< Matiyu 13 >
1 Nivi kima Yesu a rju ni koha hi ka son ni nyu kiekle nne'a.
Katika siku hiyo Yesu aliondoka nyumbani na kukaa kando ya bahari.
2 Kpontren ndi baka hu kagon ma wa ka wlu ri ni mi ghu nda kuson nimi ma u j'bu ndi ba wawu mba wu baka kli ni korah nju kiekle nne'a.
Umati mkubwa ulikusanyika kwa kumzunguka, aliingia ndani ya mtumbwi na kukaa ndani yake. Umati wote walisimama kando ya bahari.
3 Ni nton Yesu a hla kpi gbugbu wu ni bawu ni (misali) {lan bininkon} A tre Indi ri u ron (cu) ahi nda ka cu.
Kisha Yesu alisema maneno mengi kwa mifano, Alisema, “Tazama, mpanzi alienda kupanda.
4 A cu'a u ibii bari ba kuhle ni nkon u cincen baka ye vurli.
Alipokuwa akipanda baadhi ya mbegu zilianguka kando ya njia na ndege walikuja wakazidonoa.
5 Ibii bari baka kuhle ni meme wahe ni tslatsa tita (dancon?) Bati gbla rju ni tuwa meme a he bran na.
Mbegu zingine zilianguka juu ya mwamba, ambapo hazikupata udongo wa kutosha. Ghafla zilichipuka kwa sababu udongo haukuwa na kina.
6 U irji a rjunda whu' u baka quu ngblanme.
Lakini jua lilipo chomoza zilichomwa kwa sababu hazikuwa na mizizi, na zilikauka.
7 Ibii bari ba kuhle ni mi kunkron bi ncon u kunkron ncon ba gbron na nyi ba.
Mbengu zingine zilianguka kati ya miti yenye miiba. Miti yenye miiba ilirefuka juu ikaisonga.
8 Ibii bari ba kuhle ni meme dindi ma na rju bi nda tie bii, bari ibii darli ni tu wa a cu'a bari ibii ise ton u bari ibii ise tra hamma ni tane.
Mbegu zingine zilianguka kwenye udongo mzuri na kuzaa mbegu, zingine mara mia moja zaidi, zingine sitini na zingine thelathini
9 Iwa ahe ni ton u wo'a kawo”
Aliye na masikio na asikie.
10 U bi hua baye nda tre ni Yesu “Ani tu ngye mba u tre ni j'bu ndi ni (lan bi ninkon?) “misali?”
Wanafunzi walikuja na kumwambia Yesu, “Kwa nini unazungumza na makutano kwa mifano?”
11 Yesu a saa' bawu nda tre, “Ba nnoyi nkon u toh kpye u mulki shulu wa ba rli ni bawu a.
Yesu alijibu kuwaambia, “Mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni, bali kwao hawajapewa.
12 E wa ahe niwu'a ba nno nhatia, u ani he wu babran. U indi wa ana hewu na' ikpye wa ahe wu'a ba kpawu.
Lakini yeyote aliyenacho, kwake yeye ataongezewa zaidi, na atapata faida kubwa. Ilasiye nacho hata kile alichonacho atanyang'anywa.
13 Ngye kpye wa ani ndu me tre ni ba ni lan bi ninkon a yi: ko wa ba' yah bano toh na u ko wa wa'a bana wo na nda name' toh tuma zuna.
Hivyo naongea nao kwa mifano kwa sababu ingawa wanaona, wasione kweli. Na ingawa wanasikia wasisikie wala kufahamu.
14 Ni' bawuyi itre Isheya a ye tsra, wa a tre din, Ni wo biwo ndi tie bre toh njima uni' yah bi toh indi na toh tuma zuna.
Unabii wa Isaya umetimia kwao, ule usemao, “Msikiapo msikie, lakini kwa namna yoyote hamtaelewa; wakati mwonapo muweze kuona, lakini kwa namna yeyote ile msijue.
15 E isron ndi mbayi aka tie bwu' nda sen gbirhi rhi me nda na wo na nda gru shishi mba ni ndu ba - ba na toh ni shishi mba na, ka ndu ba na woni ton mba na, ka nda toh njima ni sron mba ni ndu ba kmaye ndu me den ba.
