa wale ambao ni wabinafsi, wasioitii kweli bali hutii dhuluma, ghadhabu na hasira kali itakuja.
9 Irji ni grji ni iya meme ni shinji ne bi vri wawu wa bati meme, ni Yahudawa ni muimla ni Hellinawa.
Mungu ataleta dhiki na shida juu ya kila nafsi ya binadamu aliyefanya uovu, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
10 Nakima zuwo ni daraja ni sun si ba he ni bi wa basi ti ndu ndindi wa wu bawu, ni Yahudawa ni mumla, ni yi ni kpa nyime Irji.
Lakini sifa, heshima na amani itakuja kwa kila mtu atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
11 Mi ti titan toh yi, don mini noyi baiwa ri u ruhaniya mi ni noyi gbengblen.
Kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
12 Wato misi ngyiri mi ni kpa gbengblen ni mi bi u njanji mbu wato u mu, u bi.
Kwa maana kama vile wengi waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na kama vile wengi waliokosa kulingana na sheria watahukumiwa kwa sheria.
13 Ziza'a fa mina son du yi ka toh mri ya kpo gbugbu'u mi you suron ndi mi ye ni yi, naki har zizan'a koh na he na. Mi son ndi miti nakima, don mi ni samu mri u Ruhu ndindi ni mi mbi, na ahe ni mbru bi kora.
Maana si wasikiaji wa sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
14 Mi ban yah Helinawa ni baba u mbru ndji bi toh ni bi wa bana toh na.
Kwa maana watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanafanya kwa asili mambo ya sheria, wao, wamekuwa sheria kwa nafsi zao, ingawa wao hawana sheria.
15 Ni naki tie mba rju he ni kora ndi tron'a he nimi suron mba. U mi dri mba ngame ahi sheda ni bawu, u tunani mba ko ka vu ba ni meme ko ka kri ngba ni bawu
Kwa hili wanaonesha kwamba matendo yanayohitajika kwa mujibu wa sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao. Dhamiri zao pia zinawashuhudia wao, na mawazo yao wenyewe ama huwashitaki au huwalinda wao wenyewe
16 u ni Irji ngame. Ani he naki ni vi wa Irji ni rju ni mi dri ba ndji wawu'u ni kora, ni tu nkon u tre Ma, ni Yesu Kristi.
na pia kwa Mungu. Haya yatatokea katika siku ambayo Mungu atazihukumu siri za watu wote, sawasawa na injili yangu, kwa njia ya Yesu Kristo.
17 Nakima wu si you tume ndi wu uhi Bayahude, wu sun ni tu tron, ndi ni wru wo ni san ni mi Irji.
Tuseme kwamba unajiita mwenyewe Myahudi, aliyekaa katika sheria, shangilia kwa kujisifu katika Mungu,
18 Wu toh mre ma, ndi toh kpi wa ba he ni nkanka naki, kuma u kpa bla ni mi tron.
yajue mapenzi yake, na kupima mambo ambayo yanatofautiana nayo, baada ya kuagizwa na sheria.
19 Naki wu he ni gabagadi nitu ndi wu u vu wo ni bi fie, ndi kpah ni bi wa ba he ni mi bu'u.
Na tuseme kwamba una ujasiri kwamba wewe mwenyewe ni kiongozi wa kipofu, mwanga kwa wale walio gizani,
20 Gbi ton ni wa ana he ni toh na, u tsro ni mri bi tsitsa, u andi ni mi tron wu he ni kpi wa a shafi toh ni kuma njanji, u nihe ikpe yi ahe ni mi son me?
msahihishaji wa wajinga, mwalimu wa watoto, na kwamba unayo katika sheria jinsi ya elimu na kweli.
21 Bi yi wa tsro bari, bina tsro tumbi na? Bi wa bi tre na tie y'bi na, bina y'bi?
Wewe basi, uhubiriye mwingine, je, hujifundishi mwenyewe? Wewe uhubiriye kutokuiba, je wewe huiba?
22 Biyi wa bi tre duba na tie ntran na, bina ni tie ntran na? Biyi bi tre duba na ti gumaka na, bina tie gumaka na? Biyi wa bi tre duba na tie y'bi na, bina y'bi sessren me na?
Wewe usemae usizini, je unazini? Wewe uchukiaye sanamu, je unaiba hekaluni?
23 Biyi wa bi ngyiri nimi tron, bina kpa Irji tsri ni mi lah tree u wa ba hu tron na?
Wewe ujisifuye katika sheria, je haumfedheheshi Mungu katika kuvunja sheria?
24 Naki ba kpa nde Irji tie meme ni mi bi kora nitu mbi.
Kwa maana “jina la Mungu linafedheheshwa kati ya watu wa mataifa kwa sababu yenu,” kama ilivyoandikwa.
25 Gbi gbi you grji ana he ni mah ma ni yi. Inde bi kiyaye doka, aman inde bi yi wa bina hu doka na, you grji bi akam ti na ana you grji na.
Kwa maana Kutahiriwa kweli kwafaa kama ukitii sheria, lakini kama wewe ni mkiukaji wa sheria, kutahiriwa kwako kunakuwa kutokutahiriwa.
26 Nakima inde ndji wa bana you grji ni u na, ani kiyaye bukatu tron wawu'u bana iya ban wa bana you grji ni wu ni matsayi wa ba you grji niwu?
Basi, ikiwa, mtu asiyetahiriwa anaendelea kushika matakwa ya sheria, je kutokutahiriwa kwake hakutachukuliwa kana kwamba ametahiriwa?
27 Nakima inde ndji wa ba you grji ni wu na u yi ani kiyaye dokoki ba wawu, ana yah sharanta yi bi you grji u tron na? Naki a he inde bi hei ni tron ba nha, aman ana hu tron na.
Na yeye asiyetahiriwa kwa asili hatakuhukumu kama akitimiza sheria? Hii ni kwa sababu una maandiko yaliyoandikwa na tohara pia lakini bado u mkiukaji wa sheria!
28 Naki wawu na hi Bayahude ni ra na, ana wa ba you grji nda han tan na
Kwa maana yeye si Myahudi aliye kwa hali ya nje; wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje tu katika mwili.
29 Naki a Bayahude u mi, naki me ba yo grji u suron mba Ruhu ndindi ana ibe na, bibi ndji kima ana ndji ni zu wo ni u na, se Irji.
Lakini yeye ni Myahudi aliye kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko. Sifa ya mtu wa namna hiyo haitokani na watu bali yatoka kwa Mungu.

< Romawa 2 >