Na mioyo ya watu hawa imekuwa giza, ni vigumu kusikia, na wamefumba macho yao, ili wasiweze kuona kwa macho yao, au kusikia kwa masikio yao, au kufahamu kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena, na ningewaponya.'
16 U shishi mbi ba'bi lulu niwa ba toh a, u ton mbi ngame wa ba wo a.
Bali macho yenu yamebarikiwa, kwa kuwa yanaona, na masikio yenu kwa kuwa yanasikia.
17 Njinyimu mi hla yiwu anabawa ni ba ndi bi tie ngyrengre gbugbu wu ba yo suron u toh ikpye wa biki toh a u bana tsh na. ba wa ba wo ikpye wa biki yoha nda na wo bana.
Hakika nawaambia manabii wengi na watu wenye haki walikuwa na hamu ya kuyaona mambo yale myaonayo, na hawakuweza kuyaona. Walitamani kusikia mambo yale mnayosikia, hawakuyasikia.
18 Sren ton ndi wo misali u ndi u ron wa a cu bii a.
. Sasa sikilizeni mfano wa mpanzi.
19 U ndi wa awo lan u mulki a nda na toh njima na, ibrji meme ani ye sranwu kpa ikpye wa ba cu ni mi sron ma. Iwayi ahi bii wa ba cuwu ni nyu nkon a.
Wakati yeyote asikiapo neno la ufalme na asilifahamu, ndipo mwovu huja na kukinyakua kilichokwisha kupandwa ndani ya moyo wake. Hii ni mbegu ile iliyopandwa kando ya njia.
20 Wawu ma wa ba cuwu ni meme u tslatsa tita a, ahi ndi wa a wo' lan'a nda kpawu gblame ni briku.
Yeye aliyepandwa katika miamba ni yule asikiaye neno na kulipokea haraka kwa furaha.
21 Wa ana sen ngble wa ani klri bran ton nan. To iya ye ka meme tie ye ni tie lan'a, ani gbla joku
Bado hana mizizi ndani yake, ila huvumilia kwa kitambo kifupi. Wakati matatizo au mateso yanapotokea kwa sababu ya neno hujikwaa ghafla.
22 U wa ba cuwu ni mi kukron bi ncona, ahi ndi wa awo lan'a u hu ngbungbungblu ni gyru u kpji ngbungblu ba mha tre a wa kana klo na. (aiōn )
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn )
23 Wawuma wa ba cuwu ni meme ndindi ma kimaa' ahi iwa awo lan nda toh njimaa ani klo nda nno bii wa bari mla dari u bari ise ton u ri uma ni se tra hama ni tanne zan wa ba cu'a
Aliyepandwa kwenye udongo mzuri, huyu ni yule asikiaye neno na kulifahamu. Huyu ni yule azaaye matunda na kuendelea kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelathini.''
24 Yesu ala nno ba misali ri. A tre, “mulki u shulu he na indi ri wa acu bii ndindi ma ni rju ma.
Yesu aliwapa mfano mwingine. Akisema, “Ufalme wa mbinguni unafananishwa na mtu aliye panda mbengu nzuri katika shamba lake
25 U wa ndi basi kruna, u kranwu ri ka ye nda ka cu meme bii ni mi bii ndindi a nda hi kpama.
Lakini watu waliposinzia, adui wake akaja pia akapanda magugu katikati ya ngano kisha akaenda zake.
26 Niwa ingban alkama a tubo nda tie tu'o ni nton kima meme giga ngame ka tsro.
Baadaye ngano ilipoota na kutoa mazao yake, ndipo magugu yalitokea pia.
27 Igran bi ndi u rju'a baka ye hla niwu tiekoh mbu ana bii ndindi ma ba ucu ni mi rju me ana? Nihe mu aka tie meme giga?
Na watumishi wa mwenye shamba walikuja wakamwambia, 'Bwana, hukupanda mbengu nzuri katika shamba lako? Imekuwaje sasa lina magugu?
28 A hla ni bawu, ahi wa ayame ni ko shishia mba tie ndu mba. Igram ma ba ba ka tre kie hi gbi ba hle rju
Akawaambia, Adui ametenda hili.' Watumishi walimwambia, “Kwa hiyo unataka twende tukayang'oe?”
29 Indi u rju katre, A'an Bita ni to kima, biye gbi bii ndindi nha ni meme giga a.
Mwenye shamba akisema, 'Hapana, wakati mnayang'oa magugu mtang'oa pamoja na ngano.
30 Ndu mba gbron bi me gbyen fyi u han ma. Ninton kimayi mi hla ni bi han ba, guci gbi meme giga ba ndi lo ba ni nkpi ma zi wa baka gon ba; u alkama mba bi vu hi sru nimi wron mu.
Yaacheni yakue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati wa mavuno nitasema kwa wavunaji, 'Kwanza yang'oeri magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu.''''
31 U Yesu ala tre ni mba ni misali garti, nda hla “Ba ban mulki shulu na wlo bii mustad wa indi ka cu ni rjuma.
Kisha Yesu aliwatolea mfano mwingine. Akasema, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali ambayo mtu aliichukua na kuipanda katika shamba lake.
32 Iwlo yi ahi fyime yi ni mi bii a wawuu. u aye gbron nda tie vuvu zan imbru bari ma ni rjua. A katie kukron wa cicen bakaye tie koh mba ni ba lan ma.
Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote. Lakini imeapo huwa kubwa kuliko mimea yote ya bustani, huwa mti, kiasi kwamba ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.”
33 Yesu ala hla misali ri ni bawu, mulki shulu ahe to yist wa iwa ni ban wu tsi ni mwu mwu kango tra waka kpawu whu
Akawaambia mfano mwingine tena.”Ufalme wa mbinguni ni kama chachu ile iliyo twaliwa na mwanamke na kuichanganya kwa vipimo vitatu kwa unga mpaka viumuke.
34 Ikpyi biyi wawu mbawu Yesu a tre ba ni misali ana tre kpye ri hama ni misali na.
Hayo yote Yesu aliyasema kwenye umati kwa mifano. Na pasipo mifano hakusema chochote kwao.
35 Ahe towa ni ndu ikpye wa ba tre ni nyu anebi a ndu njanji, wa'a hla, “mi bwuu nyumu ni misali. Mi hla ikpyi wa ba he rii'rii' rji ni tie ngbungbu'a”.
Hii ilikuwa kwamba kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema, “Nitafumbua kinywa changu katika mifano. Nitasema mambo yale yaliyokuwa yamefichwa tangu misingi ya ulimwengu”.
36 U Yesu ka' ka j'bu ndi ba don nda rihi ni mi koh. Mrli koh ma baka ye niwu nda tre, Hla ni tawu misali ni tu meme gigah u rjua”
Kisha Yesu aliwaacha makutano na kwenda nyumbani. Wanafunzi wake walimwendea na kusema, “Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.''
37 Yesu a saa' nda tre wawu wa a cu bii ndindia ahi vren ndi.
Yesu alijibu na kusema, “Apandae mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.
38 Irju'a mba hi ngbungblu; u bii ndindia bahi mrli bi mulki. Gigah ba ba mrli u meme a.
Shamba ni ulimwengu; na mbegu nzuri, hawa ni wana wa ufalme. Magugu ni wana wa yule mwovu, na adui aliye zipanda ni ibilisi.
39 U ni tie shishi wa a chu ba ahi shetan. Iham ahi ikle ngbungblu u bi han bahi malaiku (aiōn )
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn )
40 Nawa ba vu gigah ba ka gon ni lu'a ani he tokime ni kle ngbungblu. (aiōn )
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn )
41 Ivren ndi ni ton malaika ma, uba hivu kpi biwa ba nji latre mba tie meme rju ni mulki ma.
Mwana wa Adamu atatuma malaika wake, na kukusanya kutoka katika ufalme wake mambo yote yaliyosababisha dhambi na wale watendao maasi.
42 Ba' ta' ba sru nimi kpentren lu, ni kima bayi nda tan nyiyren.
Watawatupa wote katika tanuru la moto, ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.
43 Nikiyi me ndi bi tie njanyi ba kpan to rji ni mulki tie mba. Ndu wa ahe ton u wo a, ndu wo.
Ndipo watu wenye haki watakapong'aa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio na sikie.
44 Mulki shulu ahe to (arziki) wa ba rii wu ni mi rju. Indi ri ka toh nda rii'u. Ahi ni ngri nda ka vu ikpyi wa ahe ba le'nda hi ka le rjua.
Ufalme wa mbinguni ni kama hazina iliyofichwa shambani. Mtu akaiona na kuificha. Katika furaha yake akaenda kuuza vyote alivyokuwa navyo, na kulinunua shamba.
45 Ngarli mulki shulu he to ndi u woh waa ani wa shishan tita.
Tena, ufalme wa mbinguni ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu yenye thamani.
46 Wa aye fe shishan u nkpon bi ri, a vu kpyi u wo'ma le'rju nda le wu.
Wakati alipoiona ile yenye thamani, alienda akauza kila kitu alichokuwa nacho na akainunua.
47 Ngarli mulki shulu ahe na rjirji u vu lambe wa ba ka ta yo ni mi kie kleme nda vu kpyi gbugbu wu ni san mba.
Ufalme wa mbinguni ni kama nyavu iliyo ndani ya bahari, na kwamba hukusanya viumbe vya kila aina.
48 Wa rjirji'a shu'a bi vu lambe ba baka gbi wu rju ye ni rah. Ba kuson nda hla bi ndindia sru nimi gbokrju mba u bi meme ba' ba vu ba ta'hlega.
Ulipojaa wavuvi waliuvuta ufukweni. Kisha wakakaa chini wakakusanya vitu vyema ndani ya vyombo, lakini visivyo na thamani vilitupwa mbali.
49 Ani he towayi ni kle u ngbongblu'a. (aiōn )
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn )
50 Malaika baye nda ga bi meme rju ru bi tie zizi ba sruni kpentren lu nikiyi bayi nda tan nyiyren
Na kuwatupa ndani ya tanuru ya moto, ambako kutakuwa na maombolezo na kusaga meno.
51 Bi toh tu kpyi mba yi wawu wu? Mrli koh ma baka tre “E”
Mmefahamu mambo yote haya? Wanafunzi walimjibu, ''Ndiyo.''
52 Yesu a hla bawo, Ahe to kima na wa u riha ri wa ani ta katie vren koh u mulki shulu'a ani he to ndi wa ahe ni koh'a wa a ju kpyi bi ciceme ni bi sisama rju nimi kpyi ma wa ahe ba.
Kisha Yesu akawambia, ''Kila mwandishi ambaye amekuwa mwanafunzi wa ufalme anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.''
53 Niwayi, wa Yesu a tre ni misali ni bawu kle'a a wluhi don bubu kima.
IkawaYesu alipomaliza mifano yote hiyo, akaondoka katika sehemu hiyo.
54 Yesu ahi ni ko nklan u gbu ma nda kari ni tra Rji nda tsro indi mba. Ba wo tsro ma nda manji ma wakran (lie sisri) nda tre ndi “Iguyi afe toh tsro yi ni ngbengble u tie kpyi bi sisri yi rji mame?
Kisha Yesu akafika katika mkoa wake na akawafundisha watu katika sinagogi. Matokeo yake ni kuwa walishangaa na kusema, “Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza hii?
55 Indiyi ana vren guh u han kunkron a na? Wa ana yima yi ba yowu ndi Maryamu na? u' ana ba Yakubu ni Isuwu mba sima u Yahuza ba mrli vayi ma na?
Mtu huyu siyo mwana wa seremala? Mariamu siyo mamaye? Na ndugu zake siyo Yakobo, Yusuph, Simoni na Yuda?
56 Ana mrli vayi ba mrli mba wa ba he nita na? Wa afe kpyi biyi wawu rji mame”
Na dada zake tunao hapa petu? Basi mtu huyu ameyapata wapi haya yote?”.
57 Baka tie nfu ni wu. Yesu a tre din “E ba tsri anabi ni urji ri na anigbu ma ni koh mayi ba kpau tsri.
Aliwachukiza. Lakini Yesu aliwambia, “Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao na katika nchi yao.
58 Ana tie kpyi bi manji ma gbugbu wu ni kima na ni tu ka kpayme mba ni tre Rji.
Na hakuweza kufanya miujiza mingi kwa sababu hawakuwa na imani naye